Mwita Waitara athibitisha taarifa za kuumwa, amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa, hajui ni ugonjwa gani

Naunga mkono hoja,
Waitara Get Well Soon!.
Japo hapo mwanzo hali ilikuwa hivi
Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?
Lakini sasa tumebadilika na hata shetani mwenyewe mwanzo alikuwa malaika, hivyo akiacha ushetani anarejea kuwa malaika!
P
 
Mmmmmhhhh,.. anyway poa lkn
 
Kwani anaumwa nn hadi raisi wa Twitter anamuombea akaungane na nkurunziza
 
Kama alikuwa anasshindwa hata kuongea kwa simu basi hayo ni matatizo ya upumuaji tu au ni Deportivo la Corona

Aacha ulevi kipindi hiki anachotumia dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…