Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akiwa na maluelue tu anasena kakutana na MalaikaIllusion.
You are effortlessly funny hahahKwahiyo Tz hii mliofika mbinguni ni wewe, mwl Mwakasege na Zumaridi....au sio?
Ukiambiwa juu ya kuzimu na wachawi unaelewa kirahisi, maana asili Yako ni chini.😅😅😅😅😅😅Ule Uchawi wa Rakins umetufikisha huku?
Mimi nasemaga hapa tz hakuna Injili
Hizo zote ni illusionYou are effortlessly funny hahah
Sadaka inatafutwa kwa mbinde sana ndugu mtumishi.Ukiambiwa juu ya kuzimu na wachawi unaelewa kirahisi, maana asili Yako ni chini.
Lakini ukiambiwa habari za Mbinguni juu, lazima ubishe.
Pole sana.
Sasa Mbinguni ndipo tulipotokea kabla ya kuvaa miili hii ya nyama na Kuzaliwa,Ikilia/ikivuma sana hupasuka.
Sasa ni mwendo wa kutafuta headline.
Mwili wangu ulibaki kitandani,
Mimi ambaye ni ROHO ndiye niliyeenda huko.
😂😂😂😂Kwahiyo na wewe mwamba ulienda mbinguni?
Hujui maandiko,Sadaka inatafutwa kwa mbinde sana ndugu mtumishi.
Wachawi wanajua ukweli huu ila lazima wabishe.Acheni uongo nyie bhana.
Hebu usimuhusishe mtume wetu kwenye upuuzi wenuKama huamini kwamba Mwakasege, Zumaridi na Jo Davie wameenda mbinguni, unatoa wapi Ujasiri wa kuamini kwamba Maria, Mohammad na Eliya (among others waliojidai kwenda huko) walienda?
It's just the same bullshit.
Wanatumia logic moja.
Jina lako ni EvilSpirit sasa ndani Yako lazima litoke Giza tupu.Sijui ni lini haya yalitukia,kama ni baada ya kifo cha TB Joshua nataka nimuulize huyo bwana yupo huko au yuko kule kwa bwana ibilisi anatembezwa na kurushwa kichurachura kwenye barabara yenye miba yenya umbali wa mile 100
Niko serious halafu unaleta mzaa jamaaJina lako ni EvilSpirit sasa ndani Yako lazima litoke Giza tupu.
Mtume wenu alidai alienda mbingu ya kwanza mpaka mbingu ya saba kukutana na manabii mbalimbali. Kwa hiyo kama ni upuuzi, bila shaka yeye anahusika moja kwa moja na huu upuuzi. Unless hujui hata dini yako imeandika nini.Hebu usimuhusishe mtume wetu kwenye upuuzi wenu
Roho machafu, upo serious kuhusu nn?Niko serious halafu unaleta mzaa jamaa