Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Hiyo itakuwa safi sana, kila anayesimama piga maswali akishindwa kujibu akileta uccm wake shusha jukwaani mpe na kipigo kidogo akawaonyeshe ofisi za ccm na mkewe.

Shubamit! Kama wananchi wamechoka hakuna namna
 
Jamaa anajiona mjuaji sana, anaamini kila mahali anaweza peleka ile sura yake!
 
Hongereni sana wananchi wa MAHINA, wajinga wajinga kama hao ni kuwapopoa kabisa.
hao sio wa kuwapa Hongera wamewahi kuua mtu hivi hivi miaka kadhaa nyuma,hii tabia yao itakuwa na itakuja kuleta madhara,tafuta nyuzi humu za miaka ya nyuma utagundua wana ukorofi

Wao huamini katika kupigana mwishowe walisababisha vifo vya watu zaidi ya watatu siku moja
 
😂😂😂😂😂Wangempa kichapo tu cha mbwa mwizi huyu mhuni.

Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.

Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
hao sio wa kuwapa Hongera wamewahi kuua mtu hivi hivi miaka kadhaa nyuma,hii tabia yao itakuwa na itakuja kuleta madhara,tafuta nyuzi humu za miaka ya nyuma utagundua wana ukorofi
wao huamini katika kupigana mwishowe walisababisha vifo vya watu zaidi ya watatu siku moja
Kwahiyo Waitara asingetoka baruti saa hizi mtaani kwake wangeanza maombolezo?!
 
kuna fukuto kubwa sana nchini tanzania watu wamechoka ila wameamua kukaa kimnya, siku moto ukiwaka kidogo ndio watajua kwa nini watu walikuwa kimnya
 
Yote hayo ni vita ya ubunge Tarime vijijini. Bwire katia nia hivyo anaonekana threat kwa Watara. Hivi kwa nini Watara anakimbia Ukonga ?Huko Tarime vijijini hata kwenye kura za maoni hatapita.
 
Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.

Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hujaelewa maada. Waitara alikuwa anampinga Bwire. Ndo wafuasi wa Bwire wamekuja juu.
 
Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.

Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Unachonifurahishaga mkuu, ni pale unapomalizia na kibwagizo cha Maendeleo hayana Chama, basi huwa nachekaga kweli aisee 😂
 
Back
Top Bottom