Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Kwa hiyo unaamini kabisa kwamba huyu mtu au Tulia au Gwajima walishinda uchaguzi kwa kupata kura nyingi zaidi ya wapinzani wao? Hata wao wanaujua ukweli.Aliposema anaenda kugombea jimbo la Tarime vijijini wanachama na wafuasi wa Chadema walimbeza, wengi walisema ni mlevi na anakwenda kupoteza ubunge.