Mwizi uliyeiba i phone jua unaonekana mpaka kwako picha inajieleza

Wekamo hiyo picha tumuone mwizi wetu wa iphone. Labda anaweza akawa kibaka mzoefu
 

Mimi nitachangia zaidi nikiona hizo picha
 
Mwizi mshamba huyo. Siku hizi mwizi akigundua kaiba iphone haiwashi hata mwezi au anauza vifaa tu.
 
1. picha zinakuja kutoka wapi?
3. kwa mawazo yako zimekaribia maeneo yapi
3. mwizi yupo humu JF au
 
Kwa sisi tunaotumia iPhone hatuna shida ukiiba simu yangu ni sawa umenitunzia tu nitakukamata tu duuuh find my iPhone ndo’kila kitu
 
Kiboko ya wezi wa simu
 
Sikuhizi hizo simu wakiziiba zinafunguliwa kisha zinasambazwa vifaa vinauzwa kama spares parts so mkiwa mnatarajia kuzipata mje niwape zawadi
 
Sikuhizi hizo simu wakiziiba zinafunguliwa kisha zinasambazwa vifaa vinauzwa kama spares parts so mkiwa mnatarajia kuzipata mje niwape zawadi
Hili linadhihirisha jinsi gani nchi hii ilivyo na umasikini wa kutupwa, ndio maana tupo kwenye lile kundi la nchi maskini zaidi duniani.
 
Umetumia Tecno kuandika tangazo la iphone!.. ndo shida yake hii, picha hadi asaivi haziji.
 
Hili linadhihirisha jinsi gani nchi hii ilivyo na umasikini wa kutupwa, ndio maana tupo kwenye lile kundi la nchi maskini zaidi duniani.
Wizi upo Dunia nzima... so mfano wako wa umasikini hauendani kabisa... even serikali tajiri zinaibiana technology so cool down soma maisha yanavyoenda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…