Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Huo ni mwanzo tu, tutadhalilishwa mpaka akili zikae sawa,
M23, hii sio Rwanda pekee, Kagame ni puppet wa west, nchi yake inatumika kuiba madini, anapewa siraha na ufaransa, Belgium, anasaidiwa inteligensia ya hari ya juu, UK na America, wanaona ushirika wa South Afrika, SaDC, ni kuikaribisha Russia kwa mgongo wa nyuma, haiwataki hili, SA ni member wa BRICS, Tishekedi, amejifanya kichwa ngumu, sasa atapigwa, apinduliwe au nchi itamegwa katikati kama ilivyokuwa Sudan, ikajengwa South Sudan, kisa America anataka madini na mafuta ya kusini,
Intelijensia ya TZ, ni uchawa na kukamata wspinzani,
Congo pale, ni proxy war,
Tunapugana na UK, US by extension,
Ukitaka kuelewa hili, sikiliza mahojiano ya mkuu wa majeshi wa Nigeria kuhusu Boko Haram,
 
tanzagiza ndiyo nchi pekee ambayo wanajeshi wanazurura mitaani na kupiga raia ambao wameapa kuwalinda, kwa kifupi hawajui hata kazi yao ni ipi ktk jamii ije kuwa kupelekwa vitani kushindana na well trained disciplined army ?

suluhisho la matatizo na umaskini uliopindukia tanzagiza ni meritrocracy, basi, jeshi wafanye iq testing kabla ya kuajiri na siyo sijui michaka michaka na kutesana bila ya sababu, wafanyiwe both Intelligence testing na cognitive testing wanaopata above average ndiyo wachukuliwe na kuanza kupewa mafunzo ya kijeshi, vinginevyo hamna kitu hapo, wataishi ubabe barabarani na fujo dhidi ya trafiki na raia basi lkn huko kwa wanaume ni wachumba tu …
Ugomvi wa madem na pombe ndy wako vizuri

Ova
 
Huo ni mwanzo tu, tutadhalilishwa mpaka akili zikae sawa,
M23, hii sio Rwanda pekee, Kagame ni puppet wa west, nchi yake inatumika kuiba madini, anapewa siraha na ufaransa, Belgium, anasaidiwa inteligensia ya hari ya juu, UK na America, wanaona ushirika wa South Afrika, SaDC, ni kuikaribisha Russia kwa mgongo wa nyuma, haiwataki hili, SA ni member wa BRICS, Tishekedi, amejifanya kichwa ngumu, sasa atapigwa, apinduliwe au nchi itamegwa katikati kama ilivyokuwa Sudan, ikajengwa South Sudan, kisa America anataka madini na mafuta ya kusini,
Intelijensia ya TZ, ni uchawa na kukamata wspinzani,
Congo pale, ni proxy war,
Tunapugana na UK, US by extension,
Ukitaka kuelewa hili, sikiliza mahojiano ya mkuu wa majeshi wa Nigeria kuhusu Boko Haram,
huu ndio ukweli...

na hiki ndio kinampa kiburi PK...

hivyo vikwazo wanavyotangaza kila siku ni danganya toto tu.
 
Jeshi lenyewe limekuwa la kichawa

Ova
Saivi kazi yao ni kufanya mazoezi kwa maelekezo ya CCM ili kuwatisha upinzani kama wanataka kuandamana kudai haki zao za msingi.

Sasa kwa nini wasidharirishwe hivi na vijana wadogo wa Rwanda?
 
Huo ni mwanzo tu, tutadhalilishwa mpaka akili zikae sawa,
M23, hii sio Rwanda pekee, Kagame ni puppet wa west, nchi yake inatumika kuiba madini, anapewa siraha na ufaransa, Belgium, anasaidiwa inteligensia ya hari ya juu, UK na America, wanaona ushirika wa South Afrika, SaDC, ni kuikaribisha Russia kwa mgongo wa nyuma, haiwataki hili, SA ni member wa BRICS, Tishekedi, amejifanya kichwa ngumu, sasa atapigwa, apinduliwe au nchi itamegwa katikati kama ilivyokuwa Sudan, ikajengwa South Sudan, kisa America anataka madini na mafuta ya kusini,
Intelijensia ya TZ, ni uchawa na kukamata wspinzani,
Congo pale, ni proxy war,
Tunapugana na UK, US by extension,
Ukitaka kuelewa hili, sikiliza mahojiano ya mkuu wa majeshi wa Nigeria kuhusu Boko Haram,
 
Huo ni mwanzo tu, tutadhalilishwa mpaka akili zikae sawa,
M23, hii sio Rwanda pekee, Kagame ni puppet wa west, nchi yake inatumika kuiba madini, anapewa siraha na ufaransa, Belgium, anasaidiwa inteligensia ya hari ya juu, UK na America, wanaona ushirika wa South Afrika, SaDC, ni kuikaribisha Russia kwa mgongo wa nyuma, haiwataki hili, SA ni member wa BRICS, Tishekedi, amejifanya kichwa ngumu, sasa atapigwa, apinduliwe au nchi itamegwa katikati kama ilivyokuwa Sudan, ikajengwa South Sudan, kisa America anataka madini na mafuta ya kusini,
Intelijensia ya TZ, ni uchawa na kukamata wspinzani,
Congo pale, ni proxy war,
Tunapugana na UK, US by extension,
Ukitaka kuelewa hili, sikiliza mahojiano ya mkuu wa majeshi wa Nigeria kuhusu Boko Haram,
Hapana waondoe UK na US kwenye huo ujinga. Kagame ni smart. anajua kujifunza kutokana na makosa wakati huku CCM kila siku wana collapse mifumo yetu kwa kuendekeza ujinga na upuuzi.

Kagame analijenga Jeshi lake kweli, ame invest kwenye teknolojia mpya, maarifa ya kuijenga nchi yake vizuri kiuchumi na intelligence. It seems anafanya analysis kila siku na kuona sie badala ya kuwa strong tunazidi kuwa weak kila siku na ndo mana anasema wazi hakuna wa kumfanya kitu pande hizi.
 
Mr slim ndiye mbabe wa vita ukanda huu wa East Africa
 
tanzagiza ndiyo nchi pekee ambayo wanajeshi wanazurura mitaani na kupiga raia ambao wameapa kuwalinda, kwa kifupi hawajui hata kazi yao ni ipi ktk jamii ije kuwa kupelekwa vitani kushindana na well trained disciplined army ?

suluhisho la matatizo na umaskini uliopindukia tanzagiza ni meritrocracy, basi, jeshi wafanye iq testing kabla ya kuajiri na siyo sijui michaka michaka na kutesana bila ya sababu, wafanyiwe both Intelligence testing na cognitive testing wanaopata above average ndiyo wachukuliwe na kuanza kupewa mafunzo ya kijeshi, vinginevyo hamna kitu hapo, wataishi ubabe barabarani na fujo dhidi ya trafiki na raia basi lkn huko kwa wanaume ni wachumba tu …
Huko tunakoenda jeshi letu ndio litazidi kuwa dhaifu, maana sasa hivi jeshi letu limekuwa ni sehemu ya ajira kama ajira zingine, sio kazi ya wito na uzalendo.
Watu wanaopenda kuwa wanajeshi kwa wito na uzalendo hauwakuti jeshini.
 
Kuna video clip inasambaa mitandaoni mwanajeshi wa Tanzania akishachiwa na police wa Rwanda hakika Mimi kwangu niliona ni kawaida tu

Maana umeingia nchi ya watu lazima waangalie kama hauna kitu Cha kudhuru wala kuhatarisha usalama wa nchi yao

Kilichonishangaza ni ZKK zitto kabwe ku comment very emotional kama kwamba mwanajeshi wa TZ amedharauliwa sana

Sikuona dharau naona ni taratibu na kanuni za nchi yao lazima usifuate ukiwa captain TZ hauwezi kuwa captain na Rwanda kule sio mwanza ni nchi yao

Mfano mwanajeshi wa marekani akaja TZ kupitia Arusha mfano hatoshachiwa mpakani infact marekani ni taifa kubwa kuliko Tanzania

Kama yupo umo ZKK jana nimekushusha kidogo VYEO mkuu samahani lakini
 
Hata mimi nimewashangaa sana wanaoshangaa askari kusachiwa. Washazoea bongo askari tunawaona kama watu special sana.
 
Pole kwa maumivu makali haah
Hakuna maumivu mnaonyesha anaepekuliwa ana kofia nyeusi jw hawana kofia hizo. Alafu mnatengeneza wamenyang'anywa siraha jw lini walipeleka vifaa vya Tanzania congo. Vifaa mnapewa na mabwana zenu ili baadaye wawatumikishe mnakifanya umenyang'anya mna propaganda za kipuuzi sana
 
Hakuna kitu watafanya.
Kazi yako unajitekenya na kucheka. Nyinyi watusi mna kampeni yenu ya kusema kagera siyo Tanzania Sasa ingieni Kama mlivyoingia goma. Si mliingia kwenye mapori miaka ya nyuma ffu tu wakawakimbiza Kama kuku wenye kideri mkapangusa matako mkarudi kwenu. Sasa vyamieni Kagera mnayosema siyo Tanzania muone picha halisi ya JW. Alafu utarudi hapa na adabu
 
Hapana waondoe UK na US kwenye huo ujinga. Kagame ni smart. anajua kujifunza kutokana na makosa wakati huku CCM kila siku wana collapse mifumo yetu kwa kuendekeza ujinga na upuuzi.

Kagame analijenga Jeshi lake kweli, ame invest kwenye teknolojia mpya, maarifa ya kuijenga nchi yake vizuri kiuchumi na intelligence. It seems anafanya analysis kila siku na kuona sie badala ya kuwa strong tunazidi kuwa weak kila siku na ndo mana anasema wazi hakuna wa kumfanya kitu pande hizi.
Hakuna wa kufanya kitu. Nyinyi mnampa kichwa tu bure. Watusi Wana kampeni wanayosema Kagera siyo Tanzania wavamie Sasa si wanauwezo kuizidi Jw. Mbona goma wamevamia wavamie. Mtasumbua hao hao wanaume wanaojichubua na vipodozi na wasaliti wanaotafutiwa maisha na wanawake.lakini hakuna takataka yenu m23 wa slim wa kusumbua TANZANIA
 
Hakuna maumivu mnaonyesha anaepekuliwa ana kofia nyeusi jw hawana kofia hizo. Alafu mnatengeneza wamenyang'anywa siraha jw lini walipeleka vifaa vya Tanzania congo. Vifaa mnapewa na mabwana zenu ili baadaye wawatumikishe mnakifanya umenyang'anya mna propaganda za kipuuzi sana
Pole sana jeshi la ccm lime dharirishwa vibaya ninefurahi mno
 
Kazi yako unajitekenya na kucheka. Nyinyi watusi mna kampeni yenu ya kusema kagera siyo Tanzania Sasa ingieni Kama mlivyoingia goma. Si mliingia kwenye mapori miaka ya nyuma ffu tu wakawakimbiza Kama kuku wenye kideri mkapangusa matako mkarudi kwenu. Sasa vyamieni Kagera mnayosema siyo Tanzania muone picha halisi ya JW. Alafu utarudi hapa na adabu
Maumivu ni makali mno pole sana chawa wa ccm haah
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Wakati napitia mitandao mbalimbali ya kijamii leo, nimefanikiwa kumuona huyu mwanajeshi wa Tanzania anayelinda amani huko DRC akipekuliwa vikali huko Rwanda wakati akirejea nyumbani Tanzania:


View: https://x.com/MAbdallaziz/status/1896163224720150659/mediaViewer?currentTweet=1896163224720150659&currentTweetUser=MAbdallaziz

Kilichonishangaza sio upekuzi huu bali ni baadhi ya maoni ya wananchi waliokuwa wakichochea Tanzania iivamie Rwanda na kuigalagaza kisa mwanajeshi wake amepekuliwa kinyama wakati Rwanda ni mwanachama wa EAC. "Ina maana hatuaminiani?". Wamesikika baadhi ya wananchi wakihoji mtandaoni.

Kana kwamba hii haitoshi, wananchi wengine wameenda mbali zaidi kwa kuitaka Tanzania kufunga mipaka yake na Rwanda wakidai eti kwa kuwa Rwanda ni landlocked country, watadhoofika kiuchumi ili wawe na adabu.

MAONI YANGU
Watu wengine wanastahili kuhurumiwa kwa kuwa bado ni watoto wadogo hawajui nguvu na jeuri ya Rwanda kijeshi inatoka wapi. Wanachojua tu ni kutaka Tanzania ikurupuke kuivamia Rwanda kijeshi ili wanajeshi wetu waumizwe na washirika wa Rwanda. Hoja yao nyingine eti ni kwamba Rwanda ni ka nchi kadogo na kuwa kana watu wachache ukilinganisha na Tanzania; hivyo kanapigika vizuri tu! Hahaha! Watoto wengine wakishiba wanachekesha sana! Ndugu zangu siku hizi kuwa na idadi kubwa ya wanajeshi sio kigezo cha kushinda vita aiseee! Ingekuwa hivyo, Russia ingeiteka Ukraine ndani ya siku 5 tu!

Acheni masikhara ndugu zangu. Kama mtu umefunga, endelea tu na swaumu zako bila shida. Sio mtu ukila futari lako ukashiba ndii unaanza kuwaza chokochoko usoziweza.

Ukiona mbuzi yupo juu ya mti, muache kama alivyo. Hujui nani kampandisha. Mchokoe pweza uone kilichomtoa kanga manyoya. Never ever taste the poison or measure the depth of a river using both feet! Shauri yako!
 
Back
Top Bottom