Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mimi ni mtanzania kwa uongozi tulio nao Rwanda inaweza kuichukua nchi nzima.
kwa namna ambavyo tumegawanywa kimakundi kwa sasa ni rahisi sana adui kutumaliza. Hakuna harmony kila mtu anaangalia maslahi yake kwa sasa, akija adui yuko tayari kufuta umaskini wa mtu anawauza chap watanzania wenzie. Hapo ndipo tulipofikia. Uzalendo hakuna tena
 
Kazi yako unajitekenya na kucheka. Nyinyi watusi mna kampeni yenu ya kusema kagera siyo Tanzania Sasa ingieni Kama mlivyoingia goma. Si mliingia kwenye mapori miaka ya nyuma ffu tu wakawakimbiza Kama kuku wenye kideri mkapangusa matako mkarudi kwenu. Sasa vyamieni Kagera mnayosema siyo Tanzania muone picha halisi ya JW. Alafu utarudi hapa na adabu
Mikwala mingi sahv mmebakia na kusifika kukata uno +uchawa

Ova
 
kwa namna ambavyo tumegawanywa kimakundi kwa sasa ni rahisi sana adui kutumaliza. Hakuna harmony kila mtu anaangalia maslahi yake kwa sasa, akija adui yuko tayari kufuta umaskini wa mtu anawauza chap watanzania wenzie. Hapo ndipo tulipofikia. Uzalendo hakuna tena
Hawana kitu hawa,walipojaza maframe pale lugalo barracks ndiyo nliona jamaa washapotea

Ova
 
Kaka eeee watu wanashindwa kujua kitu kimoja.
Nchi yoyote kukiwa na corruption( ufisadi na rushwa) taasisi za serikali zote lazima ziwe mbovu tuu.

Kwa hapa Tanzania watu wanafanya analysis ya majeshi duniani wanatukadilia kuwa jwtz Kuna active personal ktk jeshi letu ni 27000 tu.
Lkn tuna Budget ya USD billion 1.6 na ushee kwa mwaka.
Angola Wana active personal 110,000
Budget ya ni inakadiliwa mwaka 2023 ni 1.6 kama yetu.

Rwanda Wana active personal 33,000 ila budget Yao ni USD million 187.
Yani sisi tumewazidi mara 12.

Ila sisi tuna wanajeshi 27,000 wao 33,000.
Ndivyo wanavyotukadilia sasa ndo ushangae pesa zote hizo zinaenda wapi.
Maana sisi huku kwentu ndege za vita zote zile het ni za zamani sana. Zipo out of service hata waliotengeneza spear tuu hawatengezi ni za zamani.

Air defense system zetu zote ni za zamani.

Mizinga yote ni ya zamani hatuna mizinga mpya hapa bongo.
Mlrs zote ni za zamani BM 21, urgan BM 27 , lkn Kuna Chinese A 100 ambayo wachina wenyewe hawatumii coz walisema inapangufu mengi.

Sasa budget yote hio inaenda wapi.
Tujiulize hilyo kwanza
Fact
 
kwa namna ambavyo tumegawanywa kimakundi kwa sasa ni rahisi sana adui kutumaliza. Hakuna harmony kila mtu anaangalia maslahi yake kwa sasa, akija adui yuko tayari kufuta umaskini wa mtu anawauza chap watanzania wenzie. Hapo ndipo tulipofikia. Uzalendo hakuna tena
Aisee jamaa una akili sana mkuu umeandika pointi mkuu heshima yako kaka
 
Ukiwaangalia wanavyofanya maonyesho kuwafurahisha wajinga wa CCM ili kuwatisha Watanzania wasio na hatia alafu ukiangalia hapo wanavyodharilishwa na hao askari wa Kagame unajisemea tu moyoni kuwa Jeshi letu linatakiwa kupata Viongozi wanaojitambua sio cowards wa wanasiasa.
.Kwa hiyo ulitaka wapitishe madini halafu badae mseme Rwanda ndio wanapora madini ya Kongo.

Kongo Muda sio mrefu itapata kiongozi mzalendo Mwanajeshi .
Sio upuuzi wa Serikali ya Kinshasa iliyojaa mafisadi na mawakala wa mabeberu wa ulaya na uchina
 
Kaka eeee watu wanashindwa kujua kitu kimoja.
Nchi yoyote kukiwa na corruption( ufisadi na rushwa) taasisi za serikali zote lazima ziwe mbovu tuu.

Kwa hapa Tanzania watu wanafanya analysis ya majeshi duniani wanatukadilia kuwa jwtz Kuna active personal ktk jeshi letu ni 27000 tu.
Lkn tuna Budget ya USD billion 1.6 na ushee kwa mwaka.
Angola Wana active personal 110,000
Budget ya ni inakadiliwa mwaka 2023 ni 1.6 kama yetu.

Rwanda Wana active personal 33,000 ila budget Yao ni USD million 187.
Yani sisi tumewazidi mara 12.

Ila sisi tuna wanajeshi 27,000 wao 33,000.
Ndivyo wanavyotukadilia sasa ndo ushangae pesa zote hizo zinaenda wapi.
Maana sisi huku kwentu ndege za vita zote zile het ni za zamani sana. Zipo out of service hata waliotengeneza spear tuu hawatengezi ni za zamani.

Air defense system zetu zote ni za zamani.

Mizinga yote ni ya zamani hatunakwa mizinga mpya hapa bongo.
Mlrs zote ni za zamani BM 21, urgan BM 27 , lkn Kuna Chinese A 100 ambayo wachina wenyewe hawatumii coz walisema inapangufu mengi.

Sasa budget yote hio inaenda wapi.
Tujiulize hilyo kwanza


Maslahi makubwa yapo Wizarani na matop layer ndio wanaotafuna keki ya Taifa ili kulinda mafisadi ndani ya serikali ya CCM.
 
Bora wewe umeongea ndugu yangu watanzania wengi wanajua uzalendo ni kutetea ujinga wa viongozi wasio na maono.
Huku kwentu Tanzania ndugu yangu tumefika wakati mtu mwenye kuongea changamoto na ukweli ndo anaonekana muhuni na Hana uzaelendo.

Yani kukosoa serikali kidogo tuu Tena vitu vya ukweli ni shida.

Watu wanataka waTanzania tuwe kama mwijaku ( machawa) mtu anapewa cheo kisa anasifua tuu anasia Tena mambo hayana hata tija
 
Mikwala mingi sahv mmebakia na kusifika kukata uno +uchawa

Ova
Ita bwana zako wajaribu alafu ukawaombe msamaha kwa kuwaingizia wale wa kike choo Cha kiume wakojoe uku wamesimama wakajikojolea mapajani
 
Huku kwentu Tanzania ndugu yangu tumefika wakati mtu mwenye kuongea changamoto na ukweli ndo anaonekana muhuni na Hana uzaelendo.

Yani kukosoa serikali kidogo tuu Tena vitu vya ukweli ni shida.

Watu wanataka waTanzania tuwe kama mwijaku ( machawa) mtu anapewa cheo kisa anasifua tuu anasia Tena mambo hayana hata tija
Je wajua swahili yako haina lahaja ya popote
 
Hoja hii ni mufilisi na ya kipuuzi sana,

Mosi, wazawa wana uwezo mkubwa wa kukusaliti kuliko hata wageni. Tanzania imefikishwa hapa siyo na wageni, bali wasaliti walioko ndani ya CCM kama Jakaya Kikwete, Edward Lowassa, Rostam Azizi, Andrew Chenge na Benjamini Mkapa, ambao waliiuza hii nchi kwa kuanza kujihusisha na Masonic Lodges of Scottish Rite ambazo ni Foreign Services Recruitment Grounds. CCM ndiyo wasaliti, hakuna mwingine.

Pili, hata a world class Spy Organizations kama MI6, MOSSAD, CIA, KGB na MSS huingiliwa na adui, sembuse TISS na TPDF. Uzuri ni kwamba, TISS na TPDF hazifanyi kazi kama Saccoss ya wauza sambusa. Kuna Compartmentalization na Security Level Clearance. Huwezi kufanya kazi ambayo hujapewa, wala huwezi kuingia mlango ambao hujaitwa, wala huwezi kwenda mkoa ambao hujapewa ruhusa kwenda.

Case Officers wa Foreign Directorate, hamfahamu Case Officer wa Counter-intelligence, Case Officer wa Directorate of Military Affairs, hamfahamu Case Officer wa Department of Law Enforcement au Department of Recruitment, Research and Training. Eti kwamba, TISS na TPDF ni kama pagale unaloamua hata kuingilia dirishani tu.

Sisi tunasubiri huyo Kagame akosee njia muone.
Hizo nadharia waombe waanzishe kituo ufundishe majuha km wewe..maana zimejaa kichwani na huna pa kuzitolea..nchi ni failure case in every front halafu mjinga anajipiga kifua eti waambie wavamie, nani avamie ilhali uko mufilisi kila taarifa anayotaka anaipata..wewe hangaikia udini wenu unaowapeleka shimoni ni suala la muda tu case itajifunga yenyewe..a failed state! haihitaji mtu kuvamia..
 
Hizo nadharia waombe waanzishe kituo ufundishe majuha km wewe..maana zimejaa kichwani na huna pa kuzitolea..nchi ni failure case in every front halafu mjinga anajipiga kifua eti waambie wavamie, nani avamie ilhali uko mufilisi kila taarifa anayotaka anaipata..wewe hangaikia udini wenu unaowapeleka shimoni ni suala la muda tu case itajifunga yenyewe..a failed state! haihitaji mtu kuvamia..
Tanzania haina historia ya GENOCIDE. Rwanda ina historia ya GENOCIDE, zaidi ya mara moja. Mpaka sasa mnapiga siasa tu, lakini sisi tunaowafahamu vizuri tunajua kwamba majeraha yenu hayajapona na mnachekeana kinafiki, na Rwanda inahitaji kusukumwa kidogo tu, mrudi kulekule kwenye asili yenu.

Rwanda is WORLD'S GENOCIDE CAPITAL and A SCUM OF THE CONTINENT. Kila jambo baya ambalo binadamu anaweza kulisoma na kuogopeshwa nalo kama Extermination, Murder, Rape, Pillage, Torture and Medieval Bloodthirst Mayhem yanafanyika Rwanda, tena siyo tu kwenye utawala mmoja, bali tangu enzi za Kayibanda, Hybarima na sasa Kagame.

Hivyo, sisi tunafahamu ni suala la muda tu Rwanda itarudi kulekule. Kinachoendelea kwasasa tunaita A Calm Before The Storm, kama ilivyokuwa YUGOSLAVIA chini ya dikteta Josip Broz Tito, ambaye alionekana kuijenga YUGOSLAVIA na kuondoa UKABILA, hadi kufika kitendo cha kutunishia misuli kina Joseph Stalin lakini leo kiko wapi ??? Walirudi kulekule na kuchinjana kama kuku.

Tanzania na madhaifu yetu yote, walau hatujawahi kuwa na historia ya STATE SPONSORED GENOCIDE. Watu watajadili dini lakini kesho Raisi anakuwa Mkristo na maisha yanaenda mbele. Sasa huko Rwanda, Tutsi ndiyo mnashika nchi, ila muda ukifika tutaona....

Ni suala la muda tu.....
 
Tanzania haina historia ya GENOCIDE. Rwanda ina historia ya GENOCIDE, zaidi ya mara moja. Mpaka sasa mpaniga siasa tu, lakini sisi tunaowafahamu vizuri tunajua kwamba majeraha yenu hayajapona na mnachekeana kinafiki, na Rwanda inahitaji kusukumwa kidogo tu, mrudi kulekule kwenye asili yenu.

Rwanda is WORLD'S GENOCIDE CAPITAL and A SCUM OF THE CONTINENT. Kila jambo baya ambalo binadamu anaweza kulisoma na kuogopeshwa nalo kama Extermination, Murder, Rape, Pillage, Torture and Medieval Bloodthirst Mayhem yanafanyika Rwanda, tena siyo tu kwenye utawala mmoja, bali tangu enzi za Kayibanda, Hybarima na sasa Kagame.

Hivyo, sisi tunafahamu ni suala la muda tu Rwanda itarudi kulekule. Kinachoendelea kwasasa tunaita A Calm Before The Storm, kama ilivyokuwa YUGOSLAVIA chini ya dikteta Josip Broz Tito, ambaye alionekana kuijenga YUGOSLAVIA na kuondoa UKABILA, hadi kufika kitendo cha kutunishia misuli kina Joseph Stalin lakini leo kiko wapi ??? Walirudi kulekule na kuchinjana kama kuku.

Tanzania na madhaifu yetu yote, walau hatujawahi kuwa na historia ya STATE SPONSORED GENOCIDE. Watu watajadili dini lakini kesho Raisi anakuwa Mkristo na maisha yanaenda mbele. Sasa huko Rwanda, Tutsi ndiyo mnashika nchi, ila muda ukifika tutaona....

Ni suala la muda tu.....
1. Historia iko wazi, nchi nyingi zilizofanikiwa zimepita kwenye catastrophes nyingi tofauti genocide ikiwemo..but then rising from the ashes to the level of being one of the glittering states in the region..nadhani unaona kinachofanyika na hatua wanazochukua kutorudi kwenye genocide..
2. Miaka zaidi ya 60 ya uhuru nchi bado inastruggle na pet issues za ubinafsi, wizi na ignorance ya kijuha..kwamba mwekezaji ni mzungu na mwarabu..! madini yanabebwa, wanyama wanauzwa nk km vile dunia inakwisha wiki ijayo..huku hao unaowasifu wapo na wanaona kila kitu lakin wamegeuka watazamaji kwenye nchi yao wenyewe, sembuse ku-risk maisha yao frontline..wanaanzia wapi?
3. Hupati mafanikio kwa kukariri historia na mazingaombwe ya uchaguzi na uchawa mwingi, seriousness n discipline..high discipline into action..na hiyo ndio tofauti ya mataifa yanayotegemea mikopo na misaada na yanayofahamu wajibu na kile walichonacho kuwaendeleza! inachoweza Tanzania kwa sasa ni usanii, mpira na uchawa..mengine yote including hayo unataja hayapo ni nadharia tu na ubabaishaji mwingi..
 
1. Historia iko wazi, nchi nyingi zilizofanikiwa zimepita kwenye catastrophes nyingi tofauti genocide ikiwemo..but then rising from the ashes to the level of being one of the glittering states in the region..nadhani unaona kinachofanyika na hatua wanazochukua kutorudi kwenye genocide..
You must be really stupid to think that history is a TRIBUNAL which all civilizations are judged equally. That because it happened to Israel then it will eventually happen to Rwanda. Just Pathetic.
2. Miaka zaidi ya 60 ya uhuru nchi bado inastruggle na pet issues za ubinafsi, wizi na ignorance ya kijuha..kwamba mwekezaji ni mzungu na mwarabu..! madini yanabebwa, wanyama wanauzwa nk km vile dunia inakwisha wiki ijayo..huku hao unaowasifu wapo na wanaona kila kitu lakin wamegeuka watazamaji kwenye nchi yao wenyewe, sembuse ku-risk maisha yao frontline..wanaanzia wapi?
Walau sisi miaka sitini hatujawahi kushikiana mapanga kwa zaidi ya miaka 60 kama Rwanda. Tuna udhaifu wa rushwa ambao hata kwenu Rwanda upo mkubwa tu. Hakuna mtanzania alishawahi kuwa MKIMBIZI nchi ya jirani tena zaidi ya mara nne, kama mlivyo ninyi ambao wengi wenu mmekulia kambi za wakimbizi, ambapo tuliwasomesha na kuwasaidia kurudi Uganda na Rwanda.

This is TANZANIA.
3. Hupati mafanikio kwa kukariri historia na mazingaombwe ya uchaguzi na uchawa mwingi, seriousness n discipline..high discipline into action..na hiyo ndio tofauti ya mataifa yanayotegemea mikopo na misaada na yanayofahamu wajibu na kile walichonacho kuwaendeleza! inachoweza Tanzania kwa sasa ni usanii, mpira na uchawa..mengine yote including hayo unataja hayapo ni nadharia tu na ubabaishaji mwingi..
Kiufupi hakuna taifa Afrika ambalo halitegemei misaada na mikopo. MPUMBAVU tu ambaye hajaenda shule ndiyo anaweza kudhani Rwanda yenye GDP $ Bil 13.7 na Per Capita Income ya $ 988 is an AUTARKY ni nchi iliyoendelea.

Canada na Ujerumani wametishia kukata mirija ya pesa za misaada, and Kigali was thrown into chaos. And some fool, thinks this country can do anything to Tanzania.

Ati Rwanda..
 
You must be really stupid to think that history is a TRIBUNAL which all civilizations are judged equally. That because it happened to Israel then it will eventually happen to Rwanda. Just Pathetic.

Walau sisi miaka sitini hatujawahi kushikiana mapanga kwa zaidi ya miaka 60 kama Rwanda. Tuna udhaifu wa rushwa ambao hata kwenu Rwanda upo mkubwa tu. Hakuna mtanzania alishawahi kuwa MKIMBIZI nchi ya jirani tena zaidi ya mara nne, kama mlivyo ninyi ambao wengi wenu mmekulia kambi za wakimbizi, ambapo tuliwasomesha na kuwasaidia kurudi Uganda na Rwanda.

This is TANZANIA.

Kiufupi hakuna taifa Afrika ambalo halitegemei misaada na mikopo. MPUMBAVU tu ambaye hajaenda shule ndiyo anaweza kudhani Rwanda yenye GDP $ 13.7 na Per Capita Income ya $ 988 is an AUTARKY ni nchi iliyoendelea.

Canada na Ujerumani wametishia kukata mirija ya pesa za misaada, and Kigali was thrown into chaos. And some fool, thinks this country can do anything to Tanzania.

Ati Rwanda..
Kazi yangu kuchukua madini tu!

Kwenye nyuzi/Uzi tofauti kazi yangu ni kukusanya mchango wako na kutengeneza kitabu kwa ajili yangu. Ndiyo kazi ninayoifanya sasa hivi.

Nikiikamilisha hii kazi kwa hisani yako niruhusu nikufahamishe.
 
Kazi yangu kuchukua madini tu!

Kwenye nyuzi/Uzi tofauti kazi yangu ni kukusanya mchango wako na kutengeneza kitabu kwa ajili yangu. Ndiyo kazi ninayoifanya sasa hivi.

Nikiikamilisha hii kazi kwa hisani yako niruhusu nikufahamishe.
That chap is exemplary
 
Jibu swali unakimbia nini.wewe sababu umeona Flemu Lugalo ukaja kusema Rwanda wataichukua Tanzania ujioni Kama unakurupuka tu.
We endelea kutetetea ujinga, ukweli umeshaonekana. Kanali amerudi kupitia Rwanda na anakaguliwa na polisi. Halafu unasema kwa thorax Tanzania tuna jeshi. Morali ya jeshi inaanza na raia wa kawaida, kama raia wa kawaida amekosa matumaini na nchi yake jeshi je ? Jeshi la Kongo ni dhaifu kwa sababu ukimuangalia raia wa kawaida wa kongo hana matumaini na serikali. Wanajeshi watatoa wapi matumaini ? Nchi hii ikiendelea hivi 2040 tutakuwa kama Congo. Ninajua ninachokisema ninaposema Rwanda anaweza kuichukua Tanzania nzima.
 
Back
Top Bottom