Neurologist
JF-Expert Member
- Nov 5, 2020
- 518
- 1,296
Mataga ni jina lingine la ccm walilopewa na wananchi, haya katage ulaleMataga ndio nini? Mtu ambae ana akili timamu hawezi kupost upuuzi kama huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga ni jina lingine la ccm walilopewa na wananchi, haya katage ulaleMataga ndio nini? Mtu ambae ana akili timamu hawezi kupost upuuzi kama huu.
Wanaogopa kubandika matokeo?! Kuna sehemu matokeo ya uchaguzi yayajajulikana katika Jamhuri hii?!Ninkweli ni aibu kilichotokea uchaguzi huu, maana mpaka leo hata matokeo tume wanaogopa kuyabandika
Kwa kifupi ni mambonya aibu kwa kweli
Relax boy/girl!Nimeshangaa mbona huu uzi wa kiboya una wachangiaji wengi sana, kumbe ni huyu kibuyu alieanzisha anajibu kila comment, jf imepatwa.
IgnoredRelax boy/girl!
Jembe ni kitendea kazi.Ila la waitara linafaa kuchimbia na kufukia kinyesi tu.Aliposema anaenda kugombea jimbo la Tarime vijijini wanachama na wafuasi wa Chadema walimbeza, wengi walisema ni mlevi na anakwenda kupoteza ubunge.
Lakini hii yote ilikuwa ni sababu Mwita Waitara alikuwa ametoa siri nzito juu ya namna Kamanda Mbowe alivyotafuna zaidi ya bil 9 mali ya chama,ambazo zilikuwa michango ya wabunge na ruzuku ya Chadema
Zikabaki stori za chuki na vijembe,Oo huyu jamaa ni mlevi,hana lolote,alikuwa analewa kwa mama Zakaria gongo! Kwani mtu kunywa bia kwa afya yake ni kosa?
Alipohamishia kambi Tarime na kufanya mikutano ya ndani, Chadema iliyeyuka kama barafu kipindi cha jua,maelfu ya wanachama wa Chadema na iliyokuwa ngome ya Chadema walihamia Ccm.
Naweza kusema kitendo cha Chairman mbowe kumpuuza Mwita mpaka akahama Chadema ni pigo kubwa sana kwa Chadema,maana namna alivyobaragaza Chadema kuanzia ngazi ya taifa mpaka kanda ya Tarime kuporomoka ni hatari tupu.
My take ,Mwita Waitara ni mmoja wa magenius hapa Bongoland maana anajua namna ya kubadili upepo wa siasa za hapa Tz,hata kama mnachukia kama mambo yakizidi sio mbaya mkimtafuta kwa ushauri.
Thank you.Ignored
Ipo siku utajinyonga baada ya serikali kukamilisha mradi wa maendeleo kwa wananchi,una wivu wa kishamba sana. Badala ya kujadili mada,unanajadili upuuzi na wenye akiliNimeshangaa mbona huu uzi wa kiboya una wachangiaji wengi sana, kumbe ni huyu kibuyu alieanzisha anajibu kila comment, jf imepatwa.
🚣Jembe ni kitendea kazi.Ila la waitara linafaa kuchimbia na kufukia kinyesi tu.
Unazungumzia UCHAFUZI wa Oct 28?Aliposema anaenda kugombea jimbo la Tarime vijijini wanachama na wafuasi wa Chadema walimbeza, wengi walisema ni mlevi na anakwenda kupoteza ubunge.
Lakini hii yote ilikuwa ni sababu Mwita Waitara alikuwa ametoa siri nzito juu ya namna Kamanda Mbowe alivyotafuna zaidi ya bil 9 mali ya chama,ambazo zilikuwa michango ya wabunge na ruzuku ya Chadema
Zikabaki stori za chuki na vijembe,Oo huyu jamaa ni mlevi,hana lolote,alikuwa analewa kwa mama Zakaria gongo! Kwani mtu kunywa bia kwa afya yake ni kosa?
Alipohamishia kambi Tarime na kufanya mikutano ya ndani, Chadema iliyeyuka kama barafu kipindi cha jua,maelfu ya wanachama wa Chadema na iliyokuwa ngome ya Chadema walihamia Ccm.
Naweza kusema kitendo cha Chairman mbowe kumpuuza Mwita mpaka akahama Chadema ni pigo kubwa sana kwa Chadema,maana namna alivyobaragaza Chadema kuanzia ngazi ya taifa mpaka kanda ya Tarime kuporomoka ni hatari tupu.
My take ,Mwita Waitara ni mmoja wa magenius hapa Bongoland maana anajua namna ya kubadili upepo wa siasa za hapa Tz,hata kama mnachukia kama mambo yakizidi sio mbaya mkimtafuta kwa ushauri.
Kama aliiporomosha Chadema si angeshinda kwa kura?Relax broo. Hivi unadhani alivyoiporomosha Cdm Tarime ulitegemea nini?
Wewe umejibu nini?Kama aliiporomosha Chadema si angeshinda kwa kura?
Mkiitwa wapumbaf mnasema mnatukanwa!
Hana lolote juu ya chademaAliposema anaenda kugombea jimbo la Tarime vijijini wanachama na wafuasi wa Chadema walimbeza, wengi walisema ni mlevi na anakwenda kupoteza ubunge.
Lakini hii yote ilikuwa ni sababu Mwita Waitara alikuwa ametoa siri nzito juu ya namna Kamanda Mbowe alivyotafuna zaidi ya bil 9 mali ya chama,ambazo zilikuwa michango ya wabunge na ruzuku ya Chadema
Zikabaki stori za chuki na vijembe,Oo huyu jamaa ni mlevi,hana lolote,alikuwa analewa kwa mama Zakaria gongo! Kwani mtu kunywa bia kwa afya yake ni kosa?
Alipohamishia kambi Tarime na kufanya mikutano ya ndani, Chadema iliyeyuka kama barafu kipindi cha jua,maelfu ya wanachama wa Chadema na iliyokuwa ngome ya Chadema walihamia Ccm.
Naweza kusema kitendo cha Chairman mbowe kumpuuza Mwita mpaka akahama Chadema ni pigo kubwa sana kwa Chadema,maana namna alivyobaragaza Chadema kuanzia ngazi ya taifa mpaka kanda ya Tarime kuporomoka ni hatari tupu.
My take ,Mwita Waitara ni mmoja wa magenius hapa Bongoland maana anajua namna ya kubadili upepo wa siasa za hapa Tz,hata kama mnachukia kama mambo yakizidi sio mbaya mkimtafuta kwa ushauri.
Tena yesu mwenyewe wa kuchonga!Labda serikali ya Kikwete. Umewahi kusikia mjadala wowote kwenye vituo rasmi vya habari kama TV, Redio nk wakijadili against serekali hii? Tuko tunaona wala sio tujahadithiwa boss. Ni vyombo vingapi vya habari vimefungiwa na kupigwa faini kwasababu ya kumkosoa yesu?
Kumbe wewe ndio "genious" huko lumumba?!Ipo siku utajinyonga baada ya serikali kukamilisha mradi wa maendeleo kwa wananchi,una wivu wa kishamba sana. Badala ya kujadili mada,unanajadili upuuzi na wenye akili
Alishinda kwa ubweche? Mmepigwa kwenye box la kura.Kama aliiporomosha Chadema si angeshinda kwa kura?
Mkiitwa wapumbaf mnasema mnatukanwa!
That makes you and I thought both on the same boat of not understanding the theame of your thread.
You know nothing idiot.I know much it pains madam.
Mpumbavu hawezi kuelewa hata akieleweshwa.Uzi Umejaa UPUMBAVU.