Elections 2015 Mwita Waitara aitingisha Ukonga wakati akirejesha fomu za kugombea Ubunge CHADEMA


Mm namuunga mkono Waitara,na kura yangu tayari ni yake.
Pia namuomba amuonye mwenyekiti mwenzie wa Msongola,kwani pana malalamiko ya watu kutozwa fedha tena nyingi tu
 
wana ukonga mara zote mmeongozwa na wabunge legelege sana , sasa Mungu amewasikia amewaletea kamanda wa ukweli ndugu waitara .
 
Uthibitisho Mwita Mwikwabe alivomaliza UDSM alipewa ukatibu wa CCM Mkoa Tanga aligombana na Mkama baada ya kuungana na Nape kuhusu jengo la UV CCM
Akaambiwa arudi Lumumba aandalie mabosi chain ndo akatimkia Chadema
Mwita Mikwabe hakufanya chochote daruso zaid ya kufunga ndoa akiwa pres wa Daruso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…