Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechoka kuwa mpweke,tafadhal niunganishe naye nione kama atanifaa kwa tabiasalama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.
samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Umejiaje hataki vibamia? Utakuwa ni wewe mwenye, tena 28 ndo age yako due to ur profile information.hapana kwa kweli
Hellosalama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.
samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
[emoji3]why kibabu?Niko njia panda mwenzenu
Fanya mchezo wa lamli, lakini kumbuka kwenye hilo jukwaa wengi manafanywa sample.Nataka, sitaki, cjui ipi nifate
Sio kwa karne hii.Rudi Shule kaka weweInaonyesha Wote wawili Wewe na huyo Mwenzako mna bahati mbaya na dhiki mno na Wanaume. Jitakaseni Kwanza mtaolewa tu. Ukina Mwanamke anatafuta Mume Mitandaoni jua ya kwamba amefilisika fikra / upeo kwa kiwango cha juu kabisa na hayuko pia mbali kuwa Mwendawazimu wa Kutukuka.
Mawazo yako tu.huu Ni utandawaziiKweli wanaume wamekuwa adimu lool
SadaktaFanya mchezo wa lamli, lakini kumbuka kwenye hilo jukwaa wengi manafanywa sample.
Ataanza kuwauliza kazi na kama mkulima kama mimi na wameshaenda walimu wenzake wa biology form one ndo hupati. Na ukicheza utapolwa pesa ya mbegu na vibarua.
JiongezE. .Hakuna ubaya.Kama Kaja vingine.Naye Ni binadamuMBONA SIFA ZOTE UALIZOTAJA NI ZAKO.. HATA UMRI WAKO NI 28
KUWA SERIOUSLY
Hata Mimi hii nimeiona imeniuma sana.Sijui Ni Hawa Watu wa vyeti feki a nini.Maana MTU wa kawaida hawezi kufikia hatua hii.Au mhusika alimkataa or something. So pathetic.Mod popote ulipo.Mban Huyo MTU mwaka mzima.Daah!!
Hivi unaanzaje kufikiria hadi unafikia maamuzi ya kuandika namna hii?
Ninyi watu sijui mnawaza namna gani....
Ni hasara sana kuwa na mwanachama wa namna hii hapa JF.....