Uchaguzi 2020 Mwita Waitara ahoji kwanini Naibu Spika Dr. Tulia hajaitwa kwenye kamati ya maadili?

Bi Tukinao ataiweza mbeya?
Na ushirikina wake wa kukaa kwenye jeneza na kutambika mapema anapigwa na sugu
 
Hagombei, bali atapewa Mbeya mjini na Maguful

Inaelekea ninyi wote hamuwafahamu BANYAMBALA!!! Tulia anapoteza hela zake bure hapati ubunge wa Mbeya mjini!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…