Mwl mwenzangu anataka mume

Mwl mwenzangu anataka mume

M Nina mke lakinii nataka kuongeza mwingine kama yuko tayalii ajeeee
 
salama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.

samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Nimechoka kuwa mpweke,tafadhal niunganishe naye nione kama atanifaa kwa tabia
 
serious!!! heb nipm namba yake, mm mwl mwenzake idara sec tokyo, huku mji mzuri mvua nyiinga mtoto wa kingoni atakula mbaraga, magimbi, maparachichi, yaan wly yenye neema atakaa, alafu wagon wa kuzini wanavyo yajua mambo yetu, jamani faster haraka niunganishe naye. lkn usisahau kumwambia "shake well before use" ni muhimu
 
salama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.

samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Hello
 
Midume cjuwi tukoje, ukitongoza ukakataliwa unatoa matusi kejeli na ujinga kibao, ukipewa ofa Dem Malaya, au nfo mmezowea kuwinda mpaka mtoane jasho ujione Kidume ni ww tu, wana haki ya kutupa ofa km izo na sisi ili maisha yaende
 
Nataka, sitaki, cjui ipi nifate
Fanya mchezo wa lamli, lakini kumbuka kwenye hilo jukwaa wengi manafanywa sample.

Ataanza kuwauliza kazi na kama mkulima kama mimi na wameshaenda walimu wenzake wa biology form one ndo hupati. Na ukicheza utapolwa pesa ya mbegu na vibarua.
 
Inaonyesha Wote wawili Wewe na huyo Mwenzako mna bahati mbaya na dhiki mno na Wanaume. Jitakaseni Kwanza mtaolewa tu. Ukina Mwanamke anatafuta Mume Mitandaoni jua ya kwamba amefilisika fikra / upeo kwa kiwango cha juu kabisa na hayuko pia mbali kuwa Mwendawazimu wa Kutukuka.
Sio kwa karne hii.Rudi Shule kaka wewe
 
Naomba utulie sana mwalimu maana hapo unapotangaza ni muda ambao utadanganywa kuwa makini sana juu ya Hilo maana usije jutia Maisha yako yote
 
Fanya mchezo wa lamli, lakini kumbuka kwenye hilo jukwaa wengi manafanywa sample.

Ataanza kuwauliza kazi na kama mkulima kama mimi na wameshaenda walimu wenzake wa biology form one ndo hupati. Na ukicheza utapolwa pesa ya mbegu na vibarua.
Sadakta
 
Daah!!

Hivi unaanzaje kufikiria hadi unafikia maamuzi ya kuandika namna hii?

Ninyi watu sijui mnawaza namna gani....

Ni hasara sana kuwa na mwanachama wa namna hii hapa JF.....
Hata Mimi hii nimeiona imeniuma sana.Sijui Ni Hawa Watu wa vyeti feki a nini.Maana MTU wa kawaida hawezi kufikia hatua hii.Au mhusika alimkataa or something. So pathetic.Mod popote ulipo.Mban Huyo MTU mwaka mzima.
 
Back
Top Bottom