Me nilisoma UpangaWa uswazi anasoma tandika,mwananyamala na kitunda mwanagati.
Wa muhimbili ni washua.
Mwana Upanga mwenzangu kumbe. Kipindi Ndossi anahamia Upanga (yeye na Mwalimu Salum) mimi nilikua darasa la saba. Kumbe hakukaa alirudishwa tena Muhimbili...!? Nilimaliza nikamuacha hapo. Nimeelezea zaidi kwenye post # 51.Me nilisoma Upanga
Kuna kipindi huyo mwalimu alihamia toka Muhimbili ila hakukaa sana akarudi tena Muhimbili nadhani.
Huko nilipata ufadhili wa serilkali, kama bahati tu π
Wakati anahamia me nilikua darasa la 5/6, sikumbuki vizuri maana la 7 nilihama sikusoma pale.Mwana Upanga mwenzangu kumbe. Kipindi Ndossi anahamia Upanga (yeye na Mwalimu Salum) mimi nilikua darasa la saba. Kumbe hakukaa alirudishwa tena Muhimbili...!? Nilimaliza nikamuacha hapo. Nimeelezea zaidi kwenye post # 51.
Sikumbuki vizuri surname yake, ila ni kitu kama Kabeta or Kageta..... Yeye alihamia hapo na kufanywa mwalimu mkuu.Wakati anahamia me nilikua darasa la 5/6, sikumbuki vizuri maana la 7 nilihama sikusoma pale.
Alikua anaogopewa sana, na matusi kama yote daah π
Ila mwl Salum mbona simkumbuki, unakumbuka Sir name yake? Labda nitamkumbuka
Hilo jina linasound familiar...Yaani hayo matusi sasa daahSikumbuki vizuri surname yake, ila ni kitu kama Kabeta or Kageta..... Yeye alihamia hapo na kufanywa mwalimu mkuu.
Ndossi alikua balaa aisee. Alitupiga sana stiki std 7 kipindi kile cha mwisho mwisho. Korofi sana jamaa.
Linakwambia, "Seng.e baridi", "Seng.e la mungu wewe".
Enzi hizo Muhimbili ni Ndosi na Ndosi ni Muhimbili"MWAMBA" MWALIMU NDOSI KENDE MALAMU!
"Mwalimu Ndosi alikuwa mwalimu wa hesabu. Alikuwa si mchezo. Alikuwa akikohoa tu wanafunzi wote mnakufa".
Bi JOYCE, Aprili 18, 2023
1. Wiki iliyopita, wanafunzi waliofundishwa na MWALIMU NDOSI, Mwalimu pale Muhimbili Shule ya Msingi, walimwambia "Mzee wa Atikali" aandae "Atikali" ya MWALIMU NDOSI na wao watadhamini Mtanange.
2. Leo, "Mzee wa Atikali" amejuzwa kuwa MWALIMU NDOSI ameaga dunia asubuhi hii.
3.MWALIMU NDOSI ni mmoja wa waalimu bora kabisa wa shule za msingi kuwahi kutokea.
4. MWALIMU NDOSI alikuwa Mwalimu wa Hisabati. Hili ni somo ambalo "Bongolanderz" wengi huliogopa. Hapo ndo kimbembe kilipoanzia. Kutokana na uwezo wake mkubwa wa Hisabati alikuwa akifundisha "Tuition". Wanafunzi wa kutoka shule mbalimbali za Dsm walifurika kwake kujifunza Hisabati na mboko ilikuwa kama Kawa.
MWALIMU NDOSI alikuwa na staili kabambe ya kutembeza mboko; alikuwa anakuingiza kichwa ndani ya benchi afu makalio yanakuwa juu afu hapo mijeledi ndo inaanza. Ilikuwa si mchezo, mwanawane!
4.MWALIMU NDOSI alikuwa na uwezo mkubwa na alikuwa mkali na aliwatia adabu sana wanafunzi wa kishua wa shule ya Muhimbili. Alikuwa anatembeza mboko bakoraa si za kitoto! Siku akiwa zamu alipenda kuvaa jeans & t-shirt. Ukiona kavaa hivyo ujue mboko wiki hiyo zitatembea mwanzo-mwisho!
5. MWALIMU NDOSI alikuwa si tu anatembeza mboko bali alikuwa anatukana sana matusi. Ungeweza kufikiri ni Kuli wa bandarini. Matusi yake makubwa yakikuwa "Crocodile- nyoko, Ushuzi wa Mungu". Kwa hakika, MWALIMU NDOSI alikuwa si mtu wa "Spoti-Spoti"!
5. MWALIMU NDOSI amewafundisha wanafunzi wengi ambao wamekuja kuwa viongozi kwenye Taifa hili wakiwemo Mawaziri na Mabalozi.
PUMZIKA KWA AMANI, MWAMBA MWALIMU NDOSI
View attachment 2591988
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndosi: Korokodio, nyumbu wa Manyara. Msenge baridi.
Mwanafunzi: Mimi?
Ndosi: Si wewe, ni mavi yaliyo tumboni mwako.
Rest well Ndosi.
So many stories.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndosi: Kama wewe ni mtoto wa ticha, mimi ndiye ticha sasa.
Wanafunzi wasio watoto wa walimu: Weeeeeeeeeeeeeeeee.
Wanafunzi walimfurahia Ndosi kwa kuondoa matabaka kati ya wanafunzi wenye nasaba na walimu, na wanafunzi wengine.
That was the positive side of Ndosi.
Ila usiombe akupige fimbo za mgongo.
Siku moja nilimpiga mtoto mmoja Muarabu alinizingua. Akaenda kunisemea kwa Ndosi.
Sasa Ndosi akawa na kazi nyingi akawa kanisahau.
Siku hiyo bahati haikuwa yangu. Akaja Shangazi yangu alikuwa mkaguzi wa shule wa wilaya or something like that, akamwambia Ndosi kuna huyu kijana wangu Kiranga niangalizie. Ndosi akasema Kiranga gani, huyu mtundu anafanya fujo sana, tena umenikumbusha nina kesi yake hapa kuna mtu kampiga leo hii hii.
Akatuma mtu kuniita darasani.
Nilipata fito juu ya fito, tena zile za kutaka sifa mbele ya shangazi yangu.
Kuanzia hapo Ndosi kila akiniona akawa ananjua mimi simpendi.
MmmmmmhSikuhizi walimu kubembeleza bembeleza ndio mishoga kibao,mboko zirudi
Huu wasifu na bado alale kwa amani?"MWAMBA" MWALIMU NDOSI KENDE MALAMU!
"Mwalimu Ndosi alikuwa mwalimu wa hesabu. Alikuwa si mchezo. Alikuwa akikohoa tu wanafunzi wote mnakufa".
Bi JOYCE, Aprili 18, 2023
1. Wiki iliyopita, wanafunzi waliofundishwa na MWALIMU NDOSI, Mwalimu pale Muhimbili Shule ya Msingi, walimwambia "Mzee wa Atikali" aandae "Atikali" ya MWALIMU NDOSI na wao watadhamini Mtanange.
2. Leo, "Mzee wa Atikali" amejuzwa kuwa MWALIMU NDOSI ameaga dunia asubuhi hii.
3.MWALIMU NDOSI ni mmoja wa waalimu bora kabisa wa shule za msingi kuwahi kutokea.
4. MWALIMU NDOSI alikuwa Mwalimu wa Hisabati. Hili ni somo ambalo "Bongolanderz" wengi huliogopa. Hapo ndo kimbembe kilipoanzia. Kutokana na uwezo wake mkubwa wa Hisabati alikuwa akifundisha "Tuition". Wanafunzi wa kutoka shule mbalimbali za Dsm walifurika kwake kujifunza Hisabati na mboko ilikuwa kama Kawa.
MWALIMU NDOSI alikuwa na staili kabambe ya kutembeza mboko; alikuwa anakuingiza kichwa ndani ya benchi afu makalio yanakuwa juu afu hapo mijeledi ndo inaanza. Ilikuwa si mchezo, mwanawane!
4.MWALIMU NDOSI alikuwa na uwezo mkubwa na alikuwa mkali na aliwatia adabu sana wanafunzi wa kishua wa shule ya Muhimbili. Alikuwa anatembeza mboko bakoraa si za kitoto! Siku akiwa zamu alipenda kuvaa jeans & t-shirt. Ukiona kavaa hivyo ujue mboko wiki hiyo zitatembea mwanzo-mwisho!
5. MWALIMU NDOSI alikuwa si tu anatembeza mboko bali alikuwa anatukana sana matusi. Ungeweza kufikiri ni Kuli wa bandarini. Matusi yake makubwa yakikuwa "Crocodile- nyoko, Ushuzi wa Mungu". Kwa hakika, MWALIMU NDOSI alikuwa si mtu wa "Spoti-Spoti"!
5. MWALIMU NDOSI amewafundisha wanafunzi wengi ambao wamekuja kuwa viongozi kwenye Taifa hili wakiwemo Mawaziri na Mabalozi.
PUMZIKA KWA AMANI, MWAMBA MWALIMU NDOSI
View attachment 2591988
Huyu hakuwahi kupendwa na wanafunzi, wewe itakuwa mwanafamilia yakeRest in peace our beloved legendary teacher
Kumbuka huyo Ni mchaga mkuu nadhani unajuwa tabia ya wale jamaa zetuAlikuwa mwalimu wangu wa darasa, mwaka mzima kaingia darasani kama mara tatu tu hivi.
Watu walikuwa wanajaa tuition yake, yale aliyotakiwa kufundisha darasani, alikuwa anafundisha tuition.
Basi tu jamii yetu hatuko critical na mtu akifa hatupendi kusema mabaya yake.
Wote tu safari moja, ndio maana pua zetu zinatazama chini; kiimani tuzidi kumuombea katika sala zetu
Ndosi Upanga alihamia mwaka gani?Wakati anahamia me nilikua darasa la 5/6, sikumbuki vizuri maana la 7 nilihama sikusoma pale.
Alikua anaogopewa sana, na matusi kama yote daah π
Ila mwl Salum mbona simkumbuki, unakumbuka surname yake? Labda nitamkumbuka
Ngoja niangalie cheti changu cha la 7 then nipige hesabuNdosi Upanga alihamia mwaka gani?