Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Watasema spikaTena ukiwauliza ameiba nini hawajui!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watasema spikaTena ukiwauliza ameiba nini hawajui!
Saa tisa kuna ibada gani mkuu alikuwa anaiba vyombo vya musicHuko Kanisani huyo Suspect alitaka kuiba kitu gani? Walijuaje kua amekwenda hapo Kanisani kwa nia ya kuiba na sio kwa ajili ya ibada?
Amekutwa kwenye kitendoTuendelee kujichukulia sheria mkononi, hatuko mbali kufikia level ya wazulu, hizi mahakama za kikangaroo tuzipalilie, police wetu waendelee kupaliliwa ili wawe trigger happy one!,aliyeuawa ni suspect SIO convicted!!,why raia hawakumkamata na kuita cops waje?,au kumpeleka police shop?
Jichanganye na wewe tunakuchoma live tukirusha hilo tukio tiktok na facebookKanisani mtu aibe nini? Acheni tabia ya kujichukulia sheria mkononi
UsiibeKwahyo hakuna tena samehe saba mara sabini na Usihukumu?
Kanisani kwetuKanisani mtu aibe nini? Acheni tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Sema wangemuongezea na zao za mfukoniHa ha ha
Hao walokole hawatauona Ufalme wa Mbinguni.
Walitakiwa wamgeuzie shavu jingin huyo mwizi kwa kumamehe!
Sound systems na Speaker.Kanisani mtu aibe nini? Acheni tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Ehhh walokole kumbe wana balaa🙆Walokole walisaidiana na wakazi wa Malamba
mwizi usipomuwahi akikuwahi habari yako inaishaEhhh walokole kumbe wana balaa🙆
Ndo manakemwizi usipomuwahi akikuwahi habari yako inaisha
Labda Hawa matapeli njaa nilio nao hapa posta.Hawa wezi wavaa suti,wezi wa kalamu na wao walitakiwa kupelekewa moto kama huu
Ova
Yes mkuu ILA ni only court of law yenye uwezo wa kisheria wa kuhukumu, tunaishi kisheria ,kinyume cha hapo itakuwa vurugu tupu, SA waliachia hizi kangaroo courts na matokeo yake wengi walikufa na tairi za moto shingoni, sasa ile nchi almost kila mtu ana bunduki na haoni shida kuitumia kuua, na sisi tunaelekea huko huko, ukimwona mtoto sura ngeni mtaani kwako hutujali, zamani ulikua unamwita na kumuuliza labda amepotea, tunaanza kuishi kinyama, yes amekutwa in the act, ita police, hii ndio ilikua njia sahihi sio kujichukulia sheria mkononiAmekutwa kwenye kitendo
Halafu utasikia wananchi wanalaumiwa kwa kuchukua hatuaPolisi wanajisahau na wahalifu wanjisahu Raia wanaamua kujichukulia sheria mkononi
Pls pls mkuu walikujibu nipe Nami taarifaHuko Kanisani huyo Suspect alitaka kuiba kitu gani? Walijuaje kua amekwenda hapo Kanisani kwa nia ya kuiba na sio kwa ajili ya ibada?
Walitakiwa wasamehe kama dini yao inavyosemaWalokole na Wakazi wa Malamba wanastahili pongezi.