Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

tanzagiza mnadanganywa na kijidanganya sana, tanzagiza is not good in anything kipi kinakufanya uamini iko vizuri kwenye military? hao watu wa military wanatokea wapi? kwa mfumo upi wa elimu? kwa efficiency ipi iliyoonyeshwa popote hadi uamini tanzagiza kuna hiyo military yenye hizo sifa?

ndege imeanguka ziwani military imeshindwa kuokoa wanatumia kamba, meli ilizama 100 meter from sea shore watu wamekufa navy au jeshi la wana maji walikuwa wapi kuokoa watu? msaada ulitoka south afrikan navy halafu kutwa nzima mnasifia, mnasifia nini ?
Kwahiyo haya matatizo yameanza kuwepo punde tu baada ya Samia kuingia, ila kipindi cha kipenzi wenu Magufuli yupo madaraki hayakuwepo. Si ndiyo ???
 
View attachment 3260504
CRDB wanakuletea Al-Barakah huduma ya kibeniki ya kiislamu na ni spesheli kwa watu wa juu wa serikalini. Sio maneno yangu ni maneno yao. Halafu nakuja kuleta utumbo wa kumpiga Rwanda 😅 😅 😅 😅 😅 . Tulishindwa kumsaidia msumbiji Kagame akenda kuwasaidia tuna jeshi ? Hii nchi iko mahali pabaya sana watu mnaokesha vijiweni hamjui. Sasa deni lataifa limevuka trilioni 90. Halafu unakuja kusema Tanzania ina jeshi ? Watanzania wengi tunajichukulia tupo poa kama miaka ya 80. Hii sio miaka ya 80 huu ni 2025 kanali wa jeshi anakaguliwa na polisi. Inaniuma sana aisee.


Sasa huduma ya bank ya kiislamu inausihana nini na jeshi?. Deni linausiana nini na jeshi.? Kwa hiyo wanajeshi hawafanyi mazoezi sababu ya deni?. Acha kuchanganya upuuzi unaouamini na jeshi. Ukaguzi unaona mkubwa wa namna Ile hata migodini wanafanya kwa wafanyakazi. Mbona unajitia aibu. Kama unaufahamu mzuri toka kwenye chuki zako na kuzileta kwenye Jeshi maana unachoongea akihusiani na jw.
 
Sasa huduma ya bank ya kiislamu inausihana nini na jeshi?. Deni linausiana nini na jeshi.? Kwa hiyo wanajeshi hawafanyi mazoezi sababu ya deni?. Acha kuchanganya upuuzi unaouamini na jeshi. Ukaguzi unaona mkubwa wa namna Ile hata migodini wanafanya kwa wafanyakazi. Mbona unajitia aibu. Kama unaufahamu mzuri toka kwenye chuki zako na kuzileta kwenye Jeshi maana unachoongea akihusiani na jw.
Huduma ya kibenki ya kiislam maalumu kwa viongozi wa serikali jiulize ? Ndugu yangu kama umeshindwa kuelewa sawa. Sina chuki nimeongea facts. Hauwezi kuwa na jeshi imara kama serikali inayumba. Tuna jeshi gani ndugu yangu? Mabasi ya JWTZ yametumika kubeba watu wa CCM halafu unasema tuna jeshi ? Hatuna Jeshi, Jeshi lilikuwa miaka hiyo ambapo tulisaidia nchi zingine za Afrika. Ila kwa sasa hatuna Jeshi huo ndio ukweli. Tumeshindwa kuwasadia Msumbiji mpaka Rwanda kaenda kuwasadia halafu unasema tuna jeshi. Acha kutetea ujinga
 
Huduma ya kibenki ya kiislam maalumu kwa viongozi wa serikali jiulize ? Ndugu yangu kama umeshindwa kuelewa sawa. Sina chuki nimeongea facts. Hauwezi kuwa na jeshi imara kama serikali inayumba. Tuna jeshi gani ndugu yangu? Mabasi ya JWTZ yametumika kubeba watu wa CCM halafu unasema tuna jeshi ? Hatuna Jeshi, Jeshi lilikuwa miaka hiyo ambapo tulisaidia nchi zingine za Afrika. Ila kwa sasa hatuna Jeshi huo ndio ukweli. Tumeshindwa kuwasadia Msumbiji mpaka Rwanda kaenda kuwasadia halafu unasema tuna jeshi. Acha kutetea ujinga
Kama natetea ujinga ni kwako. Ila washawishi mabwana zako wanayosema Kagera siyo Tanzania wavamie Kama goma. Ndiyo utajua Kuna tuna jeshi au hatuna. Maana kenge mpaka atoke damu puani ndiyo anajua kumbe Kuna kifo hapa.
 
Kama natetea ujinga ni kwako. Ila washawishi mabwana zako wanayosema Kagera siyo Tanzania wavamie Kama goma. Ndiyo utajua Kuna tuna jeshi au hatuna. Maana kenge mpaka atoke damu puani ndiyo anajua kumbe Kuna kifo hapa.
Sasa unatetea jeshi ambalo kanali anakimbia vita. Are you serious ? Bora angekuwa private ningekuelewa. Unatetea jeshi ambalo rais analiambia lijiandae na uchaguzi ? Unatetea jeshi ambalo mabasi yao yalitumika kubeba watu wa CCM ? Tanzania hatuna Jeshi narudia hii nchi hatuna Jeshi. Usiweke hisia wala uzalendo walioko madarakani hawana uzalendo weka facts hapa. Hivi unajua waliokuwa wanamlinda Magu ni wanajeshi wa Rwanda ? Sasa kuuliza kuna kitu gani Rwanda hawajui kuhusu hii nchi ? Mimi nilikuwa kwenye system siongei nadharia naongea facts.
 
Sasa unatetea jeshi ambalo kanali anakimbia vita. Are you serious ? Bora angekuwa private ningekuelewa. Unatetea jeshi ambalo rais analiambia lijiandae na uchaguzi ? Unatetea jeshi ambalo mabasi yao yalitumika kubeba watu wa CCM ? Tanzania hatuna Jeshi narudia hii nchi hatuna Jeshi. Usiweke hisia wala uzalendo walioko madarakani hawana uzalendo weka facts hapa. Hivi unajua waliokuwa wanamlinda Magu ni wanajeshi wa Rwanda ? Sasa kuuliza kuna kitu gani Rwanda hawajui kuhusu hii nchi ? Mimi nilikuwa kwenye system siongei nadharia naongea facts.
Usiongee kama chizi usiyeelewa nilikuuliza swali ukakimbia. M23 wanapigana na jeshi la tanzania? Ukujibu unakimbilia siasa na chuki zako unalichanganya na jeshi. Unang'ang'ania ccm. Ccm ni jw?. Punguza utoto. Hakuna Cha kuwa kwenye system. Hiyo systeme zakupachikwa na baba zenu ndiyo zinafanya umekua mbumbumbu kiasi hicho. Narudia Tena hao mabwana zako Rwanda hawawezi hata kulifikilia kupigana na Tanzania. Magu kulindwa na Rwanda ni ujinga wake tu na ndiyo yeye aliyefia madarakani. Na hao wanyaru wako walipotumwa na magu Msoga mliokota maiti ngapi?. Kuna aliyetoka pale msoga? Si mlifata maiti tu. Nyamaza na ukae kimyaa. Unawasifia bure. wangefanya Sasa Ile kazi iliyowapeleka msoga Kama wanauwezo huo mbona mliwafata maiti wote?.
 
Usiongee kama chizi usiyeelewa nilikuuliza swali ukakimbia. M23 wanapigana na jeshi la tanzania? Ukujibu unakimbilia siasa na chuki zako unalichanganya na jeshi. Unang'ang'ania ccm. Ccm ni jw?. Punguza utoto. Hakuna Cha kuwa kwenye system. Hiyo systeme zakupachikwa na baba zenu ndiyo zinafanya umekua mbumbumbu kiasi hicho. Narudia Tena hao mabwana zako Rwanda hawawezi hata kulifikilia kupigana na Tanzania. Magu kulindwa na Rwanda ni ujinga wake tu na ndiyo yeye aliyefia madarakani. Na hao wanyaru wako walipotumwa na magu Msoga mliokota maiti ngapi?. Kuna aliyetoka pale msoga? Si mlifata maiti tu. Nyamaza na ukae kimyaa. Unawasifia bure. wangefanya Sasa Ile kazi iliyowapeleka msoga Kama wanauwezo huo mbona mliwafata maiti wote?.
Sasa nikuulize kama CCM sio Jw kwa nini mabasi ya Jw yametumika kubeba watu wa CCM ? Wewe unafanya kazi wapi serikalini ? Unaongea kama upo kijiweni mimi nashusha facts na siyo chuki. Wewe ndiyo unaleta hisia umeshaenda kwenye kambi za jeshi ? Umeona maduka yao ya duty free huko ? Mbona unaongea kwa jazba. Ukitembelea kambi za jeshi ndiyo utaamini ninachoandika. Rwanda akiamua anaichukua Tanzania nzima asubuhi na mapema. Nimetembelea kambi nyingi za jeshi, nimefanya kazi na mzabuni kimbinyiko. Ninachoongea ni ukweli mtupu. Narudia tena kama Rwanda walikuwa wanamlinda Magu kuna siri hawaijui kuhusu hii nchi ?
 
Sasa nikuulize kama CCM sio Jw kwa nini mabasi ya Jw yametumika kubeba watu wa CCM ? Wewe unafanya kazi wapi serikalini ? Unaongea kama upo kijiweni mimi nashusha facts na siyo chuki. Wewe ndiyo unaleta hisia umeshaenda kwenye kambi za jeshi ? Umeona maduka yao ya duty free huko ? Mbona unaongea kwa jazba. Ukitembelea kambi za jeshi ndiyo utaamini ninachoandika. Rwanda akiamua anaichukua Tanzania nzima asubuhi na mapema. Nimetembelea kambi nyingi za jeshi, nimefanya kazi na mzabuni kimbinyiko. Ninachoongea ni ukweli mtupu. Narudia tena kama Rwanda walikuwa wanamlinda Magu kuna siri hawaijui kuhusu hii nchi ?
Nilikutajia PULAMBILI ukakaa kimya ukusema chochote unaenda lugalo unaona jeshini kote Kuna maduka.Unabinua pua kuwa Rwanda akiamua anaichukua Tanzania asubuhi na mapema wewe ni kituko Cha kitusi kweli. Hii nchi uijui tulia wewe mtusi. Kupeleka tenda ya chakula jeshini ushaona unalijua jeshi. Pulambili tu imekushinda na ukakimbia kujibu. Unakuja na visababu vyako kuwa ccm ni jw hivi unajitambua kweli wewe?
 
Nilikutajia PULAMBILI ukakaa kimya ukusema chochote unaenda lugalo unaona jeshini kote Kuna maduka.Unabinua pua kuwa Rwanda akiamua anaichukua Tanzania asubuhi na mapema wewe ni kituko Cha kitusi kweli. Hii nchi uijui tulia wewe mtusi. Kupeleka tenda ya chakula jeshini ushaona unalijua jeshi. Pulambili tu imekushinda na ukakimbia kujibu. Unakuja na visababu vyako kuwa ccm ni jw hivi unajitambua kweli wewe?
Kuna jeshi gani kama kiongozi kanali anarudi kupitia mpakani ? Mimi naongea facts leta facts kuwa Tanzania ina jeshi lenye nguvu. Kama tulishundwa kuwasaidia msumbiji mpaka Rwanda akaenda kuwasaidia unasimama na kusema tunajeshi ? Mimi sitetei ujinga yaliyotokea Goma nikengele na inabidi tuamke.
 
Kuna jeshi gani kama kiongozi kanali anarudi kupitia mpakani ? Mimi naongea facts leta facts kuwa Tanzania ina jeshi lenye nguvu. Kama tulishundwa kuwasaidia msumbiji mpaka Rwanda akaenda kuwasaidia unasimama na kusema tunajeshi ? Mimi sitetei ujinga yaliyotokea Goma nikengele na inabidi tuamke.
Ulitaka arudi kupitia wapi na yupo nje ya nchi so popote angepita ni mpaka pia. Alafu kusaidia msumbuji ni hiari siyo lazima. Lakini nimekaa msumbuji wakati jw wakisaidia serikali watanzania wengi ambao ni raia walianza kuuwawa na waasi mpaka wengine tuaamua kukimbia kurudi home. Uliza watanzania wengi walipita Maputo kwenda Beira. Usiongee vitu usivyovijua. Na hata waasi wanasema serikali ya Tanzania ndiyo iliyofanya chama tawala kuwa madarakani mpaka Sasa. Uwo siyo msaada au unaropoka tu
 
Ulitaka arudi kupitia wapi na yupo nje ya nchi so popote angepita ni mpaka pia. Alafu kusaidia msumbuji ni hiari siyo lazima. Lakini nimekaa msumbuji wakati jw wakisaidia serikali watanzania wengi ambao ni raia walianza kuuwawa na waasi mpaka wengine tuaamua kukimbia kurudi home. Uliza watanzania wengi walipita Maputo kwenda Beira. Usiongee vitu usivyovijua. Na hata waasi wanasema serikali ya Tanzania ndiyo iliyofanya chama tawala kuwa madarakani mpaka Sasa. Uwo siyo msaada au unaropoka tu
Wewe mwenyewe unasema waasi walikuwa wanaua raia. Kwa hiyo jeshi la nchi limekacha kutokomeza waasi waliokuwa wanaua raia wake. Hivi umesoma alichoandika. Acha kutetea vitu ambavyo havipo. Rwanda alianza kwenda Goma kwa lengo la kuwateketeza interahamwe waliokimbilia huko wawamalize kabisa. Waasi wa beira wameua watanzania na Rais wa Msumbiji Kaja kuomba msaada tukaacha kwenda unadhani kwa nini ? Waasi wameua wananchi wako halafu rais anakuja anakupa go ahead ya kuwamaliza tunashindwa kwenda are we serious ? Jeshi halina nguvu tunasubiri mpaka tupate budget ya UN ndio tukasaidie nchi jirani. Hivi unajua kuna kipindi tulikuwa tunasaidia kiintelijensia karibia nchi nane za Afrika kupata uhuru. Usiandike kihisia ndugu yangu leta facts. Hatuna jeshi ndugu huu ndio Jeshi linaanza na msingi wa serikali. Jeshi linaambiwa lijiandae na uchaguzi unasema tuna jeshi ? Mkuu wa majeshi ana ndugu wa nchi jirani halafu unasema tuna jeshi ? Rais wa nchi JPM alikuwa analindwa na wanajeshi wa Rwanda halafu unasema tuna jeshi ? We endelea kukumbatia ujinga.
 
Ulitaka arudi kupitia wapi na yupo nje ya nchi so popote angepita ni mpaka pia. Alafu kusaidia msumbuji ni hiari siyo lazima. Lakini nimekaa msumbuji wakati jw wakisaidia serikali watanzania wengi ambao ni raia walianza kuuwawa na waasi mpaka wengine tuaamua kukimbia kurudi home. Uliza watanzania wengi walipita Maputo kwenda Beira. Usiongee vitu usivyovijua. Na hata waasi wanasema serikali ya Tanzania ndiyo iliyofanya chama tawala kuwa madarakani mpaka Sasa. Uwo siyo msaada au unaropoka tu
Bingwa wa kutetea ujinga umesikia hii 👇👇👇
Katafute CV ya Kagame ujue alisomea nini halafu tafuta CV ya marais wetu. Unadhani Kagame alisomea political science and public administration ? Angalia Cabinet ya Rwanda ya mawaziri angalia umri wao na CV zao.
 
Bingwa wa kutetea ujinga umesikia hii 👇👇👇
Katafute CV ya Kagame ujue alisomea nini halafu tafuta CV ya marais wetu. Unadhani Kagame alisomea political science and public administration ? Angalia Cabinet ya Rwanda ya mawaziri angalia umri wao na CV zao.
Nonsense rushing hata jiwe Tanzania tubadilishe hiyo nchi yenu kuwa mkoa wetu kama zamani.
 
Nonsense rushing hata jiwe Tanzania tubadilishe hiyo nchi yenu kuwa mkoa wetu kama zamani.
Uongozi ni CV mtu wangu, hivi unajua Jiwe kipindi akiwa waziri wa ujenzi walikuwa anafuata hawara Mabibo hostel ? Jiwe alikuwa analindwa na wanajeshi wa Rwanda na ni mara ya kwanza kwa Tanzania. Tuna mkuu wa mkoa amemnasa jaji mstaafu Warioba na mpaka leo ni k´mkuu wa mkoa na bado usalama wa taifa upo. Serikalini kuna waislamu wengi mpaka CRDB imefungua huduma spesheli kwa waislamu ambao ni viongozi wa serikali na bado unasema tuna nchi ? Angalia hapa Kagame anavyoichambua CV ya Rais wa Congo.
 
Wewe mwenyewe unasema waasi walikuwa wanaua raia. Kwa hiyo jeshi la nchi limekacha kutokomeza waasi waliokuwa wanaua raia wake. Hivi umesoma alichoandika. Acha kutetea vitu ambavyo havipo. Rwanda alianza kwenda Goma kwa lengo la kuwateketeza interahamwe waliokimbilia huko wawamalize kabisa. Waasi wa beira wameua watanzania na Rais wa Msumbiji Kaja kuomba msaada tukaacha kwenda unadhani kwa nini ? Waasi wameua wananchi wako halafu rais anakuja anakupa go ahead ya kuwamaliza tunashindwa kwenda are we serious ? Jeshi halina nguvu tunasubiri mpaka tupate budget ya UN ndio tukasaidie nchi jirani. Hivi unajua kuna kipindi tulikuwa tunasaidia kiintelijensia karibia nchi nane za Afrika kupata uhuru. Usiandike kihisia ndugu yangu leta facts. Hatuna jeshi ndugu huu ndio Jeshi linaanza na msingi wa serikali. Jeshi linaambiwa lijiandae na uchaguzi unasema tuna jeshi ? Mkuu wa majeshi ana ndugu wa nchi jirani halafu unasema tuna jeshi ? Rais wa nchi JPM alikuwa analindwa na wanajeshi wa Rwanda halafu unasema tuna jeshi ? We endelea kukumbatia ujinga.
Uongozi ni CV mtu wangu, hivi unajua Jiwe kipindi akiwa waziri wa ujenzi walikuwa anafuata hawara Mabibo hostel ? Jiwe alikuwa analindwa na wanajeshi wa Rwanda na ni mara ya kwanza kwa Tanzania. Tuna mkuu wa mkoa amemnasa jaji mstaafu Warioba na mpaka leo ni k´mkuu wa mkoa na bado usalama wa taifa upo. Serikalini kuna waislamu wengi mpaka CRDB imefungua huduma spesheli kwa waislamu ambao ni viongozi wa serikali na bado unasema tuna nchi ? Angalia hapa Kagame anavyoichambua CV ya Rais wa Congo.
View attachment 3270174
Kulindwa na Rwanda ni Upumbavu wake tu. Na wale wanyarwanda walipotumwa msoga kwanini waliuwawa wote Kama una wasifia wako vizuri?. Wangekamilisha misheni waliotumwa Sasa Kama wako vizuri. Alafu kuhusu cv. Kagame ni muuwaji tu kisv. Anachongea kagame hapo ni Upumbavu tu wa kijinga. George weah alikua mwanasoka na akawa rais wa Liberia.
 
Bingwa wa kutetea ujinga umesikia hii 👇👇👇
Katafute CV ya Kagame ujue alisomea nini halafu tafuta CV ya marais wetu. Unadhani Kagame alisomea political science and public administration ? Angalia Cabinet ya Rwanda ya mawaziri angalia umri wao na CV zao.
Hakuna kitu unajua zaidi ya kusifia wauwaji na ndiyo asili yenu watusi wote. Nyerere alikua rais Bora na anaheshimika Africa na dunia nzima.je ana CV Kama ya kagame?. Na congo usaliti wao ndiyo unawapa wanyarwanda wezako kuniona wananguvu. Lakini na kwambia bwana wako kagame mpaka atakufa atogusa hii ardhi kwa vita hiyo jeuri Hana
 
Kulindwa na Rwanda ni Upumbavu wake tu. Na wale wanyarwanda walipotumwa msoga kwanini waliuwawa wote Kama una wasifia wako vizuri?. Wangekamilisha misheni waliotumwa Sasa Kama wako vizuri. Alafu kuhusu cv. Kagame ni muuwaji tu kisv. Anachongea kagame hapo ni Upumbavu tu wa kijinga. George weah alikua mwanasoka na akawa rais wa Liberia.
Liberia ipo wapi ?
 
Hakuna kitu unajua zaidi ya kusifia wauwaji na ndiyo asili yenu watusi wote. Nyerere alikua rais Bora na anaheshimika Africa na dunia nzima.je ana CV Kama ya kagame?. Na congo usaliti wao ndiyo unawapa wanyarwanda wezako kuniona wananguvu. Lakini na kwambia bwana wako kagame mpaka atakufa atogusa hii ardhi kwa vita hiyo jeuri Hana
Jeuri hana kivipi ? Kama SADC wote wameshindwa, Tanzania ni nani ? Mbona unaongea mambo ambayo hayapo. Angalia CV ya Kagame unadhani kasomea ualimu kama huyU waziri wetu anayeshauri watu wenye degree waende Veta ? Naongea ukweli kwa sababu nina uchungu na nchi yangu Tanzania. Zamani tulikuwa na Taifa lenye nguvu kubwa sana Afrika nchi nyingi zilikuwa zinakuja kutuomba ushauri katika kila kitu wanachotaka kufanya. Lakini kwa sasa tupo kwene sfari ya kuelekea kwa kama Congo.
 
Kulindwa na Rwanda ni Upumbavu wake tu. Na wale wanyarwanda walipotumwa msoga kwanini waliuwawa wote Kama una wasifia wako vizuri?. Wangekamilisha misheni waliotumwa Sasa Kama wako vizuri.
Hiv mkuu hili suala ni serious??
 
Back
Top Bottom