Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Kwahiyo mleta mada ulitaka JWTZ wawe watemi kwenye nchi ya watu yaani ikiwezekana wapigane!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kambi ipi?. Au unalopoka tuMakambi ya JWTZ yote yamegeuzwa Ma-Frem ya biashara na mabaaa...unategemea nini..??? wanajeshi wanawaza pombe, ngono na biashara
Uifute kwa sababu gani? Subiri wakoloni wakianza tena kuweka mipaka uwape proposal yako.Hivi wajuvi wa mambo aya ebu nisadieni ,hakuna namna au kutafuta sasababu yoyote ya kuifuta Rwanda iwe moja ya sehema za nchi za Afrika mashariki , naona kama msubufu , shida nini kwamba ana nini cha juu kuliko nchi nyingine ndani ya Afrika mashariki?
Kuwa na adabu, hii anonymous ID usijikute unaweza ongea unavotaka...Mama Abduli hana uwezo wa kutekeleza majukumu ya Amiri Jeshi Mkuu.
..haiwezekani miili ya vijana wetu, na majeruhi, washinde kurejeshwa muda wote huu.
..huu sasa ni ufala.
Nani aliwazuia? Halafu mambo ya nchi na nchi hayaendi kama unavotaka wewe mpaka kufikia wamerudi kuna watu wamefanya kazi na wewe upo hapa ukipayuka payuka ovyo.Kuwazuia tu majeruhi wetu na marehemu wetu kwa muda mrefu kiasi hichi ni ujumbe kuwa wanatudharau, wanatuona wajinga na hatuna chochote cha kuwafanya.
Yaani kumbe unatoa povu bila hata kujua unachokiongelea wala idea what's happening? Kuna mambo either ujifunze au uache yakupiteHivi nikuulize kitu. M23 alikua anapigana na Tanzania?. Na wanjeshi wa Tanzania walianda kwa ajili ya kulinda amani. Au uliona walioeleka vifaa vya jeshi congo?.
Kuwa na adabu, hii anonymous ID usijikute unaweza ongea unavotaka.
Alyeleta udini ni baba yako nyerere, hakuwa na haja ya kumpiga vita iddi amini ila alitaka kusimika kanisa, ww hujuwi lolote uliza wazazi wako ni kwanini Tz ilimpiga vita iddi amini, usubiri itekewe kagera, Malawi tu wamepora ziwa lenu lile lake nyasa siju lake tanganyika mmeshindwa kufanya chochote,Kumbe wewe ni chizi la kidini unaleta dini humu. Tanzania aitanunua ndege ya kijeshi ikujukishe wewe kuwa imenunua ndege wewe Kama nani?. Waambie mabwana zako tukiiteka Kongo tukateke Kagera au kigoma alafu uone nini kitatokea. Unaleta Upumbavu wa kidini hapa. Eti kusimika kanisa makanisa Tanzania yameingia toka hata Nyerere hajazaliwa alafu unaongea Kama mtu usiyekua na akili.
Hii taarifa imenifanya nipoteze hamu ya kuendea kuwa humu, usiku mwemaNajua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!
Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.
What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).
Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.
Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.
Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.
Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.
Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000
=======
Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.
Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.
Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.
![]()
Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.
Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.
Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.
Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Kagera haikuwa TzLeta jeshi bongo ndiyo utajua. Alafu ulivyokua hauna akili unaleta udini kwa idi amini kwahiyo alivyingia Kagera ulitaka akenuliwe meno.legeza pua tu kusema kuwa aliondolewa na Zanzibar. mme wenu anajua awezi tia mguu Tanzania mpaka anaenda kaburini
Kagera haikuwa yenuWaislam siku hz mmetiwa uchiz na nan ? watu wa kagera wakikusikia bas watakutoa linda , hizi dini mliletewa ila zimewafanya wehu
Kuna wakati nliona wanajeshi wa jwtz wameenda mtembelea konde boy ahh basi hapo nkajuwaSAHVI TUNA JESHI LA WANASIASA NA CYO YA WANANCHI.JESHI LA WANANCHI LIMESHAFARIKI KITAMBO.MAZISHI IMEFANYIKIA KWENYE VIWANJA VYA SIASA IBADA ILIONGOZWA NA PASTERI WA CCM
Ngoja huko mbeleni waje waidai haha nchi hii inabd ichangamshwe maana wao nguvu zote ziko kwa wapinzani tuKagera haikuwa yenu
Pita LUGALO uone.....mafremu kila konaKambi ipi?. Au unalopoka tu
Hii swahili sio yetu hiiSAHVI TUNA JESHI LA WANASIASA NA CYO YA WANANCHI.JESHI LA WANANCHI LIMESHAFARIKI KITAMBO.MAZISHI IMEFANYIKIA KWENYE VIWANJA VYA SIASA IBADA ILIONGOZWA NA PASTERI WA CCM
Tabula rasa, huyu apuuzwe.Alyeleta udini ni baba yako nyerere, hakuwa na haja ya kumpiga vita iddi amini ila alitaka kusimika kanisa, ww hujuwi lolote uliza wazazi wako ni kwanini Tz ilimpiga vita iddi amini, usubiri itekewe kagera, Malawi tu wamepora ziwa lenu lile lake nyasa siju lake tanganyika mmeshindwa kufanya chochote,
Mombasa Kenya ni sehemu ya Zanzibar na Tanzania mbona mmeshindwa kuikomboa. nyinyi subirini uchaguzi mpige wananchi mabomu tu ndio mnayojua kwenye vita vya nchi na nchi hama kitu, M23 inawarejesha kwenye masanduku