Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Kunawatu hawafananii uongozi hasa wa kisiasa... labda kuongoza kundi la majangili hivi au wezi!! Mwonekano,uongeaji,maneno havishawishi maridhiano labda kutishia kupora. Ndowale wakitongoza wanamwambia mrembo twendezetu urare nikurarie bhana
 
Hata Mimi nashangaa habari ile kupewa kipaumbele,watu wenyewe hata 20 hawafiki.Hawa Itv wakati mwingine huwa wanaonesha rangi yao halisi,wale wana kamlengo fulani kakichademachadema mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu tuliwaona.Itv jirekebisheni,watz tunawashangaa.
Wapelekeeni pambio sasa ili waendelee kusifu na kuabudu, maana hamtaki waonyeshe uhalisia wa mambo
 
Na yeye huko mahina alifuata Nini asee..nimeona huyu allience school anazidi kujimegea maeneo Happ mahina Kama kabaila fulani hivi.
Takukuru wammulike huyu diwani
 
Hiyo itakuwa safi sana, kila anayesimama piga maswali akishindwa kujibu akileta uccm wake shusha jukwaani mpe na kipigo kidogo akawaonyeshe ofisi za ccm na mkewe.

Shubamit! Kama wananchi wamechoka hakuna namna

Kama vile mbowe alivyoshushwa kule Hai moshi?
 
Hili jamaa lina sura nzito.km uji wa mtama
Wakati mwingine tuwe tunaangalia sura za kuchagua wananchi bhana.
Halaf tatizo hata haya halina na lisura lake limekomaaa.
Mnisamehe nafanya personal attack kidogo maana kuna mijitu imezd.
 
Itv wamekosa habari za kuripoti, ile haikuwa issue ya kuripoti labda watakuwa na lao jambo.Waitara alikwenda kukagua zahanati mahina na ndipo baadhi ya wakazi wakatoa malalamiko kuhusu suala la ardhi linalomhusu meya bwire anayemiliki shule za alliance na wakazi hao.Kesi iko mahakamani ndipo Waitara akawaomba wasubiri mahakama itaamuaje,ndipo kukatokea vurugu kidogo.Watu wenyewe hata 20 hawafiki na mimi nilikuwepo eneo la tukio.Mabere Makubi ndiye aliyeiripoti ile taarifa akiwa kwenye msafara wa naibu waziri,lilikuwa jambo dogo tu nashangaa Itv wamelikuza,ndio tatizo la vyombo vyetu vya habari umbeaumbea ndio mwingi.
Kwanini unashangaa Mabere Makubi kuriport hilo tukio ilhali alikuwepo kwenye msafara? Au unataka awe amekula Per Diem ya ITV ya bure tu arudi kimya kimya?
 
Kwa vile zinapunguza stress za watu humu hizo taarifa, hakuna shida fulahini tu huo ndo wakati wake.
 
Hakuwa na 'vibapa' kichwani kweli? mngeogelea mitusi halafu baadae anaimba zile nyimbo zake akishaweka vibapa!
 
Back
Top Bottom