Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Uifute kwa sababu gani? Subiri wakoloni wakianza tena kuweka mipaka uwape proposal yako.
 
Kuwazuia tu majeruhi wetu na marehemu wetu kwa muda mrefu kiasi hichi ni ujumbe kuwa wanatudharau, wanatuona wajinga na hatuna chochote cha kuwafanya.
Nani aliwazuia? Halafu mambo ya nchi na nchi hayaendi kama unavotaka wewe mpaka kufikia wamerudi kuna watu wamefanya kazi na wewe upo hapa ukipayuka payuka ovyo.
 
Alyeleta udini ni baba yako nyerere, hakuwa na haja ya kumpiga vita iddi amini ila alitaka kusimika kanisa, ww hujuwi lolote uliza wazazi wako ni kwanini Tz ilimpiga vita iddi amini, usubiri itekewe kagera, Malawi tu wamepora ziwa lenu lile lake nyasa siju lake tanganyika mmeshindwa kufanya chochote,

Mombasa Kenya ni sehemu ya Zanzibar na Tanzania mbona mmeshindwa kuikomboa. nyinyi subirini uchaguzi mpige wananchi mabomu tu ndio mnayojua kwenye vita vya nchi na nchi hama kitu, M23 inawarejesha kwenye masanduku
 
Hii taarifa imenifanya nipoteze hamu ya kuendea kuwa humu, usiku mwema
 
SAHVI TUNA JESHI LA WANASIASA NA CYO YA WANANCHI.JESHI LA WANANCHI LIMESHAFARIKI KITAMBO.MAZISHI IMEFANYIKIA KWENYE VIWANJA VYA SIASA IBADA ILIONGOZWA NA PASTERI WA CCM
Kuna wakati nliona wanajeshi wa jwtz wameenda mtembelea konde boy ahh basi hapo nkajuwa
Jeshi letu lishaingia walakini 😄
Jeshi limejiunga na wakata mauno

Ova
 
Kwani Jeshi la SADC lilikua la Kulinda amani au kupigana? Na kama lilikua la kulinda amani kwann mnataka lipigane na M23 Wakati wao walienda kulinda amani?

Kama lilikua la kuwarudisha nyuma M23 ila ndo wao wamerudishwa nyumbani bc, M23 Wapewe hyo nchi tu tuache kuwqchelewesha

Naomba kufahamishwa.
 
Tabula rasa, huyu apuuzwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…