Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Namkumbuka yule m/kiti wa ccm mkoa bwana mabina. Hivi sio maeneo hayo hayo waliyomuulia?
 
A380BE75-BA2E-4E3D-B2F6-7B0E936604A9.png

tags zimenichekesha sana eti MWANZA MWIZI WAITARA
 
sasa nyinyi ufipa mbona akilizenu zinamakengeza kama mwenyekiti wenu.
itv ni kituo cha habari.tanzania kuna uhuru wa habari mkubwa mno.sasa kwa nini mnaleta habari za uzushi ?
 
Kwa Waitara haina madhara sana maana kuna uwezekano anatupiwa virago baada ya kutumiwa kama busati
Baada ya kuutangazia Ulimwengu kuwa kuna mtu kanusurika kupata kichapo, wakati wowote mnaweza kutakiwa kwenda kujieleza kama sio kuomba radhi

Huu ni utabiri tu jamani, muda ndio utathibitisha.
 
The Superbrand Africa!! Sasa sijui na Azam Media nao watajiita nani baada ya huu utafiti mpya kufanyika na kuwabeba vilivyo!! Ile taarifa waliikuza sana.

Wananchi walikuwa wanapiga kelele za kupinga na kutokubaliana na Naibu Waziri. Sikuona hata hiyo chupuchupu ya kutaka kupigwa. Itv wajitahidi kusoma alama za nyakati. Hii awamu siyo.
 
Video ipo hapa hapa jamvini wacha kutufanya mandunya
The Superbrand Africa!! Sasa sijui na Azam Media nao watajiita nani baada ya huu utafiti mpya kufanyika na kuwabeba vilivyo!! Ile taarifa waliikuza sana.

Wananchi walikuwa wanapiga kelele za kupinga na kutokubaliana na Naibu Waziri. Sikuona hata hiyo chupuchupu ya kutaka kupigwa. Itv wajitahidi kusoma alama za nyakati. Hii awamu siyo.
 
waombe radhi kwa lipi hasa!?kwani ni uongo kanusurika kupigwa!!!
hiyo ni nidhamu ya woga na matokeo yake unashindwa kufanya kazi kwa misingi na taratibu ulizojiwekea.tena ingependeza zaidi kama wangeionyesha kwenye taaarifa ya habari saa 2...
 
waombe radhi kwa lipi hasa!?kwani ni uongo kanusurika kupigwa!!!
hiyo ni nidhamu ya woga na matokeo yake unashindwa kufanya kazi kwa misingi na taratibu ulizojiwekea.tena ingependeza zaidi kama wangeionyesha kwenye taaarifa ya habari saa 2...
Waitara leo kajiandalia barua ya kutengua uteuzi wake maana hayo yametokea kwenye jimbo mojawapo la wakubwa
 
Back
Top Bottom