Uchaguzi 2020 Mwita Waitara ahoji kwanini Naibu Spika Dr. Tulia hajaitwa kwenye kamati ya maadili?

nokwenumuya Kitu pekee tu ninachokijua ni kwamba wale Wabunge wote waliohamia CCM kutoka huko walikotoka iwe kwa utashi Wao wenyewe au Walihongwa au hata Walitishwa hakuna ambaye kuelekea Uchaguzi huu Mkuu ujao wa 2020 atapitishwa na CCM Kugombea. Safari yao ndiyo imeishia hapo na tena nawashauri waanze Kujiandaa mapema sana Kisaikolojia.
 
Asubiri UDC au sio???
 
Wanatumia gharama kubwa Sana kununua kura wakipata kurudi Hadi wakati wa chaguzi
 
Haihitaji kuwasha tochi, koroboi, wala mshumaa ili kung'amua kuwa Dr. Betina ni mbunge ajae wa Mbeya mijini. Sugu should've started packing his mats.
Wachache hawatakuelewa

Sent from Tapatalk
 
Hata huko asahau labda awatoe ' Kafara ' wana Ukoo wake wote. Imeisha hiyo Mkuu!
Ila kwa yeye anavyowaambia watu wa Tarime hadi kafanikiwa kumrubuni Mwenyekiti wa CCM Tarime ni kwamba yeye ameagizwa na Rais Magufuli na kuwa atapewa Uwaziri Mkuu, hivyo wampiganie nae atawapigania.
 
Yeye mwita ni CCM makinikia, ni mtoto wa kambo, ni wakuja, hivyo basi atulize mshono asilete ujuaji. Matumizi yake yana expire hii 2020 baada ya hapo anatupwa chooni kama kondom iliyotumika kuibaka demokrasia. Awe mvumilivu mwisho unakalibia.

Mwita Waitara ni kama Mtoto mkubwa aliyezaliwa, akakulia Nyumbani akaenda kusoma Ng'ambo kisha akarejea Nyumbani kwa wasiomfahamu ndio watamshangaa kwa vile ndio wanamuona kwa muda huo na kushangaa kwao hakumfanyi kuwa Mgeni!
 
Mwita Waitara ni kama Mtoto mkubwa aliyezaliwa, akakulia Nyumbani akaenda kusoma Ng'ambo kisha akarejea Nyumbani kwa wasiomfahamu ndio watamshangaa kwa vile ndio wanamuona kwa muda huo na kushangaa kwao hakumfanyi kuwa Mgeni!
Na ndie Waziri Mkuu ajaye 2020 baada ya uchaguzi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…