TANZIA Mwl. Ndosi aliyefundisha Shule ya Msingi Muhimbili afariki dunia

Angekuwepo leo asingeweza kufanya kazi...

Angepangiwa viboko vya kupiga na watu wangemuita mdhalilishaji na hata kufunguliwa kesi...; No wonder kizazi kijacho kinaweza kikawa mayai..., hizi pilikapilika za kukimbia viboko na ku-dodge matusi ndio preparation tosha ya maisha..., sababu viboko vya kitaa ni hatari maradufu.... (Political Correctness na watu kuingilia kazi za watu kumezidi)

RIP Mwalimu ingawa sikuwahi kupita anga zako.....

Now Your Walk has Ended - We Shall Never See the Likes of You Again - Especially in this Day and Age
 
Ndosi: Kama wewe ni mtoto wa ticha, mimi ndiye ticha sasa.

Wanafunzi wasio watoto wa walimu: Weeeeeeeeeeeeeeeee.

Wanafunzi walimfurahia Ndosi kwa kuondoa matabaka kati ya wanafunzi wenye nasaba na walimu, na wanafunzi wengine.

That was the positive side of Ndosi.

Ila usiombe akupige fimbo za mgongo.

Siku moja nilimpiga mtoto mmoja Muarabu alinizingua. Akaenda kunisemea kwa Ndosi.

Sasa Ndosi akawa na kazi nyingi akawa kanisahau.

Siku hiyo bahati haikuwa yangu. Akaja Shangazi yangu alikuwa mkaguzi wa shule wa wilaya or something like that, akamwambia Ndosi kuna huyu kijana wangu Kiranga niangalizie. Ndosi akasema Kiranga gani, huyu mtundu anafanya fujo sana, tena umenikumbusha nina kesi yake hapa kuna mtu kampiga leo hii hii.

Akatuma mtu kuniita darasani.

Nilipata fito juu ya fito, tena zile za kutaka sifa mbele ya shangazi yangu.

Kuanzia hapo Ndosi kila akiniona akawa ananjua mimi simpendi.
 
Pumzika kwa amani Mwalimu...nakumbuka tulikuwa tunakula chupa pale scout duh...
 
May his soul rest in eternal peace🙏
Alikua anatunyoosha vema
 
Jamani zamani kulikuwa Kuna walimu miamba hasa !! Aisee nakumbuka Mr Ngoliga Dodoma mlimani primary school ,Mipilimi Makole primary daaa
 
Hao ambao walilelewa kwa viboko bila umayai wamelifikisha wapi taifa? Si ndiyo wameishia kuwa wezi wa mali za umma. Maana wao hawafanyi kitu sahihi ila mpaka kiwepo kitisho cha adhabu. Wakijua hawawezi kufanywa kitu wanafanya fujo zote.
 
Kweli ushuzi wa Mungu

Ahhahaaaaa
 
Aahaaaaaa

Kumbe mna historia ndefu ya pamoja
 
Kuna video yake nadhani ipo ya namna mwalimu ndosi anapofundisha huwa hapendi disturbances [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…