Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa na sarakasi nyingi sana; tunajua hata pale Ukonga alishinda kwa hisani ya Makonda na Mambosasa.
Vv
Vv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda alikuwa mkuu wa mkoa wakati uchaguzi unafanyika? Huu ni uthibitisho kuwa wewe ni muongo,acha kukariri uongoUchaguzi wa mwaka huu ulikuwa na sarakasi nyingi sana; tunajua hata pale Ukonga alishinda kwa hisani ya Makonda na Mambosasa.
Vv
Hahaha mama zawadi yako ninayo..pls inboxHoover ya CCM imekomba wanafiki wote Chadema.
Are you sure...hahahaha..muulizeni Dr Slaa awape analysis mujarab...mtakaa wote chini...hapo ndio mtajua kweli kachumbari si sawa na mbogaCha kushangaza ni kwamba hata baada ya Mwita kuondoka Chadema imeendelea kuwa imara
Keep on dreaming, tangu ameondoka dr slaa ni miaka 5 lakini chadema bado ipo na imeingia kwenye mioyo ya watanzania wengiAre you sure...hahahaha..muulizeni Dr Slaa awape analysis mujarab...mtakaa wote chini...hapo ndio mtajua kweli kachumbari si sawa na mboga
Are you asking me? Sure i amAre you serious?!
Do you smoke ganja?Keep on dreaming, tangu ameondoka dr slaa ni miaka 5 lakini chadema bado ipo na imeingia kwenye mioyo ya watanzania wengi
Let me tell you, mnaweza mkawanunua wapinzani wote, mkawaua chadema wote, ila a simple calculation ni kwamba upinzani ni imani sio watu, ni kama dini
Do your drink Konyagi kubwa?Are you asking me? Sure i am
Hii ndio aina ya mataga, badala ya kubishana kwa hoja unauliza maswali yasiyo na msingi, come up with somethingDo you smoke ganja?
Kiswahili ni kitamu Sana kingetumika hapa.That makes you and I thought both on the same boat of not understanding the theame of your thread.
Hahaha Sasa kwanini wapinzani wananunulika...tatizo Ni Nini...kiufupi unasema usimwamini mpinzani kwa sababu anaweza nunulika wakati wowote...au siyo..this means hawafai kupewa nchi wakati wowote kwa sababu kwa tamaa zilezile wanaweza uza nchi, Mali zake na watu wake wote...Keep on dreaming, tangu ameondoka dr slaa ni miaka 5 lakini chadema bado ipo na imeingia kwenye mioyo ya watanzania wengi
Let me tell you, mnaweza mkawanunua wapinzani wote, mkawaua chadema wote, ila a simple calculation ni kwamba upinzani ni imani sio watu, ni kama dini
Atakuwa amebugia makubwa mawili, na leo ni mwisho wa juma.Do your drink Konyagi kubwa?
Jomba kutoka wabunge 50 mpaka mbunge 1 bara ,,Kuna uhai hapo jomba.. shame on you...Hii ndio aina ya mataga, badala ya kubishana kwa hoja unauliza maswali yasiyo na msingi, come up with something
Chadema haitakufa, mwambie aliekutuma kwamba chadema haitakufa, utanikumbusha hili 2025
Cha kushangaza mwenyekiti amewapa wapinzani nafasi ndani ya baraza la mawaziri akawaacha wafia chama, inafikirisha sana, ni direct kwamba anawaamini wapinzani kuliko wafia chamaHahaha Sasa kwanini wapinzani wananunulika...tatizo Ni Nini...kiufupi unasema usimwamini mpinzani kwa sababu anaweza nunulika wakati wowote...au siyo..this means hawafai kupewa nchi wakati wowote kwa sababu kwa tamaa zilezile wanaweza uza nchi, Mali zake na watu wake wote...
Try to be sincere.Are you asking me? Sure i am
Ninkweli ni aibu kilichotokea uchaguzi huu, maana mpaka leo hata matokeo tume wanaogopa kuyabandikaJomba kutoka wabunge 50 mpaka mbunge 1 bara ,,Kuna uhai hapo jomba.. shame on you...
Mataga ndio nini? Mtu ambae ana akili timamu hawezi kupost upuuzi kama huu.Hii ndio aina ya mataga, badala ya kubishana kwa hoja unauliza maswali yasiyo na msingi, come up with something
Chadema haitakufa, mwambie aliekutuma kwamba chadema haitakufa, utanikumbusha hili 2025