Mwizi maarufu wa Kawe/Mbezi Beach 'Minyembe' auawa na Wananchi

Mwizi maarufu wa Kawe/Mbezi Beach 'Minyembe' auawa na Wananchi

Juu ya zahma na misukosuko aliokufanyia ya kukusachi na kukupapasa mpaka sehemu za siri, unathubutu kumwombea "RIP MINYEMBE".

Inaonekana utam miss sana.
Mkuu usifurahie kufika furahia aliekukimbiza ukafika salama alale tupema peponi

Na misje zangu angeweza niweka kilema popote pale acha tu
 
Aisee sikujuaa alikuwa anatugongeaaa vidada vyetu VIZURI leoo NIMESHTUKA sana vibinti vimeitana vikaanza KULIA naambiwa Shemeji zakoo HAOO aisee

Na nimepishana navyo sana enzi hizo SAASABA usiku PENGINE niwashukuru labda walisaidia nkaishia kupigwa sachi tu WENGINE Wanaalama zakutoshaaa hahahaaa wanyasaaa awatamsahauuuu

KUMBE wezi ni ROMANTIC HIVYO NIMESHTUKA sanaa
 
Anakosoa watu wa Kilwa atapata anachokitafua hata hio simu asiione kabisa
Top garage imefunguliwa mdau inaitwa macarena kwa sasa, nakumbuka sana story yako ya Tom Boy alimsaga demu mwanafunzi hadi akajinyea nashangaa kumbe ulihamia Kawe hadi ukawa unapapaswa na marehemu mwizi huku ukiweka simu kwenye soksi
 
Aisee sikujuaa alikuwa anatugongeaaa vidada vyetu VIZURI leoo NIMESHTUKA sana vibinti vimeitana vikaanza KULIA naambiwa Shemeji zakoo HAOO aisee

Na nimepishana navyo sana enzi hizo SAASABA usiku PENGINE niwashukuru labda walisaidia nkaishia kupigwa sachi tu WENGINE Wanaalama zakutoshaaa hahahaaa wanyasaaa awatamsahauuuu

KUMBE wezii n ROMANTIC HIVYO NIMESHTUKA sanaa
Hapo walikuwa wanamkubali sababu ya kutodhuriwa na huo ukabaji wake, sasa wakishampa t...mu basi tena kama unavyojua ukila mara moja basi mbili na tatu ni kawaida na hatimaye ni mazoea.
 
Kijana aliekuwa maarufu kupiga watu visu na mapanga na kuleta wezi wa Manzese na Magomeni kuwatesa wananchi wa Kawe na Mbezi ameuwawa usiku huu

Kijana Minyembe kijana mwembamba na mwemye mbio kuliko mwanariadha Bolt ameuawa usiku huu baada ya kumuibia dada mmoja njia ya mchangani chadema

Kama wasemavyo siku ya kifo n kifo tu Minyembe alikuwa na wenzie wawili

Ghafla walipokimbia yule binti akapiga kelele wananchi wakamfwata aliekimbilia mtoni Kawe

Alipoanza kukimbizwa kwenye maji akaomba asamehewe arudii tena ana mtoto wakamshauri apande juu
Hapo ndipo wakamfunga kamba pembeni ya nyumba ya mjumbe. Wakanzaa mdundika mawe yasio na idadi kichwani

Kijana Minyembe ambae Kawe polisi pamekuwa kama shule yake akiingia na kutoka hivi sasa atuko nae tena

Polsi wakawe mtusaidie kutoa hii maiti yake ulizeni kwa mjumbe

Nenden bar ya Soweto mtaelekezwa alipo......

RIP Minyembe umewahi kunisachi kama, mwanamke mara nne tena saa tano tu nashukuru hukuwahi kunidhuru ingawa nilijitahdi kukupa ushirikiano kila nikuonapo

Ulinifanya nikirudi saa sita niweke simu na pochi kwenye soksi huku nikikuwekea 2000-3000 kwa ajili ya kuweka amani nifike salama nyumbam

RIP
Dk Minyembe
This is so sad really. Why did they have to kill him instead of apprehnding him to the police to face the full force of law?

That thief has the right to live and enjoy the fruits of John's fifth term.

Just imagine if it was you or it was your brother or father. Why do people in this nation never value life? Whyyyy?

Those people who killed that dude their hands are full of blood. And the guilty conscious will haunt them forever.

Imagine his family maybe wife and children are waiting where is daddy?

Every single life is precious and must be valued at all cost.

'If you never sin pick the stone'.

Am so saddened and heart broken by this loss.

Hata hivyo Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa.
 
This is so sad really. Why did they have to kill him instead of apprehnding him to the police to face the full force of law?

That thief has the right to live and enjoy the fruits of John's fifth term.

Just imagine if it was you or it was your brother or father. Why do people in this nation never value life? Whyyyy?

Those people who killed that dude their hands are full of blood. And the guilty conscious will haunt them forever.

Imagine his family maybe wife and children are waiting where is daddy?

Every single life is precious and must be valued at all cost.

'If you never sin pick the stone'.

Am so saddened and heart broken by this loss.

Hata hivyo Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa.
Mkaldayo, hili yai uliondoka nalo au ulilikuta huko Kwa mzee Shmaiko?
 
Back
Top Bottom