Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Aah sawa
"Maendeleo hayana chama"
"Maendeleo hayana chama"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja,Naomba Mungu akupiganie tofauti zetu za kisiasa zisitawale kuugua, matatizo ni ya kila mtu. Naomba Mungu akupiganie nimeingiwa na huruma sana kusikia unapigania maisha yako Mh. Pona haraka rudi kwenye majukumu yako. Mungu naamini atakuponya pia naomba wana jf ambao uwa nawakosea kwa hoja zangu hapa mnisamehe mimi sio mkamilifu pia.
Mbn huyo pia ni mzee Wa vyomboVipi yule mlevi wako amepona
Mmmmmhhhh,.. anyway poa lknNaomba Mungu akupiganie tofauti zetu za kisiasa zisitawale kuugua, matatizo ni ya kila mtu. Naomba Mungu akupiganie nimeingiwa na huruma sana kusikia unapigania maisha yako Mh. Pona haraka rudi kwenye majukumu yako. Mungu naamini atakuponya pia naomba wana jf ambao uwa nawakosea kwa hoja zangu hapa mnisamehe mimi sio mkamilifu pia.
Ila mbona alihojiwa na global media, Alisema uchovu tu unamsumbua tena aliongea huku anajiaminiTunakutakia kila la heri kwenye maombi yako
KIgo anasema kupumua kumebana! Lakini kama alikuwa anasaidia watesi wa CDM, anafurahia maafa wanayopitia, basi naacha hapa.Jamaa kule twitter andai yuko tight