Elections 2015 Mwita Waitara aitingisha Ukonga wakati akirejesha fomu za kugombea Ubunge CHADEMA

Elections 2015 Mwita Waitara aitingisha Ukonga wakati akirejesha fomu za kugombea Ubunge CHADEMA

MASONJO SAMAHANI NIKUULIZE, ulisoma kozi gani pale UDSM?
na ulikuwa mwaka wa ngapi wakati Waitara akiwa Rais wa DARUSO?

Je, Unaweza kutueleza wana janvi ni deal gani alizokuwa akipiga akiwa kama Rais enzi hizo?

Kwa ufupi tu nikufahamishe, Mwita Waitara ni kiongozi shupavu asiyepelekeshwa hata kidogo na husimamia vema masrahi ya anaowaongoza.

Mimi kama Rais wangi enzi hizo, aliwahi kutuongoza kuikataa test ya Dr, aliyekuwa analazimisha tuifanye Jumapili badala ya katikati ya wiki, ambapo ndio siku muafaka ya kufanya Test. Kumbuka miongozo ya chuo hairuhusu kufanya test jumamosi wala jumapili.

Test haikufanyika na Dr. yule akakasirika na siku alipoileta katikati ya wiki akawa ameikaza balaa, lakini tukaipiga na akashindwa kutukamata. Manake test ya masaa mawili liliypangwa kufanyika J2 iligeuka kuwa ya Dr 60 ( saa 1) kwenye kipindi.

Sasa kaka, mtu kama huyo asiyepnda kupindishwa kwa sheria huoni kama ndiye anayefaa. Acha kumpakazia Mtu wa watu huyo.

Mwita Nakutakia kila la kheri kaka, na ungekuwa jimboni kwangu familia yangu yote ungechukua kura zao.

Mkuu wangu mamakunda nikuhakikishie tu hakuna wa kumzuia mwita Waitara kuchukua ubunge Ukonga.CCM imekufa kifo cha mende kwa kushindwa kutatua matatizo ya wananchi hasa ubovu wa barabara zote za Ukonga.

Unapoona michepuko ikimshambulia hapa ujue ameiweka CCM katika hali mbaya sana kisiasa..
 
Last edited by a moderator:
Zitto yupo Tanga anafyeka magugu na kusambaza uzalendo.

Mimi sina timu najua rais anatoka CCM aje yoyote hamna tatizo.

Mkuu vipi huko Chadema lini wagombea urais wanaochukua fomu au nyie kuna mgombea urais wa maisha Padre Slaa.

Nasikia Criminal yeye ubunge basi tena.

Kwa hiyo mtaachiana majimbo na Urais mtaweka mgombea mmoja kwa vyama shirika vya CCM na ACT?
 
Last edited by a moderator:
Lakini alikuwa CCM?

CCM mnanifurahisha kuchangia thread za Chadema hata kama ni Negative lakini mnasababisha ziwe juu muda wote.

Kwa niaba ya wote Asante sana Ritz
 
Last edited by a moderator:
Zitto yupo Tanga anafyeka magugu na kusambaza uzalendo.

Mimi sina timu najua rais anatoka CCM aje yoyote hamna tatizo.

Mkuu vipi huko Chadema lini wagombea urais wanaochukua fomu au nyie kuna mgombea urais wa maisha Padre Slaa.

Nasikia Criminal yeye ubunge basi tena.
Mbona mitizamo yako ipo sawa na hicho unachokitumia hapo ndani ya Karatasi?
 
Last edited by a moderator:
vipi kwani henche amemshindwa? mkuria gani mlaini kiasi hicho mpaka kukubali kipigo kwa dogo hence?


Ilikuwa ni mtikisiko siku ya Alhamisi Jimboni Ukonga.Umati mkubwa wa watu ulimsindikiza Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara wakati akirejesha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge jimboni Ukonga kupitia CHADEMA.

Ulikuwa ni msafara wa magari,bodaboda,baiskeli na watembea kwa miguu kutoka Kivule mpaka Gongolamboto kwenye ofisi ya jimbo.

Wananchi kadhaa wakihojiwa kwanini wanamuunga mkono Waitara kwa kiwango hicho walisema ni utumishi uliotukuka aliouonyesha tangu amechaguliwa kwa kura nyingi mwishoni mwa mwaka jana kuwa Mwenyekiti wa mtaa wa Kivule.

Waitara amekomesha kabisa tabia ya waliokuwa viongozi wa serikali ya mtaa kutoza wananchi fedha wanapofika ofisini kwa matatizo mbalimbali.

Kwa muda mfupi aliokaa tayari amekuwa akiweka hadharani mapato na matumizi ya mtaa wa Kivule.Kwa Kivule Waitara ni zaidi ya Kiongozi.

Mara baada ya kukabidhi fomu huku Umati ukimshuhudia aliondoka kwa maandamano kuelekea Majohe ambapo alifanya mkutano mkubwa wa hadhara.
 
Ndugu zangu, kama nilivyosema Watanzania tuna tabia ya kusameheana.

Mr Suggestion, labda hukuwa unafuatilia utawala wa daruso wakati huo au ulikuwa ndio kwanza unaingia, waulize wenzio waliokuwa wakongwe kwako watakwambia, mie sizungumzie Magesa ambaye nae aliishia kuwa fisadi tu, nazungumzia Mwita Mwikwabe Waitara, aliyeingia madarakani kwa kusaidiwa na mpiganaji wa wakati huo Tweve.

Naamini waliokuwa UDSM wakati huo japo wanaweza kumsamehe ni mashahidi hapa, utawala wa mwita ulidissappoint sana watu maana watu walijua wameingiza wapiganaji kumbe wameingiza mafisadi na wezi, jamaa walikuwa busy kupiga deal na kula pesa tu, kila kitu kwao ilikuwa biashara.

Msifieni kwenye mengine ila mkitaka kumsifia kuhusu urais UDSM mtaharibu maana wengi wanaufahamu utawala wake pale.

MASONJO SAMAHANI NIKUULIZE, ulisoma kozi gani pale UDSM?
na ulikuwa mwaka wa ngapi wakati Waitara akiwa Rais wa DARUSO?

Je, Unaweza kutueleza wana janvi ni deal gani alizokuwa akipiga akiwa kama Rais enzi hizo?

Kwa ufupi tu nikufahamishe, Mwita Waitara ni kiongozi shupavu asiyepelekeshwa hata kidogo na husimamia vema masrahi ya anaowaongoza.

Mimi kama Rais wangi enzi hizo, aliwahi kutuongoza kuikataa test ya Dr, aliyekuwa analazimisha tuifanye Jumapili badala ya katikati ya wiki, ambapo ndio siku muafaka ya kufanya Test. Kumbuka miongozo ya chuo hairuhusu kufanya test jumamosi wala jumapili.

Test haikufanyika na Dr. yule akakasirika na siku alipoileta katikati ya wiki akawa ameikaza balaa, lakini tukaipiga na akashindwa kutukamata. Manake test ya masaa mawili liliypangwa kufanyika J2 iligeuka kuwa ya Dr 60 ( saa 1) kwenye kipindi.

Sasa kaka, mtu kama huyo asiyepnda kupindishwa kwa sheria huoni kama ndiye anayefaa. Acha kumpakazia Mtu wa watu huyo.

Mwita Nakutakia kila la kheri kaka, na ungekuwa jimboni kwangu familia yangu yote ungechukua kura zao.
 
vipi kwani henche amemshindwa? mkuria gani mlaini kiasi hicho mpaka kukubali kipigo kwa dogo hence?

Chadema haina mtu anayeitwa Henche...

BTW..Kwa taarifa yako Chadema hatugombanii madaraka bali tunagawana majukumu..Unadhani ni kama CCM wanagombania Urais watu 40?
 
Chadema haina mtu anayeitwa Henche...

BTW..Kwa taarifa yako Chadema hatugombanii madaraka bali tunagawana majukumu..Unadhani ni kama CCM wanagombania Urais watu 40?

Asante sana umemjibu vema sana huyo buku saba
 
Ada zote za manyanyaso kwenye Serikali ya Mtaa wa Kivule ni marufuku chini ya utawala wa Waitara.Wananchi wa Kivule wamemshuhudia Mwenyekiti wao akichimbua mitaro na mifereji mwenyewe bila kuringia cheo chake.
Okay, good job for starters.

Amefuta ada serikali ya mtaa. So where does he get the funding for ditch digging? Amechimba mitaro kwa mikono yake? Na barabara atajenga kwa mikono?

And then, tunaposema ameweka wazi madaftari ya financing ya mtaa, ya pesa ipi? Michango gani anayopokea? Nilidhani hakusanyishi hela.
 
haa haa hongera yake. lakini chadema waangalie huu utaratibu wa hovyo. yaani jamaa ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa huku anautaka ubunge. hilo sio sawa kamwe. awapishe wanacdm wengine kwenye ubunge...
 
Nikiwa kama mkazi wa jimbo hili naamini Ukawa ina asilimia kubwa ya kulichukua. Kikubwa ni kutoa elimu ya uraia hususani maeneo ya chanika, ambayo bado yapo nyuma ukilinganisha na maeneo ya majohe, kitunda mpaka ukonga.

All the best Mwita ututetee Ukonga sio kama marehemu aliyepita hakuchangia lolote na alitutelekeza. Mwita jipange kuna huyu Jerry Silaa anajifanya leo ana uchungu na Ukonga wakati hajafanya lolote akiwa kama diwani.

Nashauri makada wa chadema waende mara moja kutoa elimu maeneo yote uliyoyataja nawe ukiwa mmoja wao. Msiwasubiri hawa washirika wengine kwani hawana mtaji huko. Hakikiaheni vijana wote wameandikishwa na iwepo timu ya kuwahimiza na ikibidi kuongozana nao mguu kwa mguu siku ya kupiga kura. Ni wajibu wenu pia kulinda kura hadi atangazwe mbunge.
 
Chadema haina mtu anayeitwa Henche...

BTW..Kwa taarifa yako Chadema hatugombanii madaraka bali tunagawana majukumu..Unadhani ni kama CCM wanagombania Urais watu 40?
acha kujidanganya wewe. nani asiyejua vita ya mwita mwikabe na heche? tumia akili kuongopa, fa'la wewe.
 
Huelewi chochote kuhusu Daruso kwa sababu wewe ni Form Four Failure.

Unachoandika unalishwa hapo Lumumba kwa sababu uko kwenye Payroll yao

Mkuu mjibu kwa hoja ikibidi muombe akupe ushahidi lkn kumponda haitasiadia
 
Back
Top Bottom