Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote!Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za serikali za mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mwita Waitara amefika mbele ya kamati ya Maadili ya chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mara kuitikia wito wa Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Mara Samweli Kiboye kujibu tuhuma mbalimbali zinazomkabili.
Zikiwemo za kuanza kampeni za Ubunge nje ya taratibu za Chama na kumdhihaki Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara mbele ya Vyombo vya habari.
Mtaka nyingi nakama hupata nyingi dhahama.Mtaka yote kwa pupa hukosa yote!
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.Mtaka yote kwa pupa hukosa yote!