Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,967
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!
IMG_20230419_181123_1.jpg
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV ( HUDUMA YA MANA)

Mwl Mwakasege nae anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu , akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah,..hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi , and now Mwl. Mwakasege....

Mbinguni hiyo vipi wadau....mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! View attachment 2593179
Hayo ni mafundisho ya upotoshaji,ole imetolewa kwa yeye apotoshaye tena akijiita mwalimu,yeye atapigwa zaidi
 
Wazungu walitudanganya tukakubaliana na imani yao, sasa wewe Mwafrika mwenzetu unatudanganya kirahisi hivi! Haya tuambie ulichukuwa usafiri gani kufika Mbinguni. Kwanza Mbinguni ni wazo la kufikirika lililoletwa na Wazungu.
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV ( HUDUMA YA MANA)

Mwl Mwakasege nae anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu , akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah,..hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi , and now Mwl. Mwakasege....

Mbinguni hiyo vipi wadau....mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!!View attachment 2593179
Umeandika Uongo kwa kusudi unalolijua
 
Freemason wamewaweza kweli Wakristo kuwaamisha sura ya Brian Decor kuwa ndie Yesu, hata wakitokewa na jinni washariri ni YESU.

Kama alivyowakaririsha wanaotokewa na shetani akijifanya ni Bikira Maria, Bikira Maria ajawahi mtokea mwanadamu yeyeto yule tangu alipoondoka duniani ile ni michezo ya majini.
 
Back
Top Bottom