Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

Kunawatu hawafananii uongozi hasa wa kisiasa... labda kuongoza kundi la majangili hivi au wezi!! Mwonekano,uongeaji,maneno havishawishi maridhiano labda kutishia kupora. Ndowale wakitongoza wanamwambia mrembo twendezetu urare nikurarie bhana
 
Wapelekeeni pambio sasa ili waendelee kusifu na kuabudu, maana hamtaki waonyeshe uhalisia wa mambo
 
Na yeye huko mahina alifuata Nini asee..nimeona huyu allience school anazidi kujimegea maeneo Happ mahina Kama kabaila fulani hivi.
Takukuru wammulike huyu diwani
 
Hiyo itakuwa safi sana, kila anayesimama piga maswali akishindwa kujibu akileta uccm wake shusha jukwaani mpe na kipigo kidogo akawaonyeshe ofisi za ccm na mkewe.

Shubamit! Kama wananchi wamechoka hakuna namna

Kama vile mbowe alivyoshushwa kule Hai moshi?
 
Hili jamaa lina sura nzito.km uji wa mtama
Wakati mwingine tuwe tunaangalia sura za kuchagua wananchi bhana.
Halaf tatizo hata haya halina na lisura lake limekomaaa.
Mnisamehe nafanya personal attack kidogo maana kuna mijitu imezd.
 
Kwanini unashangaa Mabere Makubi kuriport hilo tukio ilhali alikuwepo kwenye msafara? Au unataka awe amekula Per Diem ya ITV ya bure tu arudi kimya kimya?
 
Inaanza kukubalika hata bila kujitambua. Eti nasikia hata wabunge wangeweza kuchapwa viboko, na wao Kama muhimili ulikaa kimya!
Mbaya Sana hii,atua zichukuliwe kwa hao wanaotaka kupigana na serikali
 
Kwa vile zinapunguza stress za watu humu hizo taarifa, hakuna shida fulahini tu huo ndo wakati wake.
 
Hakuwa na 'vibapa' kichwani kweli? mngeogelea mitusi halafu baadae anaimba zile nyimbo zake akishaweka vibapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…