Mwita Waitara: Jembe lililopindua meza kibabe, CHADEMA hawatasahau

Mwita Waitara: Jembe lililopindua meza kibabe, CHADEMA hawatasahau

UPUUZI MTUPU! Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini na ndiyo mnasababisha hii Nchi kuangamia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Makonda alikuwa mkuu wa mkoa wakati uchaguzi unafanyika? Huu ni uthibitisho kuwa wewe ni muongo,acha kukariri uongo
Makonda alikuwa RC wa Dar wakati Waitara amehama Chadema na kujiunga na CCM kisha kufanyika uchaguzi mdogo wa jimbo la Ukonga. Pitia kumbukumbu zako kisha uje tena na useme nani muongo kati yetu.

Vv
 
Cha kushangaza ni kwamba hata baada ya Mwita kuondoka Chadema imeendelea kuwa imara.
Imebaki imara kivip sijui!?
Wamepata asilimia ngapi ya kura za Urais
Wana viti maalum wangapi
Imebaki na Wabunge wangapi
Madiwani wangapi
Mameya wangapi
Inaongoza halmashauri ngapi
Ina wenyeviti wa mitaa, vijiji na vingoji vingapi
Inaongoza serikali ya vijiji vingapi..

Anyway huko tuseme kulikuwa na figisu unazumziaje WANACHAMA.. toka ameondoka waitara mmepokea WANACHAMA wapya wangapi zaidi ya kupoteza
Au viongozi muhimu walohamia CDM ni wangapi Ukilinganisha na waliohama..
Au Kuna anya tangible resources zilizoongezeka hapo ufipa baada ya Waitara kuondoka!!!
Au labda vigezo vyangu sio sahihi wewe unapima vip kuimarika kwa chama cha kisiasa!???
 
Aliposema anaenda kugombea jimbo la Tarime vijijini wanachama na wafuasi wa Chadema walimbeza, wengi walisema ni mlevi na anakwenda kupoteza ubunge.

Lakini hii yote ilikuwa ni sababu Mwita Waitara alikuwa ametoa siri nzito juu ya namna Kamanda Mbowe alivyotafuna zaidi ya bil 9 mali ya chama, ambazo zilikuwa michango ya wabunge na ruzuku ya Chadema

Zikabaki stori za chuki na vijembe, Oo huyu jamaa ni mlevi, hana lolote, alikuwa analewa kwa mama Zakaria gongo! Kwani mtu kunywa bia kwa afya yake ni kosa?

Alipohamishia kambi Tarime na kufanya mikutano ya ndani, Chadema iliyeyuka kama barafu kipindi cha jua, maelfu ya wanachama wa Chadema na iliyokuwa ngome ya Chadema walihamia Ccm.

Naweza kusema kitendo cha Chairman mbowe kumpuuza Mwita mpaka akahama Chadema ni pigo kubwa sana kwa Chadema, maana namna alivyobaragaza Chadema kuanzia ngazi ya taifa mpaka kanda ya Tarime kuporomoka ni hatari tupu.

My take ,Mwita Waitara ni mmoja wa magenius hapa Bongoland maana anajua namna ya kubadili upepo wa siasa za hapa Tz, hata kama mnachukia kama mambo yakizidi sio mbaya mkimtafuta kwa ushauri.
wacha weee
 
Back
Top Bottom