Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Asante sana.

Kupitia ufafanuzi nimepata majibu mengi ambayo nayakubali. Kila kitu ulichosema kipo kwenye uwezekano wa kutokea na kufanyika.
Mwijage aliyejifanya ni A Progressive Sympathiser kwa Uganda, alidakiwa kule Lesotho. Ndiyo maana nawaangalia wanyarwanda wa Tanzania humu JF na Twitter wakihubiri propaganda na kuwahadaa watanzania, bila kufahamu kwamba kukichafuka, shingo zao ndiyo zitakuwa za kwanza kabisa kukatwa.

Sijui kwanini hawana akili hawa watu.
 
Vipi Uganda ikiwa chini ya Muhoozi na Rwanda hii ya Kagame zikiungana dhidi ya Tanzania?

Hauoni kuwa hii ni hatari ya mbele tunayopaswa kujiandaa nayo?
Mosi, walishindwa kukaa pamoja baada ya The Ugandan Bush War, ambapo tabaka kubwa baina ya Watutsi wa Uganda na Watutsi wa Rwanda lilionekana, na kupelekea kina Rwigyema na Kagame kuondolewa jeshini na serikalini. Leo hii miaka 40 baadaye kila mtu keshaonja radha ya madaraka unadhani ndiyo wataweza kuungana ??? Kule Kisangani kisa kichaa cha madini Waganda na Wanyarwanda walichinjana kama kuku, na mpaka leo wanatunishiana misuli.

Pili, hakuna uhakika wowote kama Muhoozi atatawala na kuwa Raisi kama baba yake. Kuna watu wengi tu waliopigana na Museveni msituni wanaitamani hiyo nafasi, unadhani kijana ambaye ameletewa kila kitu watamkubalia aongoze nchi kirahisi hivyo , au umesahau ya Mnangagwa (The Crocodile) na Grace Mugabe (Gucci Grace) ambaye aliaminika kwamba ndiyo atakuwa raisi wa Zimbabwe ???

Tatu, taasisi za Uganda ambayo ni nchi yenye ukabila mkubwa mno, hazina uzoefu wowote ule na Peaceful Transition of Power. Viongozi wote wa Uganda kuanzia Mutesa, Obote, Amin, Lule, Binaisa, Muwanga, Okelo na Museveni wameingia kihuni tu. Sasa unaamini kabisa kwamba Muhoozi atapewa tu nchi na kuachwa awe raisi ???

In actual sense, Rwanda na Uganda are more vulnerable politically and security-wise than Tanzania. Countries plagued by ethnic tensions are easy to destabilize. Tanzania took advantage of Ugandan ethnic and religious tension to destabilize the government of Idd Amin, which was more sophisticated in terms of security than the current Ugandan government.

Once you get out of this defensive posture, you'll discover why Kagame has all the rights to be paranoid against Tanzania. All these propagandas are not intended for DRC or SA, but Tanzania. It hurts Kagame's ego, thinking that he is where he is because of Tanzania. If it wasn't IDARA recruiting and training him an Morogoro and Mozambique, he could have been a nobody in Mbarara.

If you know, you know.
 
Mosi, walishindwa kukaa pamoja baada ya The Ugandan Bush War, ambapo tabaka kubwa baina ya Watutsi wa Uganda na Watutsi wa Rwanda lilionekana, na kupelekea kina Rwigyema na Kagame kuondolewa jeshini na serikalini. Leo hii miaka 40 baadaye kila mtu keshaonja radha ya madaraka unadhani ndiyo wataweza kuungana ??? Kule Kisangani kisa kichaa cha madini Waganda na Wanyarwanda walichinjana kama kuku, na mpaka leo wanatunishiana misuli.

Pili, hakuna uhakika wowote kama Muhoozi atatawala na kuwa Raisi kama baba yake. Kuna watu wengi tu waliopigana na Museveni msituni wanaitamani hiyo nafasi, unadhani kijana ambaye ameletewa kila kitu watamkubalia aongoze nchi kirahisi hivyo , au umesahau ya Mnangagwa (The Crocodile) na Grace Mugabe (Gucci Grace) ambaye aliaminika kwamba ndiyo atakuwa raisi wa Zimbabwe ???

Tatu, taasisi za Uganda ambayo ni nchi yenye ukabila mkubwa mno, hazina uzoefu wowote ule na Peaceful Transition of Power. Viongozi wote wa Uganda kuanzia Mutesa, Obote, Amin, Lule, Binaisa, Muwanga, Okelo na Museveni wameingia kihuni tu. Sasa unaamini kabisa kwamba Muhoozi atapewa tu nchi na kuachwa awe raisi ???

In actual sense, Rwanda na Uganda are more vulnerable politically and security-wise than Tanzania. Countries plagued by ethnic tensions are easy to destabilize. Tanzania took advantage of Ugandan ethnic and religious tension to destabilize the government of Idd Amin, which was more sophisticated in terms of security than the current Ugandan government.

Once you get out of this defensive posture, you'll discover why Kagame has all the rights to be paranoid against Tanzania. All these propagandas are not intended for DRC or SA, but Tanzania. It hurts Kagame's ego, thinking that he is where he is because of Tanzania. If it wasn't IDARA recruiting and training him an Morogoro and Mozambique, he could have been a nobody in Mbarara.

If you know, you know.
Shukrani sana kwa nondo murua.

But huoni hofu yeyote if Muhoozi manages to get the Top position?

What about Tutsi's nfluences in the Uganda army? Huoni that Muhoozi can use that influence to be Uganda President after the demise of his father?

What about Kagame being former Intelligence Chief of Uganda mwenye uzoefu na knowledge about Uganda? Don't you see atataka Muhoozi awe Rais kwa Uganda baada ya Baba yake ili nae msaidie mwanae (Ian Kagame) kuwa Rais hapo badae?
 
Mkuu, watutsi ni moja ya makabila yaliyomo nchini Tanzania.

Watutsi wamekuwepo hapa nchini hata kabla ya Tanzania kuzaliwa kama nchi mwaka 1961. Wamekuwepo kwenye dola la Bunyoro Kitara, wamekuwepo kwenye dola la Chwezi, na wamekuwepo chini ya Lumanyika kama Wanyankole na Wanyambo.

Kubwa zaidi dola la Waha ambalo ndilo lilikuwa kubwa ukanda huu (The Buha Kingdom) lilikuwa na wakina Mwami waliokuwa na asili ya Kitutsi. Watutsi wengine walikuwa ni wafanyakazi wa machifu wa Kinyamwezi ambao ndiyo walikuwa matajiri zaidi ukanda huu wote wakiwa ni wakulima wakubwa, wafugaji, wawindaji na wafanyabiashara wa pembe za ndovu. Watutsi waliajiriwa kama wachunga ng'ombe wa machifu kama Mirambo na Isike.

Hivyo sioni dhambi yoyote wala shida ya Watutsi kushika nafasi kubwa serikalini, kwasababu ni watanzania. Tena kuna wengine ni waungwana mno na wamelitumikia taifa hili kwa uzalendo mkubwa tu. Watutsi wako Tanzania, Uganda, Burundi, Rwanda na Congo, japo hawaongei lugha moja. Kilichofanya Watutsi wa Tanzania wasiwe kama watutsi na Uganda, Burundi, Rwanda na DRC, ni sheria mbili ambazo ni: Chiefs (Abolition of Office: Consequential Provisions) Act of 1963 na The Nyarubanja Tenure (Enfrenchasiment) Act of 1965.

Hizi sheria zilivunja matabaka ya kikabila yaliyokuwepo kanda ya Ziwa na kubadilisha mfumo zima wa umilikaji mali. Kule Rwanda, Burundi na Kigoma, Ututsi na Uhutu vilikuwa ni Social Classes, tofauti na wengi wanavyotuaminisha. Kwamba Mtutsi alikuwa ni mtu yoyote yule mwenye mali kama ng'ombe na ardhi, huku Mhutu akiwa ni mtu yoyote asiye navyo. Ndiyo maana mtu alikuwa anaweza kutoka kuwa Mhutu, hadi kuwa Mtutsi kisa mali.

Tanzania tuliufuta huu upuuzi mapema kabisa, na mali zote zikawa na Ummah na tukapeleka watu kwenye vijiji vya Ujamaa kinguvu na kuwachanganya watanzania wote. Shule za kidini ambazo zilikuwa zimetengenezwa kwa lengo a kuelimisha watoto wa machifu zikataifishwa na nchi ya Tanzania ikaanza kupona taratibu wakati wengine kama Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya wakikabana makoo.

Sasa, haya yanayotekea sasa hapa ni kitu kitaalamu, muingereza Professor Roger Griffin anakiita Palingenetic Ultranationalism, ambapo taifa, jamii au kabila fulani ili kujijenga kisiasa linatafuta hadithi (A Unifying Myth) kwamba wao hapo kale walikuwa ni watu fulani wakubwa na mashughuli lakini baadaye, jamii yao ikapoteza huo umashughuli, hivyo sasa inabidi waungane tena ili kufufua jamii yao ya zamani. Kifupi ni siasa za Kifashisti tu, ambazo Mwafrika mjinga anazikumbatia.

Hapa wale wanaojiita Watutsi, wanaanza kuzungumzia dola la Wachwezi ambalo ndilo lilijaa Wahima, japo haliwahi kuwa kubwa kama wanavyotaka kusema. Wanasema maeneo yao yote yanaanzia Uganda, Tanzania kanda ya ziwa, Burundi, Rwanda na Congo, japo kiukweli hakujawahi kuwa na dola la namna hiyo. Hivyo ni siasa za kifashisti tu, kama zile za Adolf Hitler kusema Germans are a Master Race au Wazayuni kusema wao ndiyo binadamu wengine wote ng'ombe.

Bahati mbaya sana, ujinga kama huu huwa unauza sana na wengi hujikuta wameingizwa bila kutegemea na kutoka inakuwa shida. Mfano mzuri kabisa, ni kwamba mgogoro wa DRC kwasisi tunafahamu ni kwamba umeanza hata kabla ya Kagame na Museveni kuzaliwa na hautaisha hata wakiondoka. Paul Kagame hajaivuruga DRC ila anatumia mianya hiyo kujinufaisha. Paul Kagame and Rwanda are not destabilizing DRC, but they just take advantage of the pre-existing conditions.

Huu ugomvi ni wa kimaslahi zaidi kuliko ukabila. Ukabila unatumika kama kigezo tu, lakini zaidi zaidi ni maslahi na madini ya DRC. Ni kama na vita ya Angola 1975-1991, ilikuwa siyo Ukomunisti wala Ubepari, ilikuwa ni madini na maslahi tu, bahati mbaya ukabila ukaingizwa kama moja ya visababishi.

Kuna vijana wa kitanzania, huwa wanatoka kwao Bukoba, Kigoma na Tabora kwenda kabisa kupigana vita DRC wakisema wanalinda watu wao wanaouwawa na wakongo. Hili ni jambo la hatari mno na kipumbavu. Mwaka 2005, vijana wengi wa Kiislamu kutoka Tanzania, walikamatwa Somalia, na wakahojiwa na marehemu Dr Mahiga, wakasema walichukuliwa misikitini na kwenda kupewa mafunzo wakisema kwamba wanapigania dini.

Lakini ukiangalia ukweli vijana hawa walikuwa wameenda kule zaidi zaidi kwasababu za kiuchumi, maana walikuwa wanalipwa na huku nchini walikuwa hawana ajira. Ndilo suala kama hili tulipambana nalo Kibiti mwaka 2017, watu wana maslahi yao lakini wanaamua kutumia mwamvuli wa dini kuingiza vijana wa kiislamu kwenye matatizo yasiyo na kichwa wala miguu mwishowe wakawaponza Waislamu wote wa Wilaya ile ambayo ilifungwa kabisa na mauaji ya kutisha yakaendeshwa na vyombo vya usalama.

Mwaka 2013-2014, ilianza hii minong'ono na Louise Mushikiwabo akamtukana Jakaya Kikwete na kuseme kilekile ambacho CDF alikisema kwamba kuna watu wa nchi jirani wako kwenye nafasi nyeti za serikalini, hivyo hawatatumia nguvu kupigana na Tanzania zaidi zaidi watamwaga fedha. Wajinga wengine wa kule Ngara wakaanza kufurahia, na kilichofuata ni kwamba Wilaya nzima ilizingirwa na Ethnic Cleansing ikaanzishwa kwa kivuli cha Operesheni Kimbunga, kufukuza wahamiaji haramu.

Watu wengi, hasahasa Wanyambo na Wahayo, wakajikuta kwenye Cross-Fire, ya kutaifishiwa mali, mashamba na hata kuuwawa. Watutsi wengi waliokuwepo serikalini wakaitwa na kuanza kufanyiwa Harassment, kwa kivuli cha Security Measures. Kuna wachungaji ni watanzania waliitwa na familia yake nzima na kuanza kuhojiwa, tena siyo mara moja. Kule mpakani wakawa wanafanya kile Trump alikifanya mwaka 2019 kuwatengenisha watoto na wazazi wao. It was a total nightmare.

NAMALIZIA NA MIFANO MIWILI HAI:

Mosi, mwaka 1991, wakati Saddam Hussein anavamia Kuwait, kabila la Bedoons ambao wako hadi Iraq, waliona nchi ya Iraq ndiyo kinawara wao wa kuwarudisha to Former Greatness, waliisaliti nchi yao na kumuunga mkono Saddam Hussein kwenye uvamizi wake haramu wa kumega kipande cha nchi huru. Vita ilipopamba moto na mambo yakawa mabaya kwa Iraq, jeshi la kuwaita likaanza kuchinja Bedoons. Walikuwa wanaenda kijiji baada ya kijiji, na wanaua watu na wengine wakafukuzwa kazi. Vita imeisha tu, serikali ya Kuwait ikawavua uraia Bedoons zaidi ya 50,000 kwa usaliti, mpaka leo wanahangaika.

Pili, wajapani nao hasahasa baada ya kupata maendeleo, hasahasa baada ya kumtandika Urusi (Russo-Japanese War 1905) na Uchina mwaka 1931 (The Invasion of Manchuria) wakaanzisha huu ujinga wa Palingenitic Ultranationalism. Waliamini kwamba wao ni watu wa tofauti, kumbe ni hatua za maendeleo tu ya binadamu ambayo kila jamii hupitia.

Wakajidanganywa mwaka 1941, wakavamia Marekani na kuua watu zaidi ya 2000. Huku wajapani wote waliokuwepo duniani wakishangilia, hasahasa wale waliokuwa ni raia wa Marekani. Kilichofuatia hakikuwa kizuri. Raisi Roosevelt akatangaza Executive Order ambayo ilimtaka kila raia wa Marekani mwenye asili ya Kijapani kufungiwa kwenye A Concentration Camp, kwasababu walionekana wangeweza kufanya uzandiki. Watu zaidi ya 120,000 walikamatwa na kufungiwa ilhali ni raia wa Marekani.

Hili likajirudia kipindi cha Senator McCarthy (The Red Scare), miaka ya 1950's ambaye alifukuza maelfu ya wachina Marekani kwasababu wengi wao walikuwa wanaonesha kuvutiwa mno na sera za kikomunisti za Uchina na kufanya ujasusi na kuhujumu Marekani. Watu wengi walikataziwa kusoma kichina wala kuvaa mavazi ya kichina, huku wengine kama Morris Chang, mwanzilishi wa TSMC wakinyanyaswa sana na kuwekwa Dentention.

====================================================
Kagame na Musseveni wakianzisha ujinga wowote na Tanzania, basi watawaponza watu wengi sana kuanzia Bukoba, Kigoma, Mwanza na Tabora. Kipindi cha vita serikali hutumia Propaganda kuwajaza watu upepo, na moja ya mbinu ni kutumia ukabila kama ilivyokuwa Operesheni Kimbunga, ambayo watanzania wengi walileteana unoko hata mtu na ndugu yake.

Watu kama Bashungwa, Masingilingi, Doto, Mafwele na wengine watapitia kipindi kigumu mno cha kuteswa na kubaguliwa au hata kuhatarisha uhai wao. Vita ya Kagera tu iliwaponza mno Wahaya, baada ya baadhi yao kukamatwa kama majasusi wa Uganda na hakuna anayelizungumzia hili. Wahafidhina kwenye vyombo vya usalama kama kina Mzee Mlawa wakachukulia ni kabila zima, na waliwanyoosha kwelikweli. Ni kwamba tu Mzee Nyerere alikuwa na busara nyingi mambo hayakwenda mlama.
I salute 🫡 you
 
Vita hivyo mnavyoendesha congo kwa waliosalitiana unajisifia navyo? Na una sema tunabeba mbwa?. Waambie hao wanaume zenu watie mguu Tanzania Kama alivyofanya iddi amini dada. Alafu uone Kama wanabeba mbwa au kimbau mbau ajatafute pa kwenda uamishoni. Ushoga wenu pelekeni uko uko kwa wasiliti wa kikongo siyo Tanzania. Mtakuja kuvaa magaoni mjifanye wanawake msiguswe. Lopoka tu
Mimi ni mtanzania kwa uongozi tulio nao Rwanda inaweza kuichukua nchi nzima.
 
WanaCV za kawaida sana hawafikii hata za makatibu wakuu wetu
Ndugu yangu leta hapa data, tuna mkuu wa mkoa aliyemzaba vibao. Jaji mstaafu warioba . Amesoma kwa vyeti feki halafu unategemea tuwapige M23. Tulikuwa na makamu wa rais ambaye mke wake ni mtu wa Burundi na alikuwa anaenda kusalimia na gari la serikali. Tulikuwa na kanali ambaye ni raia wa Rwanda. Usalama wa taifa wanafocus na uchaguzi badala vitu muhimu.
 
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
We jamaa unaongea nini mbona kama unakimbizwa hebu kaa tulia ulete habari inayoeleweka.
Ninachojua ukiwa kwenye nchi za watu na ukafuata utaratibu ni jambo jema we ulitakaje kwani?
Au una malengo gani na Watz wenzio?
Ni kweli huna jema na nchi yako zaidi ya hili?
 
Lakini unatakiwa ukumbuke kwamba Israel ni nchi ndogo Sana tena ina idadi ndogo Sana ya watu, lakini nchi hiyo ya Israel inasumhua Sana kupita kiasi katika nchi zote kabisa zilizopo Mashariki ya Kati.
Mosi, Rwanda siyo Israel.

Pili, Israel haiui wala kubagua watu wake kikabila kama Rwanda.

Tatu, Israel ina nguvu kwasababu ina mifumo ya kiutawala inayofanya kazi.

Nne, Israel haiisumbui wala kukalia nchi yoyote Middle East zaidi ya Palestina.

Tano, Israel inakingiwa kifua na mataifa makubwa kama USA, UK na Germany.

Sita, Israel ni moja ya mataifa yanayoongoza kwenye kuzalisha sayansi na teknolojia inayosaidia dunia nzima.
=================================================

NB: Usifananishe Israel na vitu vya kijinga.
 
Wewe akili yako fupi sana. Jw we mtusi hamuiwezi kwa chochote. Wanaenda congo wapumbavu wale wanasalitiana nasaliti majeshi ya kigeni alafu unakuja hapa jukwaani mnajamba Jamba tu. Jw hamuiwezi vamieni Tanzania Kama mlivyofanya congo muone mziki.
Kama Rwanda iliweza kumweka Joseph kabila kuwa rais wa Congo itashinda kuichukua Tanzania. Tuna watu wa Rwanda, Kenya katika sekta kubwa za serikali na Usalama wa taifa upo. Juzi nimemchangia binti mmoja sendoff na baba yake ni mtu mkubwa serikalini. Nikamuuliza mbona ndugu na baba yako siwaoni kwenye group. Akasema group la ndugu ni warwanda kwa hilo hawezi kuwaweka watanzania kwa sababu italeta mkanganyiko. Aliniambia out of respect.
 
Ingawa we ni banys
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
We ni banyamulenge tunakujua, ht hivyo Tanzania haina vita na Rwanda ukiwa kwa watu unaheshimu taratibu zao jeshi letu lina nidhamu ya hali ya juu. Ulitegemea wangefanya nini ndani ya nchi ya watu? Acha utoto.
 
Ingawa we ni banys
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
 
Shukrani sana kwa nondo murua.

But huoni hofu yeyote if Muhoozi manages to get the Top position?

What about Tutsi's nfluences in the Uganda army? Huoni that Muhoozi can use that influence to be Uganda President after the demise of his father?

What about Kagame being former Intelligence Chief of Uganda mwenye uzoefu na knowledge about Uganda? Don't you see atataka Muhoozi awe Rais kwa Uganda baada ya Baba yake ili nae msaidie mwanae (Ian Kagame) kuwa Rais hapo badae?
Nimefanya mazungumzo na baadhi ya Waganda.

Wanasema hofu yao ni kwamba siku Museveni anaondoka itakuwa ni jambo rahisi mno kwa Paul Kagame kumuendesha Muhoozi kwasababu, The Chap is not smart and shrewd like his father, and he's gullible. Kufahamu kwamba Muhoozi au Ian wataweza kutawala kama baba zao inatakiwa tusubiri na kuona kama Rwanda na Uganda zitaka changamoto ambazo zimezikumba nchi zote hasahasa baada ya madikteta kufa. Kuna uzi niliandika kuhusu hili: Shajara ya Madikteta

Lakini tusiamini kwamba kwasababu Ian ni mtoto wa Kagame basi lazima atatawala kama Kagame, au Muhoozi ni mtoto wa Museveni basi naye atakuwa kama baba yake. Mfano hai ni hapo DRC: Kabila Jr si alipewa nchi, ila nini alifanya zaidi ya kuhakikisha anasababisha Bureaucratic Paralysis, au Gabon baada ya Ali Bongo kuachiwa nchi na baba yake Omar Bongo alifanya nini ???

Wote hawa wawili wameondoka kwa fedheha madarakani, huku Kabila akifanyiwa figisu za kutisha na kina Tsishikedi, huku Bongo akipinduliwa na jeshi. Hivyo Rwanda na Uganda ni suala la muda tu, wewe subiri.
 
Ingawa we ni banys
We ni banyamulenge tunakujua, ht hivyo Tanzania haina vita na Rwanda ukiwa kwa watu unaheshimu taratibu zao jeshi letu lina nidhamu ya hali ya juu. Ulitegemea wangefanya nini ndani ya nchi ya watu? Acha utoto.
Sio kesi watu wenye asili ya Rwanda kufanya kazi Tanzania.hata Marekani watu wa nje wapo kwenye taasisi mbalimbali ila tu wasiathiri usalama wa nchi
 
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Kagame kasema hamuogopi yeyote.
Na yupo teyari kwa vita anytime
 
U
Mimi ni mtanzania kwa uongozi tulio nao Rwanda inaweza kuichukua nchi nzima.
likuwa hauna haja ya kusema wewe ni mtanzania alafu uijui nchi yako. Rwanda aichukue Tanzania?. Hivi mnaona nchi hii ni nyepesi kiasi hicho eeh?. Una wazo ambalo hata Rwanda hawawezi hata kulifikilia. Watusi mna ujasiri wa kipumbavu sana. Jaribuni Kama haukuzaliwa mkoa mpya alafu congo wapate amani ya kweli. Baada ya Rwanda kuwa mkoa
 
Wanajua wanachofanya.. wanajua infiltration kwenye drc system..kila kinachofanyika wanajua..hata hii capture was well articulated..they new it. Sema sandf intelligence failed to know the impact of uchokozi na atari za declaration of war with sovereign state. Kifupi is only wazalendo who can defend otherwise asubuhi wanainiga leopardivile
Na hiyo baadaya ya kujenga usaliti ndani ya wacongo wenyewe
 
U

likuwa hauna haja ya kusema wewe ni mtanzania alafu uijui nchi yako. Rwanda aichukue Tanzania?. Hivi mnaona nchi hii ni nyepesi kiasi hicho eeh?. Una wazo ambalo hata Rwanda hawawezi hata kulifikilia. Watusi mna ujasiri wa kipumbavu sana. Jaribuni Kama haukuzaliwa mkoa mpya alafu congo wapate amani ya kweli. Baada ya Rwanda kuwa mkoa
Ndugu yangu tembea uone wewe ndio hauijui nchi yako. Nchi tunauza wanyama serengeti . Nchi Rais serikalini wamejaa watu kwa sababu ya uislamu na uzanzibari. Nchi kila kitu ni kizimkazi. Nchini kenye radio ni stori za udaku, mpira na ngono kuanzia asubuhi mpaka jioni. Nchi vijana waliobarikiwa kuwa na upeo mkubwa wa kiakili wanaachwa wapambane kivyao. Halafu unategemea tutampiga Rwanda.

Tanzania ilikuwa nchi kubwa sana miaka ya 80, kuna nchi kibao nndani na nje ya Afrika zilituheshimu. Kipindi hicho karibia nchizote za afrika zilijua Tanzania ni nchi kubwa na ya kuheshimika. Tanzania ya leo sio kama ya zamani. Hii nchi imepitwa hadi na Kenya katika kuheshimika kimataifa.Leo kuna makampuni makubwa branch zao za afrika(Nimesema Afrika sio East Afrika) ziko kenya.
 
Fa
Kama Rwanda iliweza kumweka Joseph kabila kuwa rais wa Congo itashinda kuichukua Tanzania. Tuna watu wa Rwanda, Kenya katika sekta kubwa za serikali na Usalama wa taifa upo. Juzi nimemchangia binti mmoja sendoff na baba yake ni mtu mkubwa serikalini. Nikamuuliza mbona ndugu na baba yako siwaoni kwenye group. Akasema group la ndugu ni warwanda kwa hilo hawezi kuwaweka watanzania kwa sababu italeta mkanganyiko. Aliniambia out of respect.
Fatilia vizuri usikurupuke Kama ujui kitu?. Huyo kabila mtoto kasoma Tanzania. Usikurupuke kwa vitu usivyovijua. Fatilia baba yake mzee Laurent desire kabila. Kawekwa na nani congo. Mtoto kapewa baada ya baba yake kuuwawa. Usiongee vitu usivyovijua
 
Back
Top Bottom