Best Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 483
- 688
Unga LTDMtaa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unga LTDMtaa gani?
LumumbaFC buku 3 wanakanyagana.Mtaa gani?
mtaani? wapi huko, umeongea na watu wangapi wangapi huko mtaani? wana umri gani? wana elimu gani? uliwapataje? wanafanya shughuli gani? uliwauliza maswali gani? lengo lako lilikuwa nini?Ndugai na Bashiru ,Polepole wanakubalika ile mbaya huku mtaani
acha kuweweseka magufuli ameshakufaHapa sio kweli, kumbuka kuwa wakati akiyafanya haya mwl alikuwa sio Rais, hivyo hakuna mtu ambae alimlazimisha aishinikize CCM kukubali mageuzi ya vyama vingi vya siasa, hakuwa kwenye shinikizo la aina yoyoye. Ila kumbuka kipindi hiki alikuwa pia kwenye mapambano dhidi ya serikali ya CCM kuhusu ubadhilifu, rushwa na ukabila mpaka ikamlazimu kuandika kitabu cha tujisahihishe. Lakini, Baada ya kugundua kuwa kazi ya kuikosoa serikali na CCM ni kubwa sana na ya hatari na hataweza kuifanya peke yake, na pia baada ya kugundua kuwa iko siku atakufa pia, na baada ya kugundua pia ndani ya CCM hakuna mtu mwenye nguvu kama zake za kuikosoa CCM na serikali zake baada ya yeye kuondoka, ndipo akaja na wazo la kuruhusu vyama vingi vya upinzani kuwepo ili viwe watch dogs kwa CCM na serikali. Wote tunaona wenyewe kuwa ndani ya CCM sasa hivi hakuna mwenye nguvu zile za Mwl, badala yake wanatumia ubabe, vitisho, na dola kunyamazishana wenyewe kwa wenyewe na kunyamazisha vyama vya upinzani. hakuna nguvu za hoja bali kuna hoja za nguvu.
sawa, nafurahi kuwa unajua kuwa Nyerere aliyafanya yote ninayoyasema. Wanaoviua vyama vya upinzani wanakwenda kinyume na fikra za Mwl, wanakiuka msimamo wa mwl, hawamtendei haki mwl, hawafai kumrithi wala kumtaja mwl popote. Hivyo lazima watapata laana kutoka kwa mwl. Mwalimu alitaka kuwepo na mavyama 2 makubwa yenye nguvu kwaajili ya checks and balance kwa manufaa ya taifa, lakini wanafunzi wake aliowaacha wanampuuza, wamevitia korokoroni vyama vyote vya upinzani ili asiwepo wa kuwanyooshea vidole. Yaani Mwl hayupo na vyama havipo na wananchi ni dhaifu, elimu ni dhaifu, taasisi za haki ni dhaifu, mambo yote tambarareee. MwanaCCM yeyote atakaehoji chochote atajuta kuhoji. Wanafanya kampeni wenyewe nchi nzima peke yao wakati wengine wamesokomezwa uvunguni mwa vitanda vyao.acha kuweweseka magufuli ameshakufa
Mwalimu alitaka watu wabishane kwa hoja siyo risasi wala mitutu.Magufuli alipiga watu risasi na mitutu wewe ukashangilia ukiita ule ulikuwa ni uzalendo. leo hayupo/KAFA unataka vyama vya upinzani itakusaidia nn?sawa, nafurahi kuwa unajua kuwa Nyerere aliyafanya yote ninayoyasema. Wanaoviua vyama vya upinzani wanakwenda kinyume na fikra za Mwl, wanakiuka msimamo wa mwl, hawamtendei haki mwl, hawafai kumrithi wala kumtaja mwl popote. Hivyo lazima watapata laana kutoka kwa mwl. Mwalimu alitaka kuwepo na mavyama 2 makubwa yenye nguvu kwaajili ya checks and balance kwa manufaa ya taifa, lakini wanafunzi wake wanampuuza, wamevitia korokoroni vyama vyote vya upinzani ili asiwepo wa kuwanyooshea vidole. Yaani Mwl hayupo na vyama havipo na wananchi ni dhaifu, elimu ni dhaifu, taasisi za haki ni dhaifu, mambo yote tambarareee. MwanaCCM yeyote atakaehoji chochote atajuta kuhoji.
Viongozi wetu hawana aibu kabisa, kila siku wako ulaya na marekani ambako kuna vyama vingi vya siasa ambavyo vina nguvu kikwelikweli wakati wao wamevikalia vyama vyao. Mnapokutana viongozi wa dunia lazima wote muwe na hadhi inayofananafanana hivi katika upatikanaji wenu, kuendesha nchi, kukuza uchumi, nk. Wazungu wanawajua sana viongozi wetu kuliko viongozi wetu wanavyodhania, wanajua namna viongozi wote walivyopatikana na namna wanavyoendesha nchi zao. Tunadharauriwa sana hata kama machoni hawaonyeshi dharau.Mwalimu alitaka watu wabishane kwa hoja siyo risasi wala mitutu.Magufuli alipiga watu risasi na mitutu wewe ukashangilia ukiita ule ulikuwa ni uzalendo. leo hayupo/KAFA unataka vyama vya upinzani itakusaidia nn?
mlighiribu wabunge wa upinzani ili waunge mkono juhudi, mkatumia mamilioni kuwarudishia majimbo yao
wewe ukashangilia ukisema kwa jeuri ' DEMOKRASIA INA GHARAMA ZAKE'
Msalimie Waitara
Ukiona raisi wa nchi hasafir ujue huyo ni mshamba asiyejua chochote juu ya geo- politicsViongozi wetu hawana aibu kabisa, kila siku wako ulaya na marekani ambako kuna vyama vingi vya siasa ambavyo vina nguvu kikwelikweli wakati wao wamevikalia vyama vyao. Mnapokutana viongozi wa dunia lazima wote muwe na hadhi inayofananafanana hivi katika upatikanaji wenu, kuendesha nchi, kukuza uchumi, nk. Wazungu wanawajua sana viongozi wetu kuliko viongozi wetu wanavyodhania, wanajua namna viongozi wote walivyopatikana na namna wanavyoendesha nchi zao. Tunadharauriwa sana hata kama machoni hawaonyeshi dharau.
Hata hapa kihonda morogoro wanakubalika sana wazalendo haoMtaa gani?
Onyeha sehemu upumbavu unaongelewa Bashiru anapiga makofi",clip tafadhali "Wanakubalika kwa lipi?. Kwa kutoa kauli moja tu na kukimbia. Ndugai aliomba msamaha na kufuta kauli yake Hana msimamo. Bashiru naye juzi alikuwa anapigia makofi kila kinachsemwa hata kama ni matusi. Msitengeze watu ambao sio.
Unaonaje? Rais wenu ameiba kura kupata urais anakutana na marais waliochanguliwa kidemokrasia kwenye mkutano fulani. bahati mbaya Rais wenu mwenyewe anajua kuwa aliiba kura na marais wengine kwenye ule mkutano wanajua pia kuwa aliiba kura kuwa rais. Unadhani rais wenu atapata cha maana kwenye huo mkutano? unadhani atapata heshima gani kwa viongozi wenzake? Sisi tuna bahati kwa sasa, rais wetu Mama Samia hakuiba kura kupata urais, ndio maana wanamsikiliza sana Marais wanzake. Lakini subiri baada ya uchaguzi wa 2025 kama uchaguzi utakuwa na konakona.Ukiona raisi wa nchi hasafir ujue huyo ni mshamba asiyejua chochote juu ya geo- politics
Raisi wa nchi lazima asafiri, tuache ujuha
Mwl aliwaambia wanaCCM kuwa kiongozi SAFI hawezi kutoka nje ya CCM. Lakini akawapa angalizo kuwa KAMA watanzania wasipompata ndani ya CCM watamtafita NJE ya CCM. Hivyo, CCM wana kazi ya kuwapima wagombea wao kama wanao USAFI kwa vigezo vya Mwl. Usafi wa kwa mujibu wa Mwl ni vita dhidi ya Umaskini, Rushwa, Ukabila na Udini. Usafi mwingine ni Azimio la Arusha, Usafi mwingine kwa mujibu wa Mwl ni Muungano na mambo ya Muungano. mwl ana namna alivyokuwa anataka muungano wetu uwe, alijaribu kuhangaikia kwa nguvu zake zote aina hiyo ya muungano ambayo wanafunzi wake aliowaacha hawahangaiki nayo sasa, ndio kwanza wanazidi kukoleza wino wa mipaka kwenye ramani kwa kile wanachokiita kutatua KERO za Muungano. Wanasahau kuwa kero za Muungano ndio Muungano wenyewe, kama ukiziondoa kero zote za Muungano kutakuwa hakuna Muungano tena bali ujanja ujanja tu. Miungano yote duniani hata ile ya US, UK, EU, Spain ina kero zake nyingi tu lakini hakuna mtu ataruhusiwa kuzijadili kero hizo kwakuwa kero hizo ni sehemu ya Muungano wenyewe. Kule katalunya nyumbani kwa barcelona walitaka kujaribu kutatua lakini walikiona cha moto, kule Uingereza Ireland inafurukuta kutatua kero lakini wapi, kule US kuna majimbo yandhani yanaonewa kwenye chaguzi (electral college) na kiuchumi lakini hakuna anaewasikiliza. Sisi hapa wanafunzi wa Nyerere wako mbiombio kutaka kumaliza kero za Muungano kabla ya 2025 na ikizidi saaana isivuke 2030 ziwe zimetatuliwa zote. Tutaona Muungano utakuwa hali gani zikishatatuliwa zote.Mwalimu alitaka watu wabishane kwa hoja siyo risasi wala mitutu.Magufuli alipiga watu risasi na mitutu wewe ukashangilia ukiita ule ulikuwa ni uzalendo. leo hayupo/KAFA unataka vyama vya upinzani itakusaidia nn?
mlighiribu wabunge wa upinzani ili waunge mkono juhudi, mkatumia mamilioni kuwarudishia majimbo yao
wewe ukashangilia ukisema kwa jeuri ' DEMOKRASIA INA GHARAMA ZAKE'
Msalimie Waitara
HAtudanganyiki tenaNa Nyerere hakutaka kuwepo na utitiri wa vyama vya siasa, bali alitaka CCM ishindane kwa haki na chama kingine kikubwa cha upinzani. Bahati nzuri hicho chama cha upinzani alikitaja kabisa kwa jina kutokana na kuwa na sera safi. Kwakuwa chama hiki cha upinzani kilipata baraka kamili za baba wa Taifa hivyo nawaomba wale wote ambao ni wana CCM kindakindaki wasioridhishwa na namna mambo yanavyoendeshwa ndani ya CCM wahamie CHADEMA ili kukipa nguvu ambayo Mwl Nyerere aliikusudia chadema iwe nayo.
Daa, Muache Rais Magufuli RIP apunzike kwa amani. Huyu ni kiongozi ambao hakusoma alama za nyakati, alikwenda kinyume na Mwl kwenye kustawisha vyama vya upinzani. Alikuwa anasema anafuata nyayo za mwl lakini alikuwa anavifuta vyama vya upinzani Tanzania kinyume na fikra za mwl. Huyu kaka yetu alishindwa kujua kuwa Mzee makamba, mzee Kinana na Mzee Jakaya ni wanajeshi kwa asili, hakuwapa heshima yao waliyostahili.acha kuweweseka magufuli ameshakufa