Mwita Waitara athibitisha taarifa za kuumwa, amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa, hajui ni ugonjwa gani

Kathibitisha kalazwa zaidi ya wiki
 
Siamini kabisa mwamba kama yeye kuumwa wkt mtetezi wa wanyonge anampa back up ya kutosha,anatembea kwny li v8,Jeshi la polisi linamtetea kwny kila hali..

Watu wa hivyo nilijua hua hawaumwi kabisa aisee.
Yeye ni gwiji wa kutukana na kupambana na chadema ,atumie hiyo hiyo nguvu ikiwezekana hata kwa msaada wa jeshi la polisi.
 
Mungu wa mbinguni amfanyie wepesi apone haraka!
 
Umelazwa hospital wiki nzima halafu hujaambiwa Una umwa nn na wataalam , Kama sio uongo nn, wiki nzima bila majibu ni kwel hiki?
 
Funzo ninalolipata ni kuishi bila kukwaza watu. Kwa nini kuumwa kwa mtu iwe issue sana Kwani wanaumwa wangapi? Mtu mpaka unafikia kuombewa kifo si jambo zuri.
Mkuu Acha kujidanganya,hata uwe unaamka asubuhi na kwenda kugawa pesa kwa watu tambua kuwa wako watakaokuchukia na wapo watakao kupenda,ishi kwa kadiri uwezavyo na usiishi kwa kuigiza ili kuwafurahisha watu.

Mtu kuombewa kifo sio jambo la kusitaajabisha,usikute hata mtoto wako wa kumzaa akawa anakuombea ufe .

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…