imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ngoja waje kutema povu.Lakini si hua wanasema Dini yao ni ya kusamehe? hua hawalipi visasi?
Au hii imekaaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja waje kutema povu.Lakini si hua wanasema Dini yao ni ya kusamehe? hua hawalipi visasi?
Au hii imekaaje?
Kama maustadhi wanavyowafumua mitaro madrasa, kwa uandishi wako ushafumuliwa kitambo.hao walokole mbona hawawatii moto wale wezi wanaowauzia mafuta ya alizeti na mengine ya kukanyaga ili wapate utajiri? hiyo nchi ngumu sana aisee, yaani walokole wanaua na huku wanahubiri kusameheana sijui kitu gani, ndiomaana wananyanduana tu kwenye vijikanisa vyao hivyo na hakuna cha maana wanachofanya
we mkanyaga mawese una shida sana yani hata hao mapadili wanaokula watoto tigo wala huwasikii umeshupaza kichwa tu, mnarogwa sana na hao wachungaji feki, wala hampati akili ya kusepa cumaneener weye jibwaKama maustadhi wanavyowafumua mitaro madrasa, kwa uandishi wako ushafumuliwa kitambo.
Mkuu mitaa inajua watu zaidi ya sisi hapa.Tuendelee kujichukulia sheria mkononi, hatuko mbali kufikia level ya wazulu, hizi mahakama za kikangaroo tuzipalilie, police wetu waendelee kupaliliwa ili wawe trigger happy one!,aliyeuawa ni suspect SIO convicted!!,why raia hawakumkamata na kuita cops waje?,au kumpeleka police shop?
Navuta picha alikua akipigwa huku walokole wakisema haleluya,bwana yesu asifiwe..hapo waliamua kumuhukumu hawakutaka ahukumiwe na munguWalokole na Wakazi wa Malamba wanastahili pongezi.
😂😂😂🤣🤣😂😂 Mpaka nimepaliwa na Kitumbua...hahhaa.Navuta picha alikua akipigwa huku walokole wakisema haleluya,bwana yesu asifiwe..hapo waliamua kumuhukumu hawakutaka ahukumiwe na mungu
Aisee maeneo ya wapi hapo malamba?Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika Mara Moja anayekadiriwa kuwa na umri wa Miaka 30-40 amefariki Dunia usiku wa kuamkia Leo October 19,baada ya kupokea kipigo kikali kutoka Kwa watu wenye hasira Kali.
Tukio Hilo limetokea katika Eneo la Malamba mawili(bwawa la Kwanza)ambapo Marehemu alikutwa akijaribu kuiba kanisani,Ndipo wananchi walimshushia kipigo kizito kilichopelekea umauti.
Asubuh Hii police wamefika na kuuondoa mwili wa Marehemu.
Hii ni salam Kwa majambazi wote na vibaka wanaojiandaa kuja Malamba mawili wafahamu kuwa wananchi wa malamba hawana mbambamba
Akifumaniwa madhabahuni anafinyiwa hukohuko, hizo nyingine huwa ni slogans tu za kutafutia converts.Kwahyo hakuna tena samehe saba mara sabini na Usihukumu?
Walokole walisaidiana na wakazi wa Malamba
Mambo ya wezi kuuawa na raia tulishayasau naona yanarudi kwa kasi sana.Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika Mara Moja anayekadiriwa kuwa na umri wa Miaka 30-40 amefariki Dunia usiku wa kuamkia Leo October 19,baada ya kupokea kipigo kikali kutoka Kwa watu wenye hasira Kali.
Tukio Hilo limetokea katika Eneo la Malamba mawili(bwawa la Kwanza)ambapo Marehemu alikutwa akijaribu kuiba kanisani,Ndipo wananchi walimshushia kipigo kizito kilichopelekea umauti.
Asubuh Hii police wamefika na kuuondoa mwili wa Marehemu.
Hii ni salam Kwa majambazi wote na vibaka wanaojiandaa kuja Malamba mawili wafahamu kuwa wananchi wa malamba hawana mbambamba
Yalikuwepo ila Awamu ya tano yalikuwa hayatangazwi waandishi walikuwa wakiishi kwa hofu ya kuuwawa.Inaonekana raia wamepoteza imani na police na mifumo ya utoaji wa haki
Ha ha haKwahiyo Get rich or die tryin jamaa akachagua Kanisa la Walokoke Walokole wanastahili pongezi kwa kutoa dozi.
Haya ndiyo madhara ya polisi kutoshughulikia matishio ya uhalifu.Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika Mara Moja anayekadiriwa kuwa na umri wa Miaka 30-40 amefariki Dunia usiku wa kuamkia Leo October 19,baada ya kupokea kipigo kikali kutoka Kwa watu wenye hasira Kali.
Tukio Hilo limetokea katika Eneo la Malamba mawili(bwawa la Kwanza)ambapo Marehemu alikutwa akijaribu kuiba kanisani,Ndipo wananchi walimshushia kipigo kizito kilichopelekea umauti.
Asubuh Hii police wamefika na kuuondoa mwili wa Marehemu.
Hii ni salam Kwa majambazi wote na vibaka wanaojiandaa kuja Malamba mawili wafahamu kuwa wananchi wa malamba hawana mbamb
Polisi wanajisahau na wahalifu wanjisahu Raia wanaamua kujichukulia sheria mkononiHaya ndiyo madhara ya polisi kutoshughulikia matishio ya uhalifu.
Utamaduni wa wahalifu kutamba na kujifanyia lolote hukutana na hasira za wananchi waliochoshwa na hizi mbanga.
Mtu anaenda kuiba hadi nyumba ya ibada. Doh hofu imeisha siku hizi
ni sungusungu walishirikiana nao mkuuDuuh walokole kumbe wanajua kupiga hivi
Mkuu wapi walokole wametajwa kwamba wameua? mwizi alikutwa akijaribu kuiba kanisani wananchi wenye hasira kali bila kujali dini zao wakawashambuliahao walokole mbona hawawatii moto wale wezi wanaowauzia mafuta ya alizeti na mengine ya kukanyaga ili wapate utajiri? hiyo nchi ngumu sana aisee, yaani walokole wanaua na huku wanahubiri kusameheana sijui kitu gani, ndiomaana wananyanduana tu kwenye vijikanisa vyao hivyo na hakuna cha maana wanachofanya