Hiyo ndito hali hal
Hiyo ndoyo hali halisi ya CCM bila policcm na ma lori ya kubeba washabikiNaibu waziri wa Tamisemi anausurika kupokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Bwana Bwire Meya ( mkurugenzi wa shule za Alliance) wa huko jijini Mwanza.
Hii migogoro ya Ardhi wamuachie Lukuvi.
Chanzo: ITV Habari