Ni kweli huyu naye ni mwana ccm ila anajijua kuwa yeye ni mwanaccm Makinikia sio OjHata yeye pia ni mwana CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli huyu naye ni mwana ccm ila anajijua kuwa yeye ni mwanaccm Makinikia sio OjHata yeye pia ni mwana CCM.
Ndio hajawahi kutamka lakini hivyo vitendo anavyovifanya kwa mujibu wa Katibu Mkuu vina qualify kama kampeni za mapemaHawezi kuitwa kwasababu Dk. Tulia HAJAWAHI kutamka hadharani kuwa atagombea ubunge Mbeya Mjini. Ni wasiwasi wa Mh. Sugu tu na vijana wake.
Kwa nini unamuita chapombe??? Kunywa ni starehe baada ya kazi muraHuyo Chapombe ina maana hajui Tulia ni wa jimbo gani? Huyo hagusiki. Hela ya manunuzi kama ameinywea imekula kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23]
Punguza utahira Tulia inajulikana anataka Jimbo la mbeya mjiniTulia hajasema anagombea sehemu gani.
Ila kusema ukweli Tulia haja tulia kabisa yule mdadaTulia anawaza uspika tu, atafanya kila faulo na hakuna wa kumbabaisha!Yule mzee wa kongwa aage kabisa hiki kibibi kimetumwa na Jiwe kuchukua kiti chake pale mjengoni! Kina Waitara na wote walionunuliwa ndio wasiwaze kabisa kupata ubunge/ udiwani! Habari yao imeisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Sugu anahati miliki na hilo Jimbo subiri Muda utaongeaKwa Jimbo la Mbeya ni mahali pagumu kwa CCM kumtoa Sugu lazima CCM waachie lafu zichezwe bila hivyo watapata kipigo cha mbwa koko.
Hana faida yoyote...
Jichunguze mkuu huenda haupo sawaTulia hajasema anagombea sehemu gani.
Kwanini mkuuIla kusema ukweli Tulia haja tulia kabisa yule mdada
Acha masihara aiseeMngemwambia anywe bia atulie