Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
- Thread starter
-
- #41
Mkuu si ungeenda tu kugombea Tarime au unamuogopa Heche? Ukonga utapata kura za wakurya tu wauza mayai.
Nimekujibu hivi kutokana na majibu yako kwangu.
Huyu Mwita ndiyo yule alikuwa kijana wa Nchimbi? Umoja wa vijana wa CCM.
Ahahaha nimemkumbuka alikuwa anampikia Nchimbi chai ofisini.Ndio mwenyewe huyo.
Mkuu umenichokoza mwenyewe mimi nilikuwa napita tu kwenye huu uzi.Jamaa yako leo anazomewa wapi? Nasikia anaanza ziara ya Arusha na Kilimanjaro.
Naona umeanza kuweweseka kabla hata ajapata ubungeMkuu umenichokoza mwenyewe mimi nilikuwa napita tu kwenye huu uzi.
Wewe si ulikwa mpambe wa John Nchimbi leo tena unajifanya mpinzani.
Njaa hizi.
Ahahaha nimemkumbuka alikuwa anampikia Nchimbi chai ofisini.
kaza buti kamanda tuko pamoja
Lakini alikuwa CCM?masahihisho , kilichomtoa waitara ccm ni kuhamishiwa ofisi ya nchimbi ili awe katibu wake , waitara aligoma na hakuwahi kufanya kazi hiyo , usimsingizie .
Wauza mayai wenzie watampa.......
Makamanda wekeni picha tuone.
Ndugu zangu, kama nilivyosema Watanzania tuna tabia ya kusameheana.
Mr Suggestion, labda hukuwa unafuatilia utawala wa daruso wakati huo au ulikuwa ndio kwanza unaingia, waulize wenzio waliokuwa wakongwe kwako watakwambia, mie sizungumzie Magesa ambaye nae aliishia kuwa fisadi tu, nazungumzia Mwita Mwikwabe Waitara, aliyeingia madarakani kwa kusaidiwa na mpiganaji wa wakati huo Tweve.
Naamini waliokuwa UDSM wakati huo japo wanaweza kumsamehe ni mashahidi hapa, utawala wa mwita ulidissappoint sana watu maana watu walijua wameingiza wapiganaji kumbe wameingiza mafisadi na wezi, jamaa walikuwa busy kupiga deal na kula pesa tu, kila kitu kwao ilikuwa biashara.
Msifieni kwenye mengine ila mkitaka kumsifia kuhusu urais UDSM mtaharibu maana wengi wanaufahamu utawala wake pale.
Mkuu umenichokoza mwenyewe mimi nilikuwa napita tu kwenye huu uzi.
Wewe si ulikwa mpambe wa John Nchimbi leo tena unajifanya mpinzani.
Njaa hizi.
mkuu umenichokoza mwenyewe mimi nilikuwa napita tu kwenye huu uzi.
Wewe si ulikwa mpambe wa john nchimbi leo tena unajifanya mpinzani.
Njaa hizi.
Zitto yupo Tanga anafyeka magugu na kusambaza uzalendo.Mkuu mbona hujanijibu? Nimekuuliza vipi kijana wetu anayezomewa kila mahali leo yuko wapi?
Ile video ya Tunduma ni ya kweli?
Kwenye Urais uko kambi gani? Uko ya mtu wa 'dini yetu' ama unamuunga mkono Padre Agustine Ramadhani?