Mwita Waitara: Jembe lililopindua meza kibabe, CHADEMA hawatasahau

Mwita Waitara: Jembe lililopindua meza kibabe, CHADEMA hawatasahau

yaani kwa akili yako finyu unaamini waitara alishinda kwenye uchaguzi?
 
Aliposema anaenda kugombea jimbo la Tarime vijijini wanachama na wafuasi wa Chadema walimbeza, wengi walisema ni mlevi na anakwenda kupoteza ubunge.

Lakini hii yote ilikuwa ni sababu Mwita Waitara alikuwa ametoa siri nzito juu ya namna Kamanda Mbowe alivyotafuna zaidi ya bil 9 mali ya chama,ambazo zilikuwa michango ya wabunge na ruzuku ya Chadema

Zikabaki stori za chuki na vijembe,Oo huyu jamaa ni mlevi,hana lolote,alikuwa analewa kwa mama Zakaria gongo! Kwani mtu kunywa bia kwa afya yake ni kosa?

Alipohamishia kambi Tarime na kufanya mikutano ya ndani, Chadema iliyeyuka kama barafu kipindi cha jua,maelfu ya wanachama wa Chadema na iliyokuwa ngome ya Chadema walihamia Ccm.

Naweza kusema kitendo cha Chairman mbowe kumpuuza Mwita mpaka akahama Chadema ni pigo kubwa sana kwa Chadema,maana namna alivyobaragaza Chadema kuanzia ngazi ya taifa mpaka kanda ya Tarime kuporomoka ni hatari tupu.

My take ,Mwita Waitara ni mmoja wa magenius hapa Bongoland maana anajua namna ya kubadili upepo wa siasa za hapa Tz,hata kama mnachukia kama mambo yakizidi sio mbaya mkimtafuta kwa ushauri.
Binafsi nilihofu sana kuhusu usalama na amani. Sikujua watu wa mara wana busara kiasi hicho. Nilihofu pambano la mura hawa inaweza kuvunja amani maana heche na waitara hakika ni wababe na miamba ya kikuria. Kumbe wakakubaliana wapambane kwa amani.
Kwa kweli nchi yetu watu wanaenzi amani. Kama miamba hii miwili ilipambana na mmoja kukubali kushindwa bila amani kuvunjika wanastahili kusifiwa sana kwa hilo.
 
Binafsi nilihofu sana kuhusu usalama na amani. Sikujua watu wa mara wana busara kiasi hicho. Nilihofu pambano la mura hawa inaweza kuvunja amani maana heche na waitara hakika ni wababe na miamba ya kikuria. Kumbe wakakubaliana wapambane kwa amani.
Kwa kweli nchi yetu watu wanaenzi amani. Kama miamba hii miwili ilipambana na mmoja kukubali kushindwa bila amani kuvunjika wanastahili kusifiwa sana kwa hilo.
Sasa kama alishindwa kihalali unategemea nini?
 
Kwa uchaguzi huu uliopita siwezi kukubaliana na na mawazo yako, kungekuwa na fair playing ground ungesound lakini hakukuwa na uchaguzi October 28,democrasia ilibakwa na tume,ccm na watu wa usalama
 
Hakuna ccm hata moja mwenye moral authority wala mwenye uwezo wa kuringa kwani wameletea nchi aibu kubwa sana. Najua kuna wengine ambao wangeshinda kihalali lakini hata hao waliogopa campaign wakapitishwa kama viti maalumu. Shame on them!

Is any Tanzanian happy of what happened? KwambaMbowe, Halima, Msigwa, Sugu, Heche, Esther Bulaya na Matiko, Lema, dada wa Morogoro, Karatu, kijana Mwenyekiti wa Chadema, na wengine wengi eti walishindwa? Nani ataamini! So just shut up and feel ashamed kwa kuwa Suri zote zimejulikana!

Hata rais alikuri aliwabeba wengi! So kaeni kimya na muiheshimu Chadema na Zitto Kabwe ambaye najua alishinda!
Ohhh!! Tumeshinda!
 
Uonevu, hongo, Wuxi, kuwa, kufunga watu jela bila makosa,kila kutu! Nchi hii imeoza Tumwombe Mungu Mwalimu Nyerere afufuke!!!
 
Kwa "akiri" zako unaamini alishinda kihalali?

Eti Waitara anajua kubadili upepo wa kisiasa hapa Tanzania, sasa kwanini akakimbia Ukonga?
Kwa akiri zako alishinda kwa njia ipi? maana sis tuliopo tarime tunajua tulimpa kura! Kwaiyo hata kama angebak ukonga huyo mgombea wa chadema angemshinda.

Kuhama jimbo ni kawaida sana hasa kwa wanasiasa nguli na wanaojiamini , mfano walihama akina zitto, mnyika nk na wakashinda..!
Kama hujuwi nibora ukaficha ujinga wako kuliko kuonekana kituko mbele ya wanaume
 
Kwa akiri zako alishinda kwa njia ipi? maana sis tuliopo tarime tunajua tulimpa kura.. !!
Kwaiyo hata kama angebak ukonga huyo mgombea wa chadema angemshinda.?
Kuhama jimbo ni kawaida sana hasa kwa wanasiasa nguli na wanaojiamini , mfano walihama akina zitto, mnyika nk na wakashinda..!
Kama hujuwi nibora ukaficha ujinga wako kuliko kuonekana ki
tuko mbele ya wanaume
Nashukuru kwa kulibomokea ukweli hili fala la kisiasa.
 
yaani kwa akili yako finyu unaamini waitara alishinda kwenye uchaguzi?
Hiv ukiwa opposition na akiri inakuwa hopples, jimbo la tarime lina Kata 24 kata 3 ndo walishinda chadema, kata 21 zikabak Ccm za hizo kura ubunge za kushinda zilitoka wap?

Kipind madiwani wanahama wa chadema hapa tarime mliwapuunza, hamkutaka kusikiliza kero zao za msingi, haya ndo madhara yake, Tulieni dawa iwaingie, walihama madiwani muhimu kama akna chacha wangwe na wengne weng
 
Jamiiforums imevamiwa sana. Wana CCM wenye akili kidogo kama FaizaFoxy na Mzee Mwanakijiji wanaona aibu na kuamua kuchutama kwa ushetani uliofanyika.

Wewe nawe una draw conclusion basing on false and cooked data!
 
He! Waitara nae ni genious? Huenda tetesi ninazosikia zina ukweli 100%
[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom