Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apigwe kunguru Apigwe walienda kulinda amani sio vita haahWalikwenda kulinda amani na sio kupigana vita.
Ila nyie ?haahSouth Africa hawana Jeshi, wana kikundi cha wahuni wakisema ndio jeshi la nchi ya SA.
View attachment 3256262
Hakuna kitu watafanya.Hii kitu haitapita Bure!
Wakikasirika hao jamaa Huwa hawaitishi press, ni vitendo.
Tusubiri
Huna unachokijua kaa kimyaBila picha ni umbea tu
Wamechapika na kusalimu amri elewa wanaposema wengine ni majeruhi na hata wale waliouawa bado miili yao ipo huko M23 wameizuiaMi nikajua wamedhalilishwa kwa kupokea kichapo mpaka wameacha viatu na kukimbilia mpakani kumbe mambo ya protokali hayo ya kawaida mbona, hata mtz ukijulikana upo Rwanda unavuka border utasachiwa mpaka mazivu.
Makada wameambiwa wajiandae na uchafuzi mkuu 2025, mambo ya vita watayawezea wapi?Hakuna nchi itapeleka jeshi lake imara na kuhatarisha maisha ya vikosi vyake imara kisa tu vimaneno vya pride za wananchi zimetikiswa nchi nyingi huangazia maslahi mapana ya muda mrefu na hisia za mpito ndani ya dk 3 hadi 4 zimepita wala haviwashughulishi.
Uwezo wake unajulikana ni kulinda maslahi ya CCMWewe unae andika ni mwanapropaganda ingie AI wakwambie uwezo wa JWTZ
NANI KAKUAMBIA NI LA WANANCHIKuna ukweli ndani ya uliyo sema hapa. Sina hakika kama jeshi hili bado ni la wananchi wa Tanzania.
Kama ilivyo kwa maeneo mengine yote jeshi nalo sasa linawajibika kwa CCM.
HAWANA KAZI WAKAFANYE USAFI BY CHALAMILAJeshi la CCM ukweli ndio huo na utabaki hivyo.
UKWELI USEMWE WAKAFANYE USAFI JIJI CHAFU.Kuna wakati Amerika walidhihirishwa na Al Shabaab...
Tanzania tulisakwa mda mrefu sana tudhalilishwe hatimaye wamefanikiwa...
Kwa wenye kumbukumbu mtakumbuka kipindi tumepigwa ambush iliyoua wanajeshi 12 msemaji wa majeshi ya umoja wa mataifa alisema wanajeshi wa Tanzania wana mafunzo dhaifu...
Hiyo kauli haikupaswa kutolewa na mtu kama yeye...
Mungu ibariki Tanzania.
🚮Huna unachokijua kaa kimya