Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Wewe ulie na Nyuma Bong'oa tukuone😁
Seems ndo michezo yako...usijaribu kuniambukiza tafadhali... There r so many alternative ways you can use to find ur adherents, not the one u're trying to apply.
 
Seems ndo michezo yako...usijaribu kuniambukiza tafadhali... There r so many alternative ways you can use to find ur adherents, not the one u're trying to apply.
Your boss can comprehend what you have written?

A man from chatu😁😁
 
Mimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
Hata kama ni mshabiki, lakini mwambie Mwita akachezee Ukonga sio Mwanza na mikoa mikoa minngine kama Mara.

Na wala asijaribu kuja kugombea Ubunge Mara, kwani namsikia eti anataka kuja huku kujaribu bahati yake. We Mwita!
 
Itv wamekosa habari za kuripoti, ile haikuwa issue ya kuripoti labda watakuwa na lao jambo.Waitara alikwenda kukagua zahanati mahina na ndipo baadhi ya wakazi wakatoa malalamiko kuhusu suala la ardhi linalomhusu meya bwire anayemiliki shule za alliance na wakazi hao.Kesi iko mahakamani ndipo Waitara akawaomba wasubiri mahakama itaamuaje,ndipo kukatokea vurugu kidogo.Watu wenyewe hata 20 hawafiki na mimi nilikuwepo eneo la tukio.Mabere Makubi ndiye aliyeiripoti ile taarifa akiwa kwenye msafara wa naibu waziri,lilikuwa jambo dogo tu nashangaa Itv wamelikuza,ndio tatizo la vyombo vyetu vya habari umbeaumbea ndio mwingi.
😆😆😆😆 Mmeficha korona weee mnaona haitoshi mnataka kuficha na haya !
 
Waitara ana bahati sana ! kuna mwanaccm mwenzie aliuawa kwa mawe hapo hapo mwanza na kwa sababu hiyo hiyo
 
Itv wamekosa habari za kuripoti, ile haikuwa issue ya kuripoti labda watakuwa na lao jambo.Waitara alikwenda kukagua zahanati mahina na ndipo baadhi ya wakazi wakatoa malalamiko kuhusu suala la ardhi linalomhusu meya bwire anayemiliki shule za alliance na wakazi hao.Kesi iko mahakamani ndipo Waitara akawaomba wasubiri mahakama itaamuaje,ndipo kukatokea vurugu kidogo.Watu wenyewe hata 20 hawafiki na mimi nilikuwepo eneo la tukio.Mabere Makubi ndiye aliyeiripoti ile taarifa akiwa kwenye msafara wa naibu waziri,lilikuwa jambo dogo tu nashangaa Itv wamelikuza,ndio tatizo la vyombo vyetu vya habari umbeaumbea ndio mwingi.
Hili unaloliita jambo dogo sisi wananchi tunaliona ni jambo tunalopaswa kuhabarishwa kama mlivyotuhabarisha lile tukio la Mbowe kuletewa fujo na mataga kwenye mkutano wake huko Hai.

Kwa kifupi tulieni dawa iwaingie.
 
Itv wamekosa habari za kuripoti, ile haikuwa issue ya kuripoti labda watakuwa na lao jambo.Waitara alikwenda kukagua zahanati mahina na ndipo baadhi ya wakazi wakatoa malalamiko kuhusu suala la ardhi linalomhusu meya bwire anayemiliki shule za alliance na wakazi hao.Kesi iko mahakamani ndipo Waitara akawaomba wasubiri mahakama itaamuaje,ndipo kukatokea vurugu kidogo.Watu wenyewe hata 20 hawafiki na mimi nilikuwepo eneo la tukio.Mabere Makubi ndiye aliyeiripoti ile taarifa akiwa kwenye msafara wa naibu waziri,lilikuwa jambo dogo tu nashangaa Itv wamelikuza,ndio tatizo la vyombo vyetu vya habari umbeaumbea ndio mwingi.
Hata Mimi nashangaa habari ile kupewa kipaumbele,watu wenyewe hata 20 hawafiki.Hawa Itv wakati mwingine huwa wanaonesha rangi yao halisi,wale wana kamlengo fulani kakichademachadema mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu tuliwaona.Itv jirekebisheni,watz tunawashangaa.
 
Back
Top Bottom