Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Rwanda kuichukua Tanzania kijiwe chenu Cha kitusi na kujifurahisha tu. Umeropoka kujifanya unajua eti jw ni dhaifu pigana na Tanzania ishinde ndiyo uje ubinue mdomo kuwa Rwanda wanaweza kuichukua Tanzania kwa vita. Umeongea kuhusu Lugalo ndiyo unachojua na fremu zile za mjini. Nimekutajia sehemu moja tu PULAMBILI Hakuna kitu unajua. Tulia JW Uijui. Unaleta chuki zako za kisiasa kwenye jeshi. Huyo Rwanda wako kashasimamishiwa bendera ya tz kwenye ardhi yaka na akatulia.
We endelea kutetetea ujinga, ukweli umeshaonekana. Kanali amerudi kupitia Rwanda na anakaguliwa na polisi. Halafu unasema kwa thorax Tanzania tuna jeshi. Morali ya jeshi inaanza na raia wa kawaida, kama raia wa kawaida amekosa matumaini na nchi yake jeshi je ? Jeshi la Kongo ni dhaifu kwa sababu ukimuangalia raia wa kawaida wa kongo hana matumaini na serikali. Wanajeshi watatoa wapi matumaini ? Nchi hii ikiendelea hivi 2040 tutakuwa kama Congo. Ninajua ninachokisema ninaposema Rwanda anaweza kuichukua Tanzania nzima.
 
Nyie mamluki wa Kagame ambao mpo humu kui underrate TPDF na Tanzania kwa ujumla ipo siku mtakuja kujua hamjui na hako kamkoa kenu kenye Ka jiji kamoja tu kalikoendelea. !!!!
 
Rwanda kuichukua Tanzania kijiwe chenu Cha kitusi na kujifurahisha tu. Umeropoka kujifanya unajua eti jw ni dhaifu pigana na Tanzania ishinde ndiyo uje ubinue mdomo kuwa Rwanda wanaweza kuichukua Tanzania kwa vita. Umeongea kuhusu Lugalo ndiyo unachojua na fremu zile za mjini. Nimekutajia sehemu moja tu PULAMBILI Hakuna kitu unajua. Tulia JW Uijui. Unaleta chuki zako za kisiasa kwenye jeshi. Huyo Rwanda wako kashasimamishiwa bendera ya tz kwenye ardhi yaka na akatulia.
1741203452648.png

CRDB wanakuletea Al-Barakah huduma ya kibeniki ya kiislamu na ni spesheli kwa watu wa juu wa serikalini. Sio maneno yangu ni maneno yao. Halafu nakuja kuleta utumbo wa kumpiga Rwanda 😅 😅 😅 😅 😅 . Tulishindwa kumsaidia msumbiji Kagame akenda kuwasaidia tuna jeshi ? Hii nchi iko mahali pabaya sana watu mnaokesha vijiweni hamjui. Sasa deni lataifa limevuka trilioni 90. Halafu unakuja kusema Tanzania ina jeshi ? Watanzania wengi tunajichukulia tupo poa kama miaka ya 80. Hii sio miaka ya 80 huu ni 2025 kanali wa jeshi anakaguliwa na polisi. Inaniuma sana aisee.


 
You must be really stupid to think that history is a TRIBUNAL which all civilizations are judged equally. That because it happened to Israel then it will eventually happen to Rwanda. Just Pathetic.

Walau sisi miaka sitini hatujawahi kushikiana mapanga kwa zaidi ya miaka 60 kama Rwanda. Tuna udhaifu wa rushwa ambao hata kwenu Rwanda upo mkubwa tu. Hakuna mtanzania alishawahi kuwa MKIMBIZI nchi ya jirani tena zaidi ya mara nne, kama mlivyo ninyi ambao wengi wenu mmekulia kambi za wakimbizi, ambapo tuliwasomesha na kuwasaidia kurudi Uganda na Rwanda.

This is TANZANIA.

Kiufupi hakuna taifa Afrika ambalo halitegemei misaada na mikopo. MPUMBAVU tu ambaye hajaenda shule ndiyo anaweza kudhani Rwanda yenye GDP $ Bil 13.7 na Per Capita Income ya $ 988 is an AUTARKY ni nchi iliyoendelea.

Canada na Ujerumani wametishia kukata mirija ya pesa za misaada, and Kigali was thrown into chaos. And some fool, thinks this country can do anything to Tanzania.

Ati Rwanda..
Wewe..stop such lunatic stories, maelezo meengi substance zero! Hizo GDP zako kwa data za kupika..! hakuna mwenye akili timamu anaziamini..!
Mjadala ni jeshi kutwezwa na jirani na uwezo wao kwa sasa..uzoefu, ujuzi, maarifa na nidhamu ya kazi zao bado upo..? Usihamishe agenda kwa maelezo mengi..dictation ni sub topic darasa la 4 unashindwa hata ku-summaries..hayo unayoandika unayaelewa?

View: https://youtu.be/ToUvmw8oB6w?si=N2J5zo0tHVYdVWEX
..hii ndio kazi wanayoiweza.
 
We endelea kutetetea ujinga, ukweli umeshaonekana. Kanali amerudi kupitia Rwanda na anakaguliwa na polisi. Halafu unasema kwa thorax Tanzania tuna jeshi. Morali ya jeshi inaanza na raia wa kawaida, kama raia wa kawaida amekosa matumaini na nchi yake jeshi je ? Jeshi la Kongo ni dhaifu kwa sababu ukimuangalia raia wa kawaida wa kongo hana matumaini na serikali. Wanajeshi watatoa wapi matumaini ? Nchi hii ikiendelea hivi 2040 tutakuwa kama Congo. Ninajua ninachokisema ninaposema Rwanda anaweza kuichukua Tanzania nzima.
Ulitaka akatae kukaguliwa au aanzishe fujo?
 
Wewe..stop such lunatic stories, maelezo meengi substance zero! Hizo GDP zako kwa data za kupika..! hakuna mwenye akili timamu anaziamini..!
Mjadala ni jeshi kutwezwa na jirani na uwezo wao kwa sasa..uzoefu, ujuzi, maarifa na nidhamu ya kazi zao bado upo..? Usihamishe agenda kwa maelezo mengi..dictation ni sub topic darasa la 4 unashindwa hata ku-summaries..hayo unayoandika unayaelewa?

View: https://youtu.be/ToUvmw8oB6w?si=N2J5zo0tHVYdVWEX
..hii ndio kazi wanayoiweza.

Na hii ndo imeishusha sana JWTZ hivi karibuni.

Na wakitaka kulinda heshima yao tofauti na hawa wajinga TISS na Polisi wanatakiwa kujitenga na hizi siasa mfu za CCM.
 
Wewe..stop such lunatic stories, maelezo meengi substance zero! Hizo GDP zako kwa data za kupika..! hakuna mwenye akili timamu anaziamini..!
Mjadala ni jeshi kutwezwa na jirani na uwezo wao kwa sasa..uzoefu, ujuzi, maarifa na nidhamu ya kazi zao bado upo..? Usihamishe agenda kwa maelezo mengi..dictation ni sub topic darasa la 4 unashindwa hata ku-summaries..hayo unayoandika unayaelewa?

View: https://youtu.be/ToUvmw8oB6w?si=N2J5zo0tHVYdVWEX
..hii ndio kazi wanayoiweza.

Acha tu mtu amemnasa vibao jaji na ni mkuu wa mkoa. Watu wanatekwa na Jeshi lipo ? Usalama wa taifa umefanya kazi gani wanamshauri Rais nini ? Fuatilia mtanzania wa kawaida uweozo wake wa kufikiri na kuchangamua mambo. Natamani watanzania waende tu hapo Nairobi waone wakenya walivyo. Kuna mengi sana ya kujifunza, kama haujawahi kutoka nje hauwezi kujua hii nchi tupo wapi ?
 
Mimi kama mimi binafsi sipo huko kuhusu rwanda kuchukua nchi.
Mimi nipo zaidi kuhusu performance ya jeshi jwtz.

Madwari Madwari
TrueVoter
Kohelethi

Wewe kwanza angalia jinsi ya watu wanaoingizwa jeshini.
1. Jkt wa kujitolea wale, unakuta wanafanya kazi flani kama kujenga ukuta , sijui majengi sijui ikulu. Kisha ndo wanachukua kigezo Cha kujiunga jeshi. Lkn je hao kweli wanauwezo? Wanamoyo kweli wa kupiga vita na je Wanawafanyia mchujo mzuri.

2. Pili kusema ukweli watu wengi wanapenda kuingia jeshi kwa sababu jeshini wamechukulia kaka ajira. Ukisikiliza wanajeshi wengi utakuta wanasema kuhusu mishahara pamoja na malupulupu mengi.
Mfano:
Kipindi nipo advance Kuna jamaa alikuja chuoni na Rav4 , akajitambulisha kbs kuwa yeye ni mwanajeshi ( hatukumuuliza) akatuonyesha na picha kabisa, ananyota 2, na akasema na mshahara wake kbs , alituambia miezi miwili iliyopita alipata mkopo jeshini hukohuko 50million. Yeye yupo kikosi Cha mizinga.

Na vijana wengi wanapenda jkt ya kujitolea wanatafuta nafasi ya jwtz, ukiwauliza , wanasema kitaa ni kugumu,
Sasa ndo ujue kuwa jeshini watu wanapenda kwa ajiri ya kipato tuu.

Ndo maana kupata nafasi ni ngumu sana mpaka ufanyie mpango, kama huna connection ni ngumu sana kuingia , labda uingia kwa makundi mupewe kazi na ahadi tuu kama wale waliojenga ikulu au ukuta wa mirelani.
 
Na mara nyingi wanawachuja mpk waende RTS kiangaiko ( chuo Cha awali Cha jeshi) ndo utakuta wanafanya kamchujo kiasi.

Mimi nakumbuka walisema Jwtz wanachukua vijana 20,000 kwa mwaka jkt ya kujitolea Ile hio taarifa ya 2019 , ila naamini kwa sasa wanaweza zaidi.
Na chuo cheti Cha RTS kiangaiko kinachukua vijana kujiunga na jwtz kwa mwaka kama 2500 mpk 3000 , hawamalizi wote.

Ila kwa vile wanachukua kwa mwaka vijana 20,000 na jkt ya kujitolea ni 2 years inamaana Kuna vijana 40,000.

Wanaweza wakaandaa utaratibu mzuri wakatafuta best wa mabest ndani ya vijana wa jkt Kila kambi , na naamini wanapatikana wazuri.

Hizi connection waachana nazo
 
Wewe..stop such lunatic stories, maelezo meengi substance zero! Hizo GDP zako kwa data za kupika..! hakuna mwenye akili timamu anaziamini..!
Mjadala ni jeshi kutwezwa na jirani na uwezo wao kwa sasa..uzoefu, ujuzi, maarifa na nidhamu ya kazi zao bado upo..? Usihamishe agenda kwa maelezo mengi..dictation ni sub topic darasa la 4 unashindwa hata ku-summaries..hayo unayoandika unayaelewa?

View: https://youtu.be/ToUvmw8oB6w?si=N2J5zo0tHVYdVWEX
..hii ndio kazi wanayoiweza.

Na hii ndo imeishusha sana JWTZ hivi karibuni.

Na wakitaka kulinda heshima yao tofauti na hawa wajinga TISS na Polisi wanatakiwa kujitenga na hizi siasa mfu za CCM.
This is a political statement, intended to scare gullible men like tales of The Baba Yaga! Even Nyerere, Mkapa and Jakaya, made similar political statements.

A President cannot mobilise troops without constitutional approval, unless in times of NATIONAL EMERGENCY.

If you believe this, then you'll believe anything!
 
Mimi kama mimi binafsi sipo huko kuhusu rwanda kuchukua nchi.
Mimi nipo zaidi kuhusu performance ya jeshi jwtz.

Madwari Madwari
TrueVoter
Kohelethi

Wewe kwanza angalia jinsi ya watu wanaoingizwa jeshini.
1. Jkt wa kujitolea wale, unakuta wanafanya kazi flani kama kujenga ukuta , sijui majengi sijui ikulu. Kisha ndo wanachukua kigezo Cha kujiunga jeshi. Lkn je hao kweli wanauwezo? Wanamoyo kweli wa kupiga vita na je Wanawafanyia mchujo mzuri.

2. Pili kusema ukweli watu wengi wanapenda kuingia jeshi kwa sababu jeshini wamechukulia kaka ajira. Ukisikiliza wanajeshi wengi utakuta wanasema kuhusu mishahara pamoja na malupulupu mengi.
Mfano:
Kipindi nipo advance Kuna jamaa alikuja chuoni na Rav4 , akajitambulisha kbs kuwa yeye ni mwanajeshi ( hatukumuuliza) akatuonyesha na picha kabisa, ananyota 2, na akasema na mshahara wake kbs , alituambia miezi miwili iliyopita alipata mkopo jeshini hukohuko 50million. Yeye yupo kikosi Cha mizinga.

Na vijana wengi wanapenda jkt ya kujitolea wanatafuta nafasi ya jwtz, ukiwauliza , wanasema kitaa ni kugumu,
Sasa ndo ujue kuwa jeshini watu wanapenda kwa ajiri ya kipato tuu.

Ndo maana kupata nafasi ni ngumu sana mpaka ufanyie mpango, kama huna connection ni ngumu sana kuingia , labda uingia kwa makundi mupewe kazi na ahadi tuu kama wale waliojenga ikulu au ukuta wa mirelani.
Kule Rwanda General Paul Kagame kajaza ndugu zake kibao tu jeshini. Kaenda mbali na kuamua kumuweka hata kijana wake awe kwenye Presidential Security Detail. Kituko ni kwamba Rwanda ndiyo taifa pekee yake hapa East Afrika ambalo lina Major Generals wasiopungua 18(Wote Watutsi), jambo ambalo binafsi linanishangaza mno.

Kule Uganda, Dikteta Museveni kamweka mtoto wake kuwa Defense Chief, mtoto ambaye kasoma Sandhurts mwaka 2000 na baada ya miaka kumi tu akawa Kanali na Brigedia Jenerali. Jambo ambalo pia linanishangaza mno.

Mnadhani hawa watoto wameingia huko na kufika juu kwa MERITOCRACY ???
 
This is a political statement, intended to scare gullible men like tales of The Baba Yaga! Even Nyerere, Mkapa and Jakaya, made similar political statements.

A President cannot mobilise troops without constitutional approval, unless in times of NATIONAL EMERGENCY.

If you believe this, then you'll believe anything!
We have seen violations of the constitution before with no actions taken against the Politicians.

The Politicians of this country are no longer scared to violate any provision of the Constitution.
 
This is a political statement, intended to scare gullible men like tales of The Baba Yaga! Even Nyerere, Mkapa and Jakaya, made similar political statements.

A President cannot mobilise troops without constitutional approval, unless in times of NATIONAL EMERGENCY.

If you believe this, then you'll believe anything!
We have seen violations of the constitution before with no actions taken against the Politicians.

The Politicians this country are no longer scared to violate any provision of the Constitution.
 
We have seen violations of the constitution before with no actions taken against the Politicians.

The Politicians of this country are no longer scared to violate any provision of the Constitution.
I understand your frustration, and you have a right to worry.

But this is not even a constitutional problem. Its typically a policy issue.

Parameters of how the President must act in relations to Deployment are clear within the CURT and sacrosanct. What we must have now, is making sure the army disappears from tongues and public eyes in order to restore confidence within the people.

In 1980's people were grumbling about The Department of Security, a precursor of TISS, that it was politically abused and manned by goons and sadists. Mzee Nyerere went on public admonishing Politicians and Citizens alike from ever making a discussion about the Department. It helped.

Today, we may think things are not okay because politicians are all over the place. And you have all the rights to worry, because of men within the CCM, but believe me, despite everything TANZANIA IS STILL AND BY LARGE A SECURITY STATE.
 
I understand your frustration, and you have a right to worry.

But this is not even a constitutional problem. Its typically a policy issue.

Parameters of how the President must act in relations to Deployment are clear within the CURT and sacrosanct. What we must have now, is making sure the army disappears from tongues and public eyes in order to restore confidence within the people.

In 1980's people were grumbling about The Department of Security, a precursor of TISS, that it was politically abused and manned by goons and sadists. Mzee Nyerere went on public admonishing Politicians and Citizens alike from ever making a discussion about the Department. It helped.

Today, we may think things are not okay because politicians are all over the place. And you have all the rights to worry, because of men within the CCM, but believe me, despite everything TANZANIA IS STILL AND BY LARGE A SECURITY STATE.
Comrade,

What you should know is that, by almost 85%, our security organs have been compromised by the rulling party. The top in the list are TISS and TPF.

The only institution which was free from the list for a long time was TPDF but the situation changed during Magufuli era.

It was at that time where we started seeing CDF at the State House making Public announcements. It was at time time we started seeing our soldiers doing " Usafi" by orders of RC's and DC's for the purpose of intimidating Opposition/ Tanzanians demanding genuine political rights.

So to say we are still and by large a Security State is still debatable.
 
Kule Rwanda General Paul Kagame kajaza ndugu zake kibao tu jeshini. Kaenda mbali na kuamua kumuweka hata kijana wake awe kwenye Presidential Security Detail. Kituko ni kwamba Rwanda ndiyo taifa pekee yake hapa East Afrika ambalo lina Major Generals wasiopungua 18(Wote Watutsi), jambo ambalo binafsi linanishangaza mno.

Kule Uganda, Dikteta Museveni kamweka mtoto wake kuwa Defense Chief, mtoto ambaye kasoma Sandhurts mwaka 2000 na baada ya miaka kumi tu akawa Kanali na Brigedia Jenerali. Jambo ambalo pia linanishangaza mno.

Mnadhani hawa watoto wameingia huko na kufika juu kwa MERITOCRACY ???
Mkuu naona ujanielewa ,
Pole ila.

Huku tz mpk trillion 1 za jeshi zinapotea hivi hivi
 
Hata mizinga ya kisasa hakuna.
Kwa dunia ya sasa ucipo kuwa na 155mm self propelled howitzer.
Daaa ni hatari sana
 
Back
Top Bottom