Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thread nzuri lakini 'IMEISHIA HEWANI'
LOL!
who will i blame jaman?
LOL!
TZS 50,000 From Superman
Ca I also request a Winner of 2009 JF Superlady and Celebrity to Contribute?
Msimamizi wa Uchaguzi ZeMarcopolo na Pia Mwanafalfasa, please come forth.
Please people, come up, let us show a way that JF is practical serious on sensitive issues as well.
Big Up Fidel for this idea!
nina imani kubwa sana kila mmoja wetu hapa jf ameguswa sana na kilicho watokea ndugu,jamaa,rafiki,watanzania wenzetu kule mbagala baada ya maafa ya yale mabomu.
Hivyo basi kama umeguswa kwa namna yoyote ile tunaomba kama wana jf tutoe kile kidogo tulicho nacho ili kuwakumbuka na kuweza kuwasaidia wenzetu kule maana wote na uhakika ni watanzania wanao teseka kwa kulala nje ,kuwakiwa na jua mchana wengine huibiwa vitu na mali zao kwa nyakati tofauti.
Binafsi naomba wana jf wenzangu kama umeguswa tunaomba mchangie ili tuweze kuwasaidia wenzetu hawa. Naomba mods mtafute njia ili tuweze kuleta michango yetu au tutumie ile ile njia ya changia jf?
Mi mwanzilishi najitolea 20,000/= kwa ndugu zetu wahanga wa mabomu.
Karibuni nyote.
Dah inauma sana hakuna mwamko kabisa watu wapo kimyaaaa. Sasa sijui hii ni nn au ndo utanzania wenyewe ndivyo tulivyo?
Mamod wame jibu kuhusu process za kuchangia mkuu?
Mkuu wapo kimyaaaa kama vile hawajaona hii thread.
Ndo maana nawaomba wafunge basi mjadala na vile vile naona watu hawajaguswa na wahanga wa mabomu.
Nadhani watu wame guswa mkuu sema kama hakuna taarifa kamili ya jinsi ya kuchangia na mambo kama hayo lazima watu wataona thread ni uzushi tu.
ha!ha!ha! ujapata jibu ni kwa nn mods wapo kimya? jaribu kutafakari zaidi utapata jibu.Ukishindwa kupata jibu ni PM nikupe JIBU.
mkuu tuko tayari kuchangia madawati na meza za walimu kwa picha ya shule iliyo wahi kuonyeshwa hapa jamii forum tumejitahidi kupata ile picha kwenye thread lakini tumechemsha tafadhali kwa yeyote atayeweza kutuma hio picha tena hapa itatusaidia kufikisha msaada na tuta toa reference kuwa jf imekuwa source yakusaidia hao watotot wanafanyia mitihani mchangani.
mods tusaidie ile picha iliwahi kuonyeshwa mwezi uliopita hapa
ofisini kwetu tunatoa sehemu ya faida kwa ajili ya kusaidia nilitoa idea ya mbagala lakini wakasema ni vizuri tukawapa picha unajua tena bosi akiwa mweupe/mzungu inakuwa hivyo/facts sasa kama ile picha ningeipata tungetoa mchango mkubwa ambao ungesaidia wale wanafunzi sikumbuki aliyebandika ile picha ni nani
nimekumbuka ile shule ya miti sio? Au mbweni lile la secondary ya tanga ?
hapana fidel80 ilikuwa picha ya mbagala inayoonyesha wanafunzi wamekaa chini ya mti wanafanya mitihani na hawajavaa viatu, iliniuma sana jua lao mvua yao wakati wizara zetu zina magari ya kifahari wakiuza/wasiponunua 1 linatosha kuwapa watoto wale uhauweni leo jioni tunaingia kwenye kikao cha kuamua misaada hio iende wapi