Mwita Waitara athibitisha taarifa za kuumwa, amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa, hajui ni ugonjwa gani

Mwita Waitara athibitisha taarifa za kuumwa, amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa, hajui ni ugonjwa gani

Mungu amfanyie wepesi ndugu yetu wa Waitara.Ni veme atumie ile dawa ya NIMRI
 
View attachment 1479030

Mheshimiwa Mwita Waitara amethibitisha taarifa zilizokuwa zikizunguka mtandaoni kuwa anaumwa, lakini amekanusha kuwa ni ugonjwa wa COVID-19.

Amesema hayo akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii. Mheshimiwa Waitara amenukuliwa akisema "Naumwa na nimelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma, kusema naumwa nini sijui kwa sababu sijapata taarifa ya wataalam, kwahiyo aliyeandika mnaweza kumhoji anaweza akawaambia aliongea na mamlaka zipi, lakini mimi taarifa za Corona sina."

"Hali yangu haikuwa nzuri sana ila kuanzia jana nimeanza ku-improve, kabla ya hapo nilikuwa siwezi hata kuongea na simu, nipo Hospitali karibia wiki sasa, naumwa tu kawaida kwani tangu nimekuwa Naibu Waziri nimezunguka sana sijawahi kuchukua likizo"
Pole kwa kuumwa M.Waitara...
 
Tukisema kuwa nyie vijana wa ufipa ni zaidi ya misukule dunia iwe inatuelewa.Hivi utakalia kunusanusa habari za yule chizi kigogo pamoja na akili yako au dishi limeyumba nini.Waite manyumbu wenzako basi msherehekee huu ujinga ulioandika,hapa umeharisha tu ni uharo mtupu.
Hahaha
 
Tukisema kuwa nyie vijana wa ufipa ni zaidi ya misukule dunia iwe inatuelewa.Hivi utakalia kunusanusa habari za yule chizi kigogo pamoja na akili yako au dishi limeyumba nini.Waite manyumbu wenzako basi msherehekee huu ujinga ulioandika,hapa umeharisha tu ni uharo mtupu.
Bora ungeendelea kuuchapa tu usingizi. Watu tunaandika humu tukiwa na uhakika mkuu.
 
Aibu, kupenda kushabikia habari za uzushi zinazobandikwa twitter na mtu usiyemjua, maana kama habari ni ya kweli anapaswa kujitambulisha.

Kama kweli anaumwa wewe yakuhusu nini au ndio ushabiki wa kijuha na kitoto! Watu wazima hovyo!Umemjibu ipasavyo.
Matanga mnapanic nini sasa?
 
Hahhaa kumbe hii kitu huwa inauma namna hii kwani waitara aikuwa anamjibu nani kuwa anaumwa na kweli kalazwa maana ake yeye mwenyewe anafatilia habr za tweter
 
Unalazwa zaidi ya wiki bila kuambiwa unachoumwa tena kwa mtu mwenye hadhi ya uwaziri?Mpaka hapa tumeshajua nini kinamsumbua kulingana na tetesi zilizokuwepo.
 
Taarifa zimesambaa kupitia mtandao wa Twitter kuwa Waitara amelazwa jijini Dodoma ambapo imedaiwa anaugua maradhi ya Corona.

Wacha tusubiri lakini hii ya kulazwa labda inaweza kuwa ni kweli, ila kuhusu aina ya ugonjwa, muda utathibitisha.

--- UPDATE---


Mheshimiwa Mwita Waitara amethibitisha taarifa zilizokuwa zikizunguka mtandaoni kuwa anaumwa, lakini amekanusha kuwa ni ugonjwa wa COVID-19.

Amesema hayo akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii. Mheshimiwa Waitara amenukuliwa akisema "Naumwa na nimelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma, kusema naumwa nini sijui kwa sababu sijapata taarifa ya wataalam, kwahiyo aliyeandika mnaweza kumhoji anaweza akawaambia aliongea na mamlaka zipi, lakini mimi taarifa za Corona sina."

"Hali yangu haikuwa nzuri sana ila kuanzia jana nimeanza ku-improve, kabla ya hapo nilikuwa siwezi hata kuongea na simu, nipo Hospitali karibia wiki sasa, naumwa tu kawaida kwani tangu nimekuwa Naibu Waziri nimezunguka sana sijawahi kuchukua likizo"
Alionekana wiki iliyopita akigombana na wasukuma wa Mwanza.
 
Halafu Mataga mnasema kwamba KIGOGO analeta taarifa za UONGO!! Nimemsikiliza Mwita Mikwabe Waitara akihojiwa na Macklina Siyovelwa wa East Africa Radio kiukweli Mwita anaumwa tena yupo katika hali sio nzuri,sauti haitoki kabisa ,sauti ya upole ile ambayo kama akiongea anaumia!! Ni hatari sana FUTA.
 
Taarifa zimesambaa kupitia mtandao wa Twitter kuwa Waitara amelazwa jijini Dodoma ambapo imedaiwa anaugua maradhi ya Corona.

Wacha tusubiri lakini hii ya kulazwa labda inaweza kuwa ni kweli, ila kuhusu aina ya ugonjwa, muda utathibitisha.

--- UPDATE---


Mheshimiwa Mwita Waitara amethibitisha taarifa zilizokuwa zikizunguka mtandaoni kuwa anaumwa, lakini amekanusha kuwa ni ugonjwa wa COVID-19.

Amesema hayo akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii. Mheshimiwa Waitara amenukuliwa akisema "Naumwa na nimelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma, kusema naumwa nini sijui kwa sababu sijapata taarifa ya wataalam, kwahiyo aliyeandika mnaweza kumhoji anaweza akawaambia aliongea na mamlaka zipi, lakini mimi taarifa za Corona sina."

"Hali yangu haikuwa nzuri sana ila kuanzia jana nimeanza ku-improve, kabla ya hapo nilikuwa siwezi hata kuongea na simu, nipo Hospitali karibia wiki sasa, naumwa tu kawaida kwani tangu nimekuwa Naibu Waziri nimezunguka sana sijawahi kuchukua likizo"
Ngoja niwape connection wajuba washone suti nyeusi, uelekeo Ni Mara this time.

Sisiem tumewachoka, na mukufe tu maana mnaua Watanzania, taifa linaisha kwa ufedhuli wenu
 
Kalazwa wiki nzima, anaumwa tu kawaida na hajaambiwa anaumwa nini na madaktari... I see
 
Back
Top Bottom