Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lile seke seke la leo wasingemtoa mapema wale wananchi wangeweza kumpa adhabu kama ile ya Mabina.Aliwaambia wanywe bia?
Hao wanapesa za kujinunulia hennesy, anawaletea uboya! Huyu mwita mwisho wake utakuwa mbaya sana, namuonea huruma!
hao sio wa kuwapa Hongera wamewahi kuua mtu hivi hivi miaka kadhaa nyuma,hii tabia yao itakuwa na itakuja kuleta madhara,tafuta nyuzi humu za miaka ya nyuma utagundua wana ukorofiHongereni sana wananchi wa MAHINA, wajinga wajinga kama hao ni kuwapopoa kabisa.
Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.
Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Yaani wanarukaruka kwa furaha!Makamanda wamefurahiii.
Mtapigwa sana hapo badoMakamanda wamefurahiii.
Kwahiyo Waitara asingetoka baruti saa hizi mtaani kwake wangeanza maombolezo?!hao sio wa kuwapa Hongera wamewahi kuua mtu hivi hivi miaka kadhaa nyuma,hii tabia yao itakuwa na itakuja kuleta madhara,tafuta nyuzi humu za miaka ya nyuma utagundua wana ukorofi
wao huamini katika kupigana mwishowe walisababisha vifo vya watu zaidi ya watatu siku moja
Kwa lile seke seke la leo wasingemtoa mapema wale wananchi wangeweza kumpa adhabu kama ile ya Mabina.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe - JamiiForums
Hujaelewa maada. Waitara alikuwa anampinga Bwire. Ndo wafuasi wa Bwire wamekuja juu.Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.
Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
Unachonifurahishaga mkuu, ni pale unapomalizia na kibwagizo cha Maendeleo hayana Chama, basi huwa nachekaga kweli aisee 😂Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.
Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
alipiga kelele??Kile kichapo kilikua ni heavyduty hatari,mabaunsa wakatoka ndukii raia wakamaliza kazi kwa fasta fasta kwa mawe kama wanapiga mwizi vile.