Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
πππππππππππππππππππUPUUZI MTUPU! Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini na ndiyo mnasababisha hii Nchi kuangamia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππππππππππππUPUUZI MTUPU! Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini na ndiyo mnasababisha hii Nchi kuangamia.
Makonda alikuwa RC wa Dar wakati Waitara amehama Chadema na kujiunga na CCM kisha kufanyika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ukonga. Pitia kumbukumbu zako kisha uje tena na useme nani muongo kati yetu.Makonda alikuwa mkuu wa mkoa wakati uchaguzi unafanyika? Huu ni uthibitisho kuwa wewe ni muongo,acha kukariri uongo
Wapuuzi sana Mafisi hivi kwa akili zenu huyo mwita alishinda inzi nyieAliposema anaenda kugombea jimbo la Tarime vijijini wanachama na wafuasi wa Chadema walimbeza, wengi walisema ni mlevi na anakwenda kupoteza ubunge...
Jamiiforums imevamiwa sana. Wana CCM wenye akili kidogo kama FaizaFoxy na Mzee Mwanakijiji wanaona aibu na kuamua kuchutama kwa ushetani uliofanyika.
Wewe nawe una draw conclusion basing on false and cooked data!
Uko nje ya mjadara, jadili hoja, achana na mtuJamiiforums imevamiwa sana. Wana CCM wenye akili kidogo kama FaizaFoxy na Mzee Mwanakijiji wanaona aibu na kuamua kuchutama kwa ushetani uliofanyika.
Wewe nawe una draw conclusion basing on false and cooked data!
Imebaki imara kivip sijui!?Cha kushangaza ni kwamba hata baada ya Mwita kuondoka Chadema imeendelea kuwa imara.
Na walevi mbwa! π€£Hoover ya CCM imekomba wanafiki wote Chadema.
Mlevi komba unamwaga ung'eng'e salaale...I know much it pains madam.
wacha weeeAliposema anaenda kugombea jimbo la Tarime vijijini wanachama na wafuasi wa Chadema walimbeza, wengi walisema ni mlevi na anakwenda kupoteza ubunge.
Lakini hii yote ilikuwa ni sababu Mwita Waitara alikuwa ametoa siri nzito juu ya namna Kamanda Mbowe alivyotafuna zaidi ya bil 9 mali ya chama, ambazo zilikuwa michango ya wabunge na ruzuku ya Chadema
Zikabaki stori za chuki na vijembe, Oo huyu jamaa ni mlevi, hana lolote, alikuwa analewa kwa mama Zakaria gongo! Kwani mtu kunywa bia kwa afya yake ni kosa?
Alipohamishia kambi Tarime na kufanya mikutano ya ndani, Chadema iliyeyuka kama barafu kipindi cha jua, maelfu ya wanachama wa Chadema na iliyokuwa ngome ya Chadema walihamia Ccm.
Naweza kusema kitendo cha Chairman mbowe kumpuuza Mwita mpaka akahama Chadema ni pigo kubwa sana kwa Chadema, maana namna alivyobaragaza Chadema kuanzia ngazi ya taifa mpaka kanda ya Tarime kuporomoka ni hatari tupu.
My take ,Mwita Waitara ni mmoja wa magenius hapa Bongoland maana anajua namna ya kubadili upepo wa siasa za hapa Tz, hata kama mnachukia kama mambo yakizidi sio mbaya mkimtafuta kwa ushauri.
Kwa hiyo?wacha weee