Mwita Waitara afikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM mkoa wa Mara

Mwita Waitara afikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM mkoa wa Mara

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za serikali za mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mwita Waitara amefika mbele ya kamati ya Maadili ya chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mara kuitikia wito wa Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Mara Samweli Kiboye kujibu tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

Zikiwemo za kuanza kampeni za Ubunge nje ya taratibu za Chama na kumdhihaki Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara mbele ya Vyombo vya habari.

Zaidi soma: Waitara: M/kiti CCM Mkoa Mara ana tumbo kama pipa, simuogopi - JamiiForums
azamtvtz_20200325_2.jpg
 
Hakuna sumu mbaya ya nyoka kama ile inayoufanya mwili uanze kuoza kwa ndani, maana kwa nje mtu anaonekana mzima wa kuvutia, kumbe anakufa ndani kwa ndani na kuoza taratibu. Naona CCM wameumwa na nyoka mwenye sumu ya aina hii.
 
Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za serikali za mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mwita Waitara amefika mbele ya kamati ya Maadili ya chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mara kuitikia wito wa Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Mara Samweli Kiboye kujibu tuhuma mbalimbali zinazomkabili zikiwemo za kuanza kampeni za Ubunge nje ya taratibu za Chama na kumdhihaki Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara mbele ya Vyombo vya habari
Usaliti ni laana
 
Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za serikali za mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mwita Waitara amefika mbele ya kamati ya Maadili ya chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mara kuitikia wito wa Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Mara Samweli Kiboye kujibu tuhuma mbalimbali zinazomkabili zikiwemo za kuanza kampeni za Ubunge nje ya taratibu za Chama na kumdhihaki Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara mbele ya Vyombo vya habari
Mwenyekiti wa kikao ni nani? Mlalamikaji au makamu wake?
 
Jambo jema zaidi wamekusanya magugu ya kutosha, yamesitawi sana lakini hayatatoa mazao
Hakuna sumu mbaya ya nyoka kama ile inayoufanya mwili uanze kuoza kwa ndani, maana kwa nje mtu anaonekana mzima wa kuvutia, kumbe anakufa ndani kwa ndani na kuoza taratibu. Naona CCM wameumwa na nyoka mwenye sumu ya aina hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom