Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Maumivu ni makali mno pole sana chawa wa ccm haah
Hakuna kitu unajua kuhusu Tpdf zaidi ya uppuzi wa chuki. Fatilia michango yangu humu jamii forums humu sijawahi kuwa ccm Ila kuhusu jeshi la wananchi uniambii kitu wewe mtusi. Wapuuzi Kama wewe ndiyo wake watu wakija kukwambia muuwe mwenzio mnauwa. Hakuna jw wanatumia kofia nyeusi. Uwe na uelewa
 
  • Mshangao
Reactions: rr4
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Mnawaita wanamgambo wa m23 na bado wanawahenyesha......mkiwaita wanajeshi wa m23 mtapungukiwa nini 😁😁😁
 
Hakuna kitu unajua kuhusu Tpdf zaidi ya uppuzi wa chuki. Fatilia michango yangu humu jamii forums humu sijawahi kuwa ccm Ila kuhusu jeshi la wananchi uniambii kitu wewe mtusi. Wapuuzi Kama wewe ndiyo wake watu wakija kukwambia muuwe mwenzio mnauwa. Hakuna jw wanatumia kofia nyeusi. Uwe na uelewa
hiyo clip umeiona? hawa wanyarwanda ndio walikuwa wakimbizi hapa, tumewahifadhi, wengine wamesoma hapa. ni kwa nini wameamua kutukebehi hivi? kwa nini hawakufanya siri kutusitiri?
 
Haya wameyataka wenyewe.

Tumekuwa tukishauri Sana hapa mtandaoni kwamba Wanajeshi wa nchi yetu warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu hii, lakini inavyoonekana Watawala wa nchi hawataki kusikia ushauri wetu huo. Matokeo yake ndio haya sasa.

Maandiko Matakatifu yanasema kwamba "Aonywaye Mara nyingi naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena."
(Mithali 29: 1)

Kama ni suala la Kulinda Amani, basi Jeshi linapaswa kupeleka Wanajeshi wake katika nchi za mbali, lakini siyo kwenda kulinda amani katika nchi ambazo ni majirani zetu. Hii ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi. Wanajeshi Wapiganaji wa Vikosi vya Kulinda amani vinapaswa kupelekwa katika nchi za mbali huko Kama vile kwa mfano Pakistan, Lebanon, Mynmar, Haiti, n.k.

All in all, Wanajeshi wetu wanapaswa kupelekwa kwenda kulinda amani katika nchi zingine lakini muda wote kabisa wanapaswa wasimame katika Upande wa HAKI. Wasiende huko ili kwenda kuwatetea au kuungana na Watawala wa huko ambao ni Wadhalimu. Ujumbe wa Kulinda Amani usititumwe ili kwenda kusaidia au kuungana na upande wa Wadhalimu.

Daima Tukumbuke kwamba 'ukiungana na Wadhalimu basi Wapenda HAKI hawatakuwa upande wako.'
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Wakati napitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo, nimefanikiwa kumuona huyu mwanajeshi wa Tanzania anayelinda amani huko DRC akipekuliwa vikali huko Rwanda wakati akirejea nyumbani Tanzania:


View: https://x.com/MAbdallaziz/status/1896163224720150659/mediaViewer?currentTweet=1896163224720150659&currentTweetUser=MAbdallaziz

Kilichonishangaza sio upekuzi huu bali ni baadhi ya maoni ya wananchi waliokuwa wakichochea Tanzania iivamie Rwanda na kuigalagaza kisa mwanajeshi wake amepekuliwa kinyama wakati Rwanda ni mwanachama wa EAC. "Ina maana hatuaminiani?". Wamesikika baadhi ya wananchi wakihoji mtandaoni.

Kana kwamba hii haitoshi, wananchi wengine wameenda mbali zaidi kwa kuitaka Tanzania kufunga mipaka yake na Rwanda wakidai eti kwa kuwa Rwanda ni landlocked country, watadhoofika kiuchumi ili wawe na adabu.

MAONI YANGU
Watu wengine wanastahili kuhurumiwa kwa kuwa bado ni watoto wadogo hawajui nguvu na jeuri ya Rwanda kijeshi inatoka wapi. Wanachojua tu ni kutaka Tanzania ikurupuke kuivamia Rwanda kijeshi ili wanajeshi wetu waumizwe na washirika wa Rwanda. Hoja yao nyingine eti ni kwamba Rwanda ni ka nchi kadogo na kuwa kana watu wachache ukilinganisha na Tanzania; hivyo kanapigika vizuri tu! Hahaha! Watoto wengine wakishiba wanachekesha sana! Ndugu zangu siku hizi kuwa na idadi kubwa ya wanajeshi sio kigezo cha kushinda vita aiseee! Ingekuwa hivyo, Russia ingeiteka Ukraine ndani ya siku 5 tu!

Acheni masikhara ndugu zangu. Kama mtu umefunga, endelea tu na swaumu zako bila shida. Sio mtu ukila futari lako ukashiba ndii unaanza kuwaza chokochoko usoziweza.

Ukiona mbuzi yupo juu ya mti, muache kama alivyo. Hujui nani kampandisha. Mchokoe pweza uone kilichomtoa kanga manyoya. Never ever taste the poison or measure the depth of a river using both feet! Shauri yako!


They have accepted the Catastrophic Defeat!
 
Hii kitu naiona Mimi peke yangu au wengine mnaona?

Kwanza nasema hakuna jeshi Bora na lenye nguvu East and central Africa Kama jeshi la wananchi wa Tanzania kwa sababu ambazo siwezi kuzitaje hapa!!

We have very strong military lakini tunakosa meno ya amiri jeshi mkuu!!

Rais wangu urais ni zaidi ya kufanya mikutano ya hadhara tu!

Rais wangu unatambua chochoko za mwaka 2013 za Hawa wajinga zilivyozimwa?

Je mgogoro wa Malawi unajuwa ulivyozimwa?

Mtwara unajua mgogoro ulivyozimwa?

Panya Road unajua walivyozimwa mpaka sasa dar watu wanafanyakazi masaa 24?

Umesikia lini Tena mtu akifa mtwara, Au kuuuwawa na Panya road ?

Hii ndio maana halisi ya JWTZ hawafanyi kazi kwa porojo za kisiasa wanafanya kazi kwa mjibu wa report za kiusalama!

Rais wangu Samia fanyia kazi report ya usalama wa mipaka na Hatari ya m23 kuenea mashariki ya Kongo ambayo ipo mezani kwako!

Vijana tunahitaji go ahead tu kwenda kutengeneza historia!! Haiwezekani ndugu zetu kupokwa nchi next tutakuwa sisi na JWTZ haiwezi kukubali

Achana na kupoteza pesa kwenye uchaguzi uchwara wape pesa watu wakalipiganie Taifa efectively.

JWTZ isiguswe wala kuchezewa na yeyote ndio taasisi imara ambayo imebaki Tanzania.

Sioni jeshi la kupambana na JWTZ east and central Africa

Wape vija siraha wape vijana pesa wakalete pesa zaidi na usalama wa Kongo ndio usalama wa Tanzania.
 
Hii kitu naiona Mimi peke yangu au wengine mnaona?

Kwanza nasema hakuna jeshi Bora na lenye nguvu East and central Africa Kama jeshi la wananchi wa Tanzania kwa sababu ambazo siwezi kuzitaje hapa!!

We have very strong military lakini tunakosa meno ya amiri jeshi mkuu!!

Rais wangu urais ni zaidi ya kufanya mikutano ya hadhara tu!

Rais wangu unatambua chochoko za mwaka 2013 za Hawa wajinga zilivyozimwa?

Je mgogoro wa Malawi unajuwa ulivyozimwa?

Mtwara unajua mgogoro ulivyozimwa?

Panya Road unajua walivyozimwa mpaka sasa dar watu wanafanyakazi masaa 24?

Umesikia lini Tena mtu akifa mtwara, Au kuuuwawa na Panya road ?

Hii ndio maana halisi ya JWTZ hawafanyi kazi kwa porojo za kisiasa wanafanya kazi kwa mjibu wa report za kiusalama!

Rais wangu Samia fanyia kazi report ya usalama wa mipaka na Hatari ya m23 kuenea mashariki ya Kongo ambayo ipo mezani kwako!

Vijana tunahitaji go ahead tu kwenda kutengeneza historia!! Haiwezekani ndugu zetu kupokwa nchi next tutakuwa sisi na JWTZ haiwezi kukubali

Achana na kupoteza pesa kwenye uchaguzi uchwara wape pesa watu wakalipiganie Taifa efectively.

JWTZ isiguswe wala kuchezewa na yeyote ndio taasisi imara ambayo imebaki Tanzania.

Sioni jeshi la kupambana na JWTZ east and central Africa

Wape vija siraha wape vijana pesa wakalete pesa zaidi na usalama wa Kongo ndio usalama wa Tanzania.
Uwongo mkubwa sana huu
 
Hii kitu naiona Mimi peke yangu au wengine mnaona?

Kwanza nasema hakuna jeshi Bora na lenye nguvu East and central Africa Kama jeshi la wananchi wa Tanzania kwa sababu ambazo siwezi kuzitaje hapa!!

We have very strong military lakini tunakosa meno ya amiri jeshi mkuu!!

Rais wangu urais ni zaidi ya kufanya mikutano ya hadhara tu!

Rais wangu unatambua chochoko za mwaka 2013 za Hawa wajinga zilivyozimwa?

Je mgogoro wa Malawi unajuwa ulivyozimwa?

Mtwara unajua mgogoro ulivyozimwa?

Panya Road unajua walivyozimwa mpaka sasa dar watu wanafanyakazi masaa 24?

Umesikia lini Tena mtu akifa mtwara, Au kuuuwawa na Panya road ?

Hii ndio maana halisi ya JWTZ hawafanyi kazi kwa porojo za kisiasa wanafanya kazi kwa mjibu wa report za kiusalama!

Rais wangu Samia fanyia kazi report ya usalama wa mipaka na Hatari ya m23 kuenea mashariki ya Kongo ambayo ipo mezani kwako!

Vijana tunahitaji go ahead tu kwenda kutengeneza historia!! Haiwezekani ndugu zetu kupokwa nchi next tutakuwa sisi na JWTZ haiwezi kukubali

Achana na kupoteza pesa kwenye uchaguzi uchwara wape pesa watu wakalipiganie Taifa efectively.

JWTZ isiguswe wala kuchezewa na yeyote ndio taasisi imara ambayo imebaki Tanzania.

Sioni jeshi la kupambana na JWTZ east and central Africa

Wape vija siraha wape vijana pesa wakalete pesa zaidi na usalama wa Kongo ndio usalama wa Tanzania.
Sijui kwanini wanafikiri kwamba vita ya nchi na nchi nikama mazoezi ya mpira wa simba na Yanga.
 
Umesema vizuri kabisa. Ila kwa maoni yangu, vyovyote vile tunahitaji kufanya jambo ambalo halikuwahi kufikiriwa ili tuanze upya vizuri na tuwe vizuri.

Jambo hilo ni kuiondoa CCM na mizizi yake. Pili tubadilishe Katiba kuondoka mamlaka kwa Wanasiasa na badala yake nchi iongozwe na kudhibitiwa na mifumo kitaalam.

Kumlaumu Samia wakati tunajua mzizi wa haya yote ni KATIBA MBOVU inayowapa mizizi na umungu wanasiasa ambao ndo hao CCM na Rais wao tutakuwa tunakwepa ukweli mchungu ambao ni lazima tu u face ili tuweze kusonga mbele
Hebu tuanze na ile bandari yetu pendwa na DP World.

Mwaka wa tatu huu sasa, mapato yamepanda kwa kiwango gani ???
 
Hakuna kitu unajua kuhusu Tpdf zaidi ya uppuzi wa chuki. Fatilia michango yangu humu jamii forums humu sijawahi kuwa ccm Ila kuhusu jeshi la wananchi uniambii kitu wewe mtusi. Wapuuzi Kama wewe ndiyo wake watu wakija kukwambia muuwe mwenzio mnauwa. Hakuna jw wanatumia kofia nyeusi. Uwe na uelewa
Pole maumivu ni makali haah
 


Huu ni upuuzi mtupu.

Rwanda kuitoa serikali ya Hyabarimana na kuiendelea kuitesa DRC nchi yenye Bureaucratic Paralysis haikuifanyi Rwanda kuwa na jeshi bora kuliko Tanzania. Let this sink in, in your head.

Endapo vita itatokea baina ya Rwanda na Tanzania, basi itakuwa ni ile kitaalamu tunaiita Mass Mobilization Industrial Warfare, ambayo GDP nzima ya nchi inasimama na kuanza kufanya shughuli za kivita (Industrial Economy).

Sasa Rwanda, ili apambane na nchi kubwa kama Tanzania, kwanza ni lazima ajihakikishie vitu vikuu viwili, DIPLOMATIC VICTORY na INDUSTRIAL CAPABILITY/STEADY SUPPLY OF ARMAMENTS. Bahati mbaya sana hakuna taifa la Afrika ukiyatoa Egypt na Algeria yenye uwezo wa kupambana kijeshi kwa kutumia mbinu za Blitzkrieg, kwamba anafanya COMBINED OPERATIONS kuhakikisha adui anamalizika ndani ya wiki tu.

Tanzania na Rwanda, tukipambana itakuwa ni A WAR OF ATTRITION, ambapo itategemea sana HEAVY ARTILLERY na MANPOWER. Atakayefanikiwa kumchosha mwenzake kwa muda mrefu ndiyo anaibuka mshindi. Hapa itategemea A STEADY SUPPLY OF ARMAMENTS jambo ambalo kwa Rwanda na Tanzania ni changamoto ukizingatia, hatuna silaha za viwanda vya silaha na sisi ni wanunuzi tu. Lakini kubwa zaidi uwezo wa Rwanda na Tanzania kufanya Voluntary Conscription.

Tanzania Active Military Personnel ni 30000, huku Reserve ni 90,000. Hivyo jumla tunaweza kukusanya wanajeshi 120,000. Huku tukiwa na uwanja wa kukusanya wanajeshi zaidi ya 700,000 kupitia Voluntary Conscription. Huku Rwanda wakina na Active Personnel 35000, na akiba wakifika 40000-50000, wakiwa na uwezo wa kukusanya wanajeshi wasiopungua 100,000.

Sasa mtu mwenye akili lazima afahamu kwa GDP ipi na rasilimali zipi, Rwanda anaweza kupigana vita vya muda mrefu na Tanzania halafu kisiwakute wote wawili. FRONASA tu kwenye The Ugandan Bush War walitumia miaka 5 mpaka kufanikiwa kushinda, tena walipambana na serikali ya Obote ambayo ilikuwa ni dhaifu kabisa. Tanzania ilitumia miezi sita tu, kuitoa serikali ya Iddi Amini ambayo ilikuwa na nguvu kuliko ile ya Obote.

Yaani, unataka useme kwamba Rwanda wataipiga tu Tanzania kwasababu, Tanzania haijawahi kufanya operesheni ya kijeshi ambayo wewe unaijua. Huu ni upuuzi mwingine. Kwamba, kwasababu Rwanda anapigana kule DRC, basi Tanzania imelala tu. Hivi unaizungumzia Tanzania hiihii, yenye maafisa waliosoma West-Point Academy, Frunze na Buddyonny kina General Mabeyo wenye Masters-In Science of War au wengine ???

Haya tuje kwenye suala zima la Logistics tu: Rwanda anatagemea bandari ya Dar Es Salaam na Mombasa kupitisha silaha zake halali, pamoja na vitu muhimu kama vipuli na nishati. Unadhani silaha zitakuwa zinapita tu bandari ya Mombasa kila siku na kuingia Rwanda ??? Unaweza ukadhani hii ni hoja, endapo tu wewe ni mjinga sana usiyefahamu jinsi bandari na biashara ya baharini vinafanya kazi.

Cargo Ships, huwa haziji tu kila siku bandarini. Zinaweza kukaa baharini zaidi ya wiki hadi kufika. Tena wakati wa vita Freight Charge inakuwa kubwa kwasababu ya Risk inayotokana na INSURANCE kuwa juu.

Jingine, Bandari ya Mombasa haina uwezo wa kufanya Logistics za kupakua mizigo ambayo imeacha kuingia bandari ya Tanzania na kwenda Rwanda kirahisi hivyo kama mnavyodanganyana hapa. Hivyo njia rahisi kabisa itakuwa ni kutumia ndege, kama ambavyo imekuwa ikifanyika hapa Afrika na Mashariki ya kati. Nikupe mfano hai: Mwaka 1975-80 kipindi cha ANGOLAN CIVIL WAR, serikali ya MPLA waliingiza manowari zaidi ya 27 za silaha na ndege zaidi ya 40 zilizobeba T-54 Tanks, T-34 Tanks, na MiG-21. Logistic ya namna hii itafanywa kupitia bandari ya Mombassa kirahisi ???

Jingine kuhusu Logistics: Mwaka 1997 wakati, Rwanda anavamia Kinshasa, msaada alipewa na SADC. Kagame na Kabila walipelekwa kwa Mzee Chiluba na Nyerere waombe kutumia Zambia kupitisha vikosi vyao kwenda Kinshasa. Mwaka 1998, Kagame alivyotibuana na Kabila, akaenda tena kwa Mzee Chiluba kuomba apitishe vikosi, Mzee Chiluba akamwambia, hivi "Ulikuja na mwenzako nikakuruhusu kwasababu mlikuwa mnamtoa dikteta, ila sasa unataka kunipa sababu gani ?" Mzee akamkatalia.

Kagame na Kaberebe ili kufika Kinshasa, wakaamua kutumia ndege za Abiria kwenye OPERESHENI KITONA, ambayo wanajeshi wa Rwanda waliuwawa kweli na wanajeshi wa Angola na Zimbabwe, wakaamua kukimbia na kusitisha mkakati. Sasa ili Rwanda afike Dar Es Salaam itabidi aidha apitie Kenya au Msumbuji. Huku akitakiwa atengeneza A Long Supply Route kwa ajili ya service na supply of equipment, jambo ambalo sidhani kama ana huo uwezo.

AN ELEPHANT IN THE ROOM: Rwanda atakuwa na Fronts zisizopungua tatu. Moja ni kwenye mpaka wake wa DRC ambapo atakuwa anapambana na FARDC na FDLR, ya Pili, ni kwenye mpaka wake na Burundi, ambapo atakuwa anapambana na FDNB, na Tatu ni kwenye mpaka wake na Tanzania. Those Tutsis will never stand a chance, and it'll be a bloodbath and a second genocide.

Tanzania itaumia mno kiuchumi, lakini Rwanda itapasuka vipande vipande kabisa, na ndiyo utakuwa mwisho wa utawala wa Kitutsi huu ukanda. FDLR wakianza kupambana na Rwanda, wahutu wa Rwanda, DRC, Burundi na Tanzania watajiunga wengi mno, na tutawaruhusu waingie hadi kule Ngara, Kigoma na Bukoba watusaidie kusafisha virusi.

=======================================================
Mambo makuu mawili kwenye vita ambayo hata mataifa makubwa yanasumbua:

Mosi, MILLITARY OCCUPATION: Kumpiga adui ni rahisi, lakini kukalia ardhi yake kisawasawa hadi kuhakikisha umeufuta utawala wake ni jambo jingine kabisa. The Wehrmacht baada ya kupiga Ufaransa mwaka 1941, ilipata shida mno na OCCUPATION. Kufika Ukraine wakakutana na tabu ileile ambayo iliua wanajeshi wengi wa Ujarumani kuliko hata vita.

Tanzania baada ya kuingia Uganda mwaka 1979, iliondoka mapema baada ya kugundua OCCUPATION ingekuwa ni ngumu kuliko vita. Ndiyo maana ukisoma magazeti mengi ya mwaka March na April 1980 utaona dunia inashangaa kwanini Tanzania imeondoka ghafla Uganda. Marekani miaka zaidi ya Ishirini kashindwa kufanya Effective Occupation ya Iraq na Afghanistani. Huku Urusi mpaka sasa anapata tabu kushikilia majimbo ya Donbass, ndiyo maana kapunguza Speed.

Pili, INTERNAL DISPLACEMENT and REFUGEES: Inapotokea vita watu huhama na kukimbia, jambo ambalo huzorotesha uzalishaji wa nchi na kukosekana kwa nguvu kazi ya kijeshi (Military Manpower). Amini nakwambia, Tanzania ina uwezo mkubwa wa kuhamisha raia kutoka Kagera, Kigoma na Mwanza, kuliko ambavyo Rwanda ina uwezo wa kuhamisha watu kutoka Rwamagana.

UNHCR wanasema kwamba, Tanzania ndiyo taifa hapa barani Afrika lenye uwezo mkubwa na wa kitaalamu wa kuweza kukabiliana na REFUGEE CRISIS and INTERNAL DISPLACEMENT. Rwanda itatokea CHAOS.

NB: Believe Me, viongozi wengi wa Tanzania huwa wanawatamani sana Watutsi wakosee njia. Tena kipindi hiki cha CCM ya majambazi, sidhani kama ikitokea vita kutakuwa na VOICE OF REASON, kama kipindi kile General Paul Buyoya kadanganywa na Kagame na Museveni, akakosea na kuvamia Tanzania eti kisa kuna Wahutu wako kwenye kambi za wakimbizi wanataka kuipindua serikali yake. Binafsi, huwa nawazoom watutsi hapa TZ wakidhani sisi ni mafala, naishia kusema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii (Ya Kihutu)

Mosi, nmeishia kusoma pale umeandika..Rwanda ikitaka kufika Dar es salaam..nimegundua kichwani hauko sawa, utakuwa unaumwa bila kujua ni mgonjwa..a lot of rubbish umeandika!
Hakuna haja kuendeleza conversation na wewe..sikiliza, km unadhani hiyo nguvu ipo stage something real with Rwanda utapata majibu, nadhani hayo ya CDF kusema nchi ina hadi viongozi ambao si raia wa Tanzania kwako ni porojo sababu akili yako ni ya panzi..haina uwezo ku-troubleshoot short n long consequences za hali km hii kwa nchi! Umeshinda chukua kombe!
 
Walienda mshahara na M23 sio kukinda amani , rudia kwa video vizuli siku waliofika
SEMA SIJAKUELEWA UNACHOMAANISHA, NAONA UMEANDIKA KISWAHILI CHENYE KINYWARWANDA NDANI YAKE, HEBU SAHIHISHA ANDIKA KISWAHILI CHA KITANZANIA NIKUELEWE, SAMAHANI.
 
Sioni cha kushangaza hapo.
1.Jeshi liko chini ya sheria za UN
2. Propaganda za kivita ziliendelea kysema Ukraine inashinda kwa kishindo mwisho umekuwa aibu na Trump ameweka msumali wa moto kwenye kidonda
3. Mission ingekuwa ya aibu kama DRC wangeomba JWTZ iende kama nchi kama Sychelles
 
Mkuu Lord, hii ni mission ya UN ina maana logistics hazikufanyika mapema ili majeruhi wapate fast track service pale mpakani? Au ndio ujeuri wa Fidodido?
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
 
Back
Top Bottom