Mwizi auawa akijaribu kuiba Kanisani Mbezi Malamba mawili

Mwizi auawa akijaribu kuiba Kanisani Mbezi Malamba mawili

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,011
Reaction score
4,705
Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika Mara Moja anayekadiriwa kuwa na umri wa Miaka 30-40 amefariki Dunia usiku wa kuamkia Leo October 19, baada ya kupokea kipigo kikali kutoka Kwa watu wenye hasira Kali.

Tukio Hilo limetokea katika Eneo la Malamba mawili(bwawa la Kwanza)ambapo Marehemu alikutwa akijaribu kuiba kanisani, ndipo wananchi walimshushia kipigo kizito kilichopelekea umauti.

Asubuh Hii police wamefika na kuuondoa mwili wa Marehemu.

Hii ni salam Kwa majambazi wote na vibaka wanaojiandaa kuja Malamba mawili wafahamu kuwa wananchi wa Malamba hawana mbambamba
 
Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika Mara Moja anayekadiriwa kuwa na umri wa Miaka 30-40 amefariki Dunia usiku wa kuamkia Leo October 19,baada ya kupokea kipigo kikali kutoka Kwa watu wenye hasira Kali.

Tukio Hilo limetokea katika Eneo la malamba mawili(bwawa la Kwanza)ambapo Marehemu alikutwa akijaribu kuiba kanisani,Ndipo wananchi walimshushia kipigo kizito kilichopelekea umauti.

Asubuh Hii police wamefika na kuuondoa mwili wa Marehemu.

Hii ni salam Kwa majambazi wote na vibaka wanaojiandaa kuja malamba mawili wafahamu kuwa wananchi wa malamba hawana mbambamba
Mboga moto, maji moto, ugali moto , sahani moto

ovaaa ovaaa malamba mawili
 
Tuendelee kujichukulia sheria mkononi, hatuko mbali kufikia level ya wazulu, hizi mahakama za kikangaroo tuzipalilie, police wetu waendelee kupaliliwa ili wawe trigger happy one!,aliyeuawa ni suspect SIO convicted!!,why raia hawakumkamata na kuita cops waje?,au kumpeleka police shop?
 
Back
Top Bottom