Mwita Waitara afikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM mkoa wa Mara

Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amefika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM mkoa wa Mara kuitikia wito wa kujibu tuhuma ya kuanza kampeni za ubunge nje ya taratibu za chama na kumdhihaki mwenyekiti wa CCM mkoa huo mara kadhaa mbele ya vyombo vya habari.

Hakika nimeamini kuwa mshahara wa usaliti ni kusalitiwa.

In God we Trust
 
Wameanza kuumbuana,hapo nipo itajulikana alitolewa mahali kiasi gani,au alinunuliwa kama sagaa?
 
Kila aliyewasaliti wananchi hataamka asimame tena. Jambo la kwanza fikiria dua za wale woooote waliozunguusha mikono wakiitikia sauti ya "Peeeooopleeeess......." ule mwaka wa 2015. Hakiya nani wale watu wooote uliowaona na kuwasikia wakiitikia "powaaaa" bado wapo hai wamejichimbia kwenye mitaa wakisononeshwa na watu waliowasaliti baada kuwafikisha pale walipowafikisha kwa taabu nyingi na mateso ya jua kali, baridi kali, mavumbi mengi, njaa kali, usingizi mwingi, mabomu mengi ya machozi, kuwekwa ndani, michango ya fedha, na kutembea kwingi kuwafanya wasaliti wafike pale walipofika kisiasa.

Hakiyamungu hawawezi kusimama tena, Kama unabisha lete kidole tupinge. Hawaji kuwa maarufu tena sio tu kwenye siasa lakini hata kwenye mazishi yao.
 
Mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba

Yuda Escarioti naona sasa wanataka kum-dump kama toilet paper.

CCM ina wenyewe bana
 
Hiki chama kimepungukiwa na ufahamu na hekima sana hasa wakati huu.
Watu tupo kupambana katika vita kuu ya hili gonjwa la korona wao kila kukicha ni kufikiria kupanua hirizi zao kwa ajili ya matumbo yao
Shame on you ccm!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunadokezwa kuwa Mwenyekiti wao Mkuu wa kaya amejificha Dodoma kuhofia KORONA
 
Mwenyekiti nasikia anakitambi kama pipa.
Mwenye picha atupie tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…