Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hiyo ni habari kama habar zingineOK yule kiazi aliyemdhalilisha mh mbowe amunusirka kichapo hiuko mwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni habari kama habar zingineOK yule kiazi aliyemdhalilisha mh mbowe amunusirka kichapo hiuko mwanza
alipiga kelele??
Utakuwa unapumiliwa kisogoni
bia yetu mwenyewe siku wana JF tukikutana alafu aropoke mapambio atapelekwa mawinguni haraka sanaNyuzi Kalamazoo hizi Bia yetu hawezi kuchangia
Baada ya kuutangazia Ulimwengu kuwa kuna mtu kanusurika kupata kichapo, wakati wowote mnaweza kutakiwa kwenda kujieleza kama sio kuomba radhi
Huu ni utabiri tu jamani, muda ndio utathibitisha.
Uzi hauna kichwa wala miguu,mbele wala nyuma
Siku hizi ITV wakati mwingine wanasikitisha sana
Mwikwabe Leo kaponea chupuchupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule kiazi Alidhani akimtukana mbowe ndo atapendwa na wananchi
Why?They were not supposed to have the harsh heading like that..
The Superbrand Africa!! Sasa sijui na Azam Media nao watajiita nani baada ya huu utafiti mpya kufanyika na kuwabeba vilivyo!! Ile taarifa waliikuza sana.
Wananchi walikuwa wanapiga kelele za kupinga na kutokubaliana na Naibu Waziri. Sikuona hata hiyo chupuchupu ya kutaka kupigwa. Itv wajitahidi kusoma alama za nyakati. Hii awamu siyo.
Waitara leo kajiandalia barua ya kutengua uteuzi wake maana hayo yametokea kwenye jimbo mojawapo la wakubwawaombe radhi kwa lipi hasa!?kwani ni uongo kanusurika kupigwa!!!
hiyo ni nidhamu ya woga na matokeo yake unashindwa kufanya kazi kwa misingi na taratibu ulizojiwekea.tena ingependeza zaidi kama wangeionyesha kwenye taaarifa ya habari saa 2...
Wewe ulie na Nyuma Bong'oa tukuone😁Uzi hauna kichwa wala miguu,mbele wala nyuma