Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Hapo nimekusomaYeye alikuwa mfano wa failure katika mfumo wa elimu Tanzania.
Mwalimu haingii darasani, anafundisha tuition yake tu, anatukana wanafunzi "msenge baridi" halafu hafanywi kitu.
Kulikuwa hakuna oversight.
Alikuwa mwalimu wangu wa darasa, mwaka mzima kaingia darasani kama mara tatu tu hivi.Hapo nimekusoma
Vipi lakini,alikuwa competent kwenye somo lake!?Alikuwa mwalimu wangu wa darasa, mwaka mzima kaingia darasani kama mara tatu tu hivi.
Watu walikuwa wanajaa tuition yake, yale aliyotakiwa kufundisha darasani, alikuwa anafundisha tuition.
Basi tu jamii yetu hatuko critical na mtu akifa hatupendi kusema mabaya yake.
Alikuwa vizuri, hesabu za Primary. Alisifika zaidi kwa kuwatia watoto discipline.Vipi lakini,alikuwa competent kwenye somo lake!?
AaaahajajaaAlikuwa vizuri, hesabu za Primary. Alisifika zaidi kwa kuwatia watoto discipline.
Watu wanaweza kuwa wanapiga kelele, Ndosi akitokea nje anatembea tu kimyaa.
We ulimaliza mwaka gan pale muhimbili primary school????"MWAMBA" MWALIMU NDOSI KENDE MALAMU!
"Mwalimu Ndosi alikuwa mwalimu wa hesabu. Alikuwa si mchezo. Alikuwa akikohoa tu wanafunzi wote mnakufa".
Bi JOYCE, Aprili 18, 2023
1. Wiki iliyopita, wanafunzi waliofundishwa na MWALIMU NDOSI, Mwalimu pale Muhimbili Shule ya Msingi, walimwambia "Mzee wa Atikali" aandae "Atikali" ya MWALIMU NDOSI na wao watadhamini Mtanange.
2. Leo, "Mzee wa Atikali" amejuzwa kuwa MWALIMU NDOSI ameaga dunia asubuhi hii.
3.MWALIMU NDOSI ni mmoja wa waalimu bora kabisa wa shule za msingi kuwahi kutokea.
4. MWALIMU NDOSI alikuwa Mwalimu wa Hisabati. Hili ni somo ambalo "Bongolanderz" wengi huliogopa. Hapo ndo kimbembe kilipoanzia. Kutokana na uwezo wake mkubwa wa Hisabati alikuwa akifundisha "Tuition". Wanafunzi wa kutoka shule mbalimbali za Dsm walifurika kwake kujifunza Hisabati na mboko ilikuwa kama Kawa.
MWALIMU NDOSI alikuwa na staili kabambe ya kutembeza mboko; alikuwa anakuingiza kichwa ndani ya benchi afu makalio yanakuwa juu afu hapo mijeledi ndo inaanza. Ilikuwa si mchezo, mwanawane!
4.MWALIMU NDOSI alikuwa na uwezo mkubwa na alikuwa mkali na aliwatia adabu sana wanafunzi wa kishua wa shule ya Muhimbili. Alikuwa anatembeza mboko bakoraa si za kitoto! Siku akiwa zamu alipenda kuvaa jeans & t-shirt. Ukiona kavaa hivyo ujue mboko wiki hiyo zitatembea mwanzo-mwisho!
5. MWALIMU NDOSI alikuwa si tu anatembeza mboko bali alikuwa anatukana sana matusi. Ungeweza kufikiri ni Kuli wa bandarini. Matusi yake makubwa yakikuwa "Crocodile- nyoko, Ushuzi wa Mungu". Kwa hakika, MWALIMU NDOSI alikuwa si mtu wa "Spoti-Spoti"!
5. MWALIMU NDOSI amewafundisha wanafunzi wengi ambao wamekuja kuwa viongozi kwenye Taifa hili wakiwemo Mawaziri na Mabalozi.
PUMZIKA KWA AMANI, MWAMBA MWALIMU NDOSI
View attachment 2591988
You Miss the Point.....Hao ambao walilelewa kwa viboko bila umayai wamelifikisha wapi taifa? Si ndiyo wameishia kuwa wezi wa mali za umma. Maana wao hawafanyi kitu sahihi ila mpaka kiwepo kitisho cha adhabu. Wakijua hawawezi kufanywa kitu wanafanya fujo zote.
Huyu mzee alinifundisha (briefly) Upanga Primary. Wakati niko Std 7 katikati ya mwaka hivi, alihamishiwa hapo Upanga primary. Walihamishiwa kwa pamoja hapo yeye na Mwalimu mwingine aliitwa Salum. Salum alihamishiwa kama mwalimu mkuu, na yeye Ndosi kama mwalimu wa hesabu. Wote walikua wanatokea Muhimbili Primary, na walionekana kuwa ni marafiki pia. Aisee jamaa alikua sio wa kispoti spoti. Aliwahi kunipiga mbata moja kichwani siwezi lisahau, niliona maluweluwe kwa dakika kadhaa."MWAMBA" MWALIMU NDOSI KENDE MALAMU!
"Mwalimu Ndosi alikuwa mwalimu wa hesabu. Alikuwa si mchezo. Alikuwa akikohoa tu wanafunzi wote mnakufa".
Bi JOYCE, Aprili 18, 2023
1. Wiki iliyopita, wanafunzi waliofundishwa na MWALIMU NDOSI, Mwalimu pale Muhimbili Shule ya Msingi, walimwambia "Mzee wa Atikali" aandae "Atikali" ya MWALIMU NDOSI na wao watadhamini Mtanange.
2. Leo, "Mzee wa Atikali" amejuzwa kuwa MWALIMU NDOSI ameaga dunia asubuhi hii.
3.MWALIMU NDOSI ni mmoja wa waalimu bora kabisa wa shule za msingi kuwahi kutokea.
4. MWALIMU NDOSI alikuwa Mwalimu wa Hisabati. Hili ni somo ambalo "Bongolanderz" wengi huliogopa. Hapo ndo kimbembe kilipoanzia. Kutokana na uwezo wake mkubwa wa Hisabati alikuwa akifundisha "Tuition". Wanafunzi wa kutoka shule mbalimbali za Dsm walifurika kwake kujifunza Hisabati na mboko ilikuwa kama Kawa.
MWALIMU NDOSI alikuwa na staili kabambe ya kutembeza mboko; alikuwa anakuingiza kichwa ndani ya benchi afu makalio yanakuwa juu afu hapo mijeledi ndo inaanza. Ilikuwa si mchezo, mwanawane!
4.MWALIMU NDOSI alikuwa na uwezo mkubwa na alikuwa mkali na aliwatia adabu sana wanafunzi wa kishua wa shule ya Muhimbili. Alikuwa anatembeza mboko bakoraa si za kitoto! Siku akiwa zamu alipenda kuvaa jeans & t-shirt. Ukiona kavaa hivyo ujue mboko wiki hiyo zitatembea mwanzo-mwisho!
5. MWALIMU NDOSI alikuwa si tu anatembeza mboko bali alikuwa anatukana sana matusi. Ungeweza kufikiri ni Kuli wa bandarini. Matusi yake makubwa yakikuwa "Crocodile- nyoko, Ushuzi wa Mungu". Kwa hakika, MWALIMU NDOSI alikuwa si mtu wa "Spoti-Spoti"!
5. MWALIMU NDOSI amewafundisha wanafunzi wengi ambao wamekuja kuwa viongozi kwenye Taifa hili wakiwemo Mawaziri na Mabalozi.
PUMZIKA KWA AMANI, MWAMBA MWALIMU NDOSI
View attachment 2591988
mwalim ndosi, ana mtoto maarufu anaitwa carol"MWAMBA" MWALIMU NDOSI KENDE MALAMU!
"Mwalimu Ndosi alikuwa mwalimu wa hesabu. Alikuwa si mchezo. Alikuwa akikohoa tu wanafunzi wote mnakufa".
Bi JOYCE, Aprili 18, 2023
1. Wiki iliyopita, wanafunzi waliofundishwa na MWALIMU NDOSI, Mwalimu pale Muhimbili Shule ya Msingi, walimwambia "Mzee wa Atikali" aandae "Atikali" ya MWALIMU NDOSI na wao watadhamini Mtanange.
2. Leo, "Mzee wa Atikali" amejuzwa kuwa MWALIMU NDOSI ameaga dunia asubuhi hii.
3.MWALIMU NDOSI ni mmoja wa waalimu bora kabisa wa shule za msingi kuwahi kutokea.
4. MWALIMU NDOSI alikuwa Mwalimu wa Hisabati. Hili ni somo ambalo "Bongolanderz" wengi huliogopa. Hapo ndo kimbembe kilipoanzia. Kutokana na uwezo wake mkubwa wa Hisabati alikuwa akifundisha "Tuition". Wanafunzi wa kutoka shule mbalimbali za Dsm walifurika kwake kujifunza Hisabati na mboko ilikuwa kama Kawa.
MWALIMU NDOSI alikuwa na staili kabambe ya kutembeza mboko; alikuwa anakuingiza kichwa ndani ya benchi afu makalio yanakuwa juu afu hapo mijeledi ndo inaanza. Ilikuwa si mchezo, mwanawane!
4.MWALIMU NDOSI alikuwa na uwezo mkubwa na alikuwa mkali na aliwatia adabu sana wanafunzi wa kishua wa shule ya Muhimbili. Alikuwa anatembeza mboko bakoraa si za kitoto! Siku akiwa zamu alipenda kuvaa jeans & t-shirt. Ukiona kavaa hivyo ujue mboko wiki hiyo zitatembea mwanzo-mwisho!
5. MWALIMU NDOSI alikuwa si tu anatembeza mboko bali alikuwa anatukana sana matusi. Ungeweza kufikiri ni Kuli wa bandarini. Matusi yake makubwa yakikuwa "Crocodile- nyoko, Ushuzi wa Mungu". Kwa hakika, MWALIMU NDOSI alikuwa si mtu wa "Spoti-Spoti"!
5. MWALIMU NDOSI amewafundisha wanafunzi wengi ambao wamekuja kuwa viongozi kwenye Taifa hili wakiwemo Mawaziri na Mabalozi.
PUMZIKA KWA AMANI, MWAMBA MWALIMU NDOSI
View attachment 2591988
Hapana, sio mtoto wake wala they are not related.mwalim ndosi, ana mtoto maarufu anaitwa carol
Leo nimejua Kumbe wewe ni wa kishua. Huku mtaani tunawaita kuku wa kizungu,maana hamkupata shida.May his soul rest in eternal peaceπ
Alikua anatunyoosha vema
πππLeo nimejua Kumbe wewe ni wa kishua. Huku mtaani tunawaita kuku wa kizungu,maana hamkupata shida.
Watoto waliosoma muhimbili,oysterbey na shule za pande zile ni washua.
R.I.P Mwalimu.
Wa uswazi anasoma tandika,mwananyamala na kitunda mwanagati.πππ
Mimi wa uswazi pro max