Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
[emoji38] [emoji23] [emoji38] [emoji23]Huu ushirika sijawahi kuusikia[emoji28]
Walokole huwa wanatoka mkoa mwingine labda sio wakazi
Hata mimi nimeshangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38] [emoji23] [emoji38] [emoji23]Huu ushirika sijawahi kuusikia[emoji28]
Hapana, walokole tu ndio waliouwezesha mkono wa bwana ulete jibu.Walokole na Wakazi wa Malamba wanastahili pongezi.
Ingekuwa hivyo wezi wote wangekuwa wanaenda kuiba kwenye makanisa ya walokole bila shida.Lakini si hua wanasema Dini yao ni ya kusamehe? hua hawalipi visasi?
Au hii imekaaje?
Unaweza wewe ukawa mwizi pia, toka lini ukasikia watu wanaoenda kanisani wakati wa ibada wakauawa? Halafu unauliza akaibe nini Yale magitaa, amplifier na maspika unajua bei zake?Huko Kanisani huyo Suspect alitaka kuiba kitu gani? Walijuaje kua amekwenda hapo Kanisani kwa nia ya kuiba na sio kwa ajili ya ibada?
Mbona unatetea huyo mwizi? Hujui thamani ya vifaa vya muziki kwenye haya makanisa?Kanisani mtu aibe nini? Acheni tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Acha kunilisha maneno,ni wapi nimeuliza "Akaibe nini?"Unaweza wewe ukawa mwizi pia, toka lini ukasikia watu wanaoenda kanisani wakati wa ibada wakauawa? Halafu unauliza akaibe nini Yale magitaa, amplifier na maspika unajua bei zake?
Mwizi hauawawi....na waliohusika wametenda dhambi kubwa kuliko hata aliyoitenda mwizi... Kama upo mstari kwenye biblia unaruhusu mwizi kuuawa leteni hapa.....Kwahyo hakuna tena samehe saba mara sabini na Usihukumu?
Mwizi anapaswa akatwe mkonoMwizi hauawawi....na waliohusika wametenda dhambi kubwa kuliko hata aliyoitenda mwizi... Kama upo mstari kwenye biblia unaruhusu mwizi kuuawa leteni hapa.....
Kwahiyo kusema msijichukulie sheria mkononi ina imply mimi ni mwizi?Mbona unatetea huyo mwizi? Hujui thamani ya vifaa vya muziki kwenye haya makanisa?
Sasa nyie wezi hamjichukulii sheria mkononi? Au unaona kuiba ni halalai yako?
Marehemu kafia kanisani, hivi hujui kuwa makanisa ya walokole kila siku kuna watu wanautafuta uso wa Bwana usiku na mchana?Wapi wamesema walokole ndio walioua?
Alikata bati Kwa juu akadindokea kanisan Mkuu, watu wakasikia kishindo wakamkuta mwamba yupo kwenye vyombo vya music na wengine wawiki wakakimbia raia wakamshushia kipigo Cha mbwa mwitu.Marehemu kafia kanisani, hivi hujui kuwa makanisa ya walokole kila siku kuna watu wanautafuta uso wa Bwana usiku na mchana?
Haya pima mwenyewe ni akina nani walikuwepo hapo kanisani kama sio hao walokole
Kusamehewa mbinguniLakini si hua wanasema Dini yao ni ya kusamehe? hua hawalipi visasi?
Au hii imekaaje?
.. .Unataka kujua Walijuaje kuwa ni Mwiziii?????Huko Kanisani huyo Suspect alitaka kuiba kitu gani? Walijuaje kua amekwenda hapo Kanisani kwa nia ya kuiba na sio kwa ajili ya ibada?