PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Utakuwa unapumiliwa kisogoniMimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa unapumiliwa kisogoniMimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
Manka mada ni kukimbia kipigo cha mbwa mwizi!Hujaelewa maada. Waitara alikuwa anampinga Bwire. Ndo wafuasi wa Bwire wamekuja juu.
Mimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
Maelezo yako unasema alikuwa anamtetea Bwire,which is not. Hujui kuwa Bwire katia nia Tarime vijijini ?Manka mada ni kukimbia kipigo cha mbwa mwizi!
Duh hatare..Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.
Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.
Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Waitara pombe inampotezaMwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.
Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hao wananchi wanatumiwa na mabeberuNa bado
Nimecheeeka vibaya sana, jamaa anaonekana alishapiga vitu pale triple walletNa bado
Powa mkuu, siasa si ugomvi mkuu, basi itoshe kusema, Tumeunganishwa kuwa Watu wa nchi moja bado utabaki Mtanzania mwenzangu haijalishi tutatofautiana kiitikadiMuhun tuu wewe MATAGA Unacheka nn wewe
Kaonjeshwa joto ya jiweHahahahaha kongole kwenu wananchi wa Mahina
Alikuwa anaongozwa na maji ya ilalaAna bahati wangemuotesha nywele leo. [emoji1787][emoji1787]