Cpp
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,199
- 2,403
Unakuta waliomuua ni watoto wa baba mdogoWalitakiwa wasamehe kama dini yao inavyosema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta waliomuua ni watoto wa baba mdogoWalitakiwa wasamehe kama dini yao inavyosema
Kibaya zaidi mwizi ameuawa na wezi wenziweTuendelee kujichukulia sheria mkononi, hatuko mbali kufikia level ya wazulu, hizi mahakama za kikangaroo tuzipalilie, police wetu waendelee kupaliliwa ili wawe trigger happy one!,aliyeuawa ni suspect SIO convicted!!,why raia hawakumkamata na kuita cops waje?,au kumpeleka police shop?
Washirika hawaishi kanisani bali majirani wa dini zoteKwahyo hakuna tena samehe saba mara sabini na Usihukumu?
Wao wanajua kuisamehe CCM tu.Walitakiwa wasamehe kama dini yao inavyosema
Siungi mkono kujichukulia sheria mkononi lakini nakupinga kwamba hamna kitu cha kuibiwa kanisani.Kanisani mtu aibe nini? Acheni tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Umeambiwa na nani kwamba hicho kichapo alipewa na washirika wa hilo kanisa?Hapo waliomuua huyo mtuhumiwa wanajiona wamemtumikia Mungu ipasavyo na wanasubiri tu kwenda Mbinguni Peponi kwa mauaji hayo waliyo yafanya.
Huo muda alioenda kuiba alikutana na mlinzi na hao sungusungu walioamsha majirani. Hakuna ushahidi kwamba washirika walikuwepo.Kwahyo hakuna tena samehe saba mara sabini na Usihukumu?
Wapi wamesema walokole ndio walioua?So sad 😔
Yaani walokole hawatii maandiko kabisa, amri ya usiue walishaifuta kabisa kama ile ya usizini
Siku ya hukumu hakuna nafasi ya kujitetea. siku ukitaka kuja kuombewa njoo ibadani mchana na iwe siku ya ibada.Walishindwa nini kumuombea ili aache wizi?
Hiyo comment yangu uliyoiquote,kuna sehemu nimeandika kua kichapo kimetoka kwa washirika wa hilo Kanisa? soma tena hiyo comment yangu.Umeambiwa na nani kwamba hicho kichapo alipewa na washirika wa hilo kanisa?
Sasa kwanini umehusisha mafundisho ya kanisa na hilo tukio?Hiyo comment yangu uliyoiquote,kuna sehemu nimeandika kua kichapo kimetoka kwa washirika wa hilo Kanisa? soma tena hiyo comment yangu.
Jibu swali,comment yangu uliyoiquote ilisema kua kichapo kimetoka kwa washirika wa Kanisa? au umeamua tu kujizima data kwa makusudi?Sasa kwanini umehusisha mafundisho ya kanisa na hilo tukio?
Hii komenti sio yakwako?Lakini si hua wanasema Dini yao ni ya kusamehe? hua hawalipi visasi?
Au hii imekaaje?
Jisome hapo juu uache kurukaruka.Jibu swali,comment yangu uliyoiquote ilisema kua kichapo kimetoka kwa washirika wa Kanisa? au umeamua tu kujizima data kwa makusudi?
Huna akili wewe,hiyo comment ndio uliyoiquote mwanzo? halafu hata hiyo comment imetajwa dini yeyote hapo? mbona unakua mpuuzi kiasi hicho?Hii komenti sio yakwako?
Jisome hapo juu uache kurukaruka.
Nenda kacheze na majini wewe stone kisser, mfuasi wa illiterate fellow wa mapangoni.Huna akili wewe,hiyo comment ndio uliyoiquote mwanzo? halafu hata hiyo comment imetajwa dini yeyote hapo? mbona unakua mpuuzi kiasi hicho?
Naunga mkono hojaHawa wezi wavaa suti,wezi wa kalamu na wao walitakiwa kupelekewa moto kama huu
Ova
Kumbe kujilengesha kote huko ulikua tu unateswa na ubaguzi wa udini! kwa akili yako ilivyo ndogo umeshindwa kabisa kuficha upuuzi wako.Nenda kacheze na majini wewe stone kisser, mfuasi wa illiterate fellow wa mapangoni.
Hapana walitakiwa wampe na gitaa kama alikuwa anaiba kinandaHa ha ha
Hao walokole hawatauona Ufalme wa Mbinguni.
Walitakiwa wamgeuzie shavu jingine huyo mwizi kwa kumsamehe!