Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Vyombo vya ulinzi havikuwepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seems ndo michezo yako...usijaribu kuniambukiza tafadhali... There r so many alternative ways you can use to find ur adherents, not the one u're trying to apply.Wewe ulie na Nyuma Bong'oa tukuone😁
Your boss can comprehend what you have written?Seems ndo michezo yako...usijaribu kuniambukiza tafadhali... There r so many alternative ways you can use to find ur adherents, not the one u're trying to apply.
I'm my own boss!!!Your boss can comprehend what you have written?
A man from chatu😁😁
We mwehu sijui wa wapi...unafikir kila mtu katembea peku kwenye umande kwenda shuleni kama wewe.Tatizo lako ni kuogopa umande kijijini kwenu huko mpuhungu
Wananchi walivyohisi tu ananuka pombe hawajataka hata kumsikiliza mara 2.Aliwaambia wanywe bia?
Hao wanapesa za kujinunulia hennesy, anawaletea uboya! Huyu mwita mwisho wake utakuwa mbaya sana, namuonea huruma!
Hata kama ni mshabiki, lakini mwambie Mwita akachezee Ukonga sio Mwanza na mikoa mikoa minngine kama Mara.Mimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😆😆😆😆 Mmeficha korona weee mnaona haitoshi mnataka kuficha na haya !Itv wamekosa habari za kuripoti, ile haikuwa issue ya kuripoti labda watakuwa na lao jambo.Waitara alikwenda kukagua zahanati mahina na ndipo baadhi ya wakazi wakatoa malalamiko kuhusu suala la ardhi linalomhusu meya bwire anayemiliki shule za alliance na wakazi hao.Kesi iko mahakamani ndipo Waitara akawaomba wasubiri mahakama itaamuaje,ndipo kukatokea vurugu kidogo.Watu wenyewe hata 20 hawafiki na mimi nilikuwepo eneo la tukio.Mabere Makubi ndiye aliyeiripoti ile taarifa akiwa kwenye msafara wa naibu waziri,lilikuwa jambo dogo tu nashangaa Itv wamelikuza,ndio tatizo la vyombo vyetu vya habari umbeaumbea ndio mwingi.
Unakumbuka kisa cha mabinaMakamanda wamefurahiii.
Umesahau kisa cha yule Mwenyekiti alivyokoga mvuaHahahaaaa...... Yaani wanarukaruka kwa furaha!
Wangemtumbua hiyo mishavu na mijicho.
Naibu waziri wa Tamisemi anausurika kupokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Bwana Bwire Meya ( mkurugenzi wa shule za Alliance) wa huko jijini Mwanza.
Hii migogoro ya Ardhi wamuachie Lukuvi.
Chanzo: ITV Habari
Hili unaloliita jambo dogo sisi wananchi tunaliona ni jambo tunalopaswa kuhabarishwa kama mlivyotuhabarisha lile tukio la Mbowe kuletewa fujo na mataga kwenye mkutano wake huko Hai.Itv wamekosa habari za kuripoti, ile haikuwa issue ya kuripoti labda watakuwa na lao jambo.Waitara alikwenda kukagua zahanati mahina na ndipo baadhi ya wakazi wakatoa malalamiko kuhusu suala la ardhi linalomhusu meya bwire anayemiliki shule za alliance na wakazi hao.Kesi iko mahakamani ndipo Waitara akawaomba wasubiri mahakama itaamuaje,ndipo kukatokea vurugu kidogo.Watu wenyewe hata 20 hawafiki na mimi nilikuwepo eneo la tukio.Mabere Makubi ndiye aliyeiripoti ile taarifa akiwa kwenye msafara wa naibu waziri,lilikuwa jambo dogo tu nashangaa Itv wamelikuza,ndio tatizo la vyombo vyetu vya habari umbeaumbea ndio mwingi.
Safi amepata haki yake, kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake
Naibu waziri wa Tamisemi anausurika kupokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Bwana Bwire Meya ( mkurugenzi wa shule za Alliance) wa huko jijini Mwanza.
Hii migogoro ya Ardhi wamuachie Lukuvi.
Chanzo: ITV Habari
Hata Mimi nashangaa habari ile kupewa kipaumbele,watu wenyewe hata 20 hawafiki.Hawa Itv wakati mwingine huwa wanaonesha rangi yao halisi,wale wana kamlengo fulani kakichademachadema mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu tuliwaona.Itv jirekebisheni,watz tunawashangaa.Itv wamekosa habari za kuripoti, ile haikuwa issue ya kuripoti labda watakuwa na lao jambo.Waitara alikwenda kukagua zahanati mahina na ndipo baadhi ya wakazi wakatoa malalamiko kuhusu suala la ardhi linalomhusu meya bwire anayemiliki shule za alliance na wakazi hao.Kesi iko mahakamani ndipo Waitara akawaomba wasubiri mahakama itaamuaje,ndipo kukatokea vurugu kidogo.Watu wenyewe hata 20 hawafiki na mimi nilikuwepo eneo la tukio.Mabere Makubi ndiye aliyeiripoti ile taarifa akiwa kwenye msafara wa naibu waziri,lilikuwa jambo dogo tu nashangaa Itv wamelikuza,ndio tatizo la vyombo vyetu vya habari umbeaumbea ndio mwingi.